Kiumbe kinachoitwa ‘mke’ kiogope

Kiumbe kinachoitwa ‘mke’ kiogope

Kwa hiyo siku Mume akipata maradhi, ajali au uwezo wake wa kipato ukiwa chini, ndoa ndio hali Jojo?

Kifupi unataka tuamini kuwa unathamini mtu mwenye kitu badala ya utu?
Hayo umeandika wewe mkuu,soma nilichomaanisha...sijaandika hayo uliyoandika .....ushasema akipata ajali
 
Kweli wanaosema mnufaika ni mwanamke hawajakosea, sasa Kungwi hivi pia ndio mnawaambia mabinti kuwa wanastahili kuvikuta kwetu ama!!?

Usiogope
Tafuta wa kukuelewa kwa hali uliyonayo lakini jiandae kupiga hatua ya mafanikio kila siku

Ndoa ni jukumu baba😅😅🙌
 
Huku ni kuwajaza ujinga mabinti.

Hvyo vyote babake(ambae alikuepo duniani kabla yangu), kashindwa kumpa afu unataka mm mwenye miaka 20s dunian nihangaike kumpa!!! Duh yeye ananpa nn zaidi ya mbususu ambayo pale riverside nainunua kwa buku tano tu?

Amini huu Sio ujinga ili uweze kupambana na kufanikiwa
Ubora wa mwanaume ni uwezo wake katika kutoa huduma na kuprotect watu au mtu wake. Sasa unamlindaaje na huna vilindio😂😂😂

Tusipingane na nature tutafeli
 
Yote kafanya Manara na Bado kaachwa Dubai?

Yeye atakuwa anatoa nini?

Amefanya yote yepi?

Yale ya business na economy class au ya kumnyima mke hata pesa ya airtime?
 
Mpe matumizi mazuri
Mpe nyumba nzuri
Mpe gari nzuri
Mpe mapenzi ya kutosha
Mpe pesa ya kutosha- hata awe anakutunzia tuu impe uhakika wa maisha🤣🤣😐


Halafu Rudi utuambie kama bado ana kiburi😎😎😎
Hapo umetaja wanaume karbia sita tofauti
 
Mpe matumizi mazuri
Mpe nyumba nzuri
Mpe gari nzuri
Mpe mapenzi ya kutosha
Mpe pesa ya kutosha- hata awe anakutunzia tuu impe uhakika wa maisha


Halafu Rudi utuambie kama bado ana kiburi
Kwa maisha haya haya ya tozo ? Labda kama ulikuja duniani kufurahisha mwanamke
 
Ndo
Kweli wanaosema mnufaika ni mwanamke hawajakosea, sasa Kungwi hivi pia ndio mnawaambia mabinti kuwa wanastahili kuvikuta kwetu ama!!?
Ndo nashangaa mkuu...iv kwa akii za huyo mama atamshaurI nini bint wake???ndo wanaotuletea wanawake vilaza ambao wamejazwa ujinga na sumu kwa waume zao
 
TrollTalk
tik roll
tikipect ops I nelion. in full effect

Hii inachekesha sana.
 
Ndo
Ndo nashangaa mkuu...iv kwa akii za huyo mama atamshaurI nini bint wake???ndo wanaotuletea wanawake vilaza ambao wamejazwa ujinga na sumu kwa waume zao

Aliyoyasema sio msingi mzuri wa kumfunza binti au hata kijana pia, kujengewa akili za material things ndio maana unyanyasaji hauishi kwenye jamii yetu
Mtoaji anabaki kuteseka kwa kuwa siku zote pesa hazitoshi wala mali hazitoshi, atapambana ili aweze kumaintain mke.
Mpokeaji siku zote tamaa haziishi, anaweza pewa vyote alivyotaja Mama D ila bado akakutana na mwingine mwenye vingi zaidi ya anavyopewa, kwa kuwa hajajengwa ki upendo basi atamtenda mtoaji.
 
Uwa nawaza kwa sauti ndogo sana,kwamba haya mambo mambo na story nazozisikia Jf mala Mama flani kachepuka na mpenzi wake wa Zamani,Au Mke wa flani amefumaniwa akijamiiana hospitali na kijana muuza nyama.

Au jinsi ambavyo mke wangu alichepuka siku ya ndoa yangu ni uzi wa mdau mmoja hivi.

Aisee kama hayo mambo yote ndivyo yalivyo katika maisha Halisi, basi wakubwa ni waambie tu jambo la NDOA litabaki kuwa historia miaka Mingi Ijayo, Maana aya mambo ya kuchapiwa binafsi yangu uwa sikubaliani nayo kabisa.
 
Uwa nawaza kwa sauti ndogo sana,kwamba haya mambo mambo na story nazozisikia Jf mala Mama flani kachepuka na mpenzi wake wa Zamani,Au Mke wa flani amefumaniwa akijamiiana hospitali na kijana muuza nyama.

Au jinsi ambavyo mke wangu alichepuka siku ya ndoa yangu ni uzi wa mdau mmoja hivi.

Aisee kama hayo mambo yote ndivyo yalivyo katika maisha Halisi, basi wakubwa ni waambie tu jambo la NDOA litabaki kuwa historia miaka Mingi Ijayo, Maana aya mambo ya kuchapiwa binafsi yangu uwa sikubaliani nayo kabisa.
Hali inatisha sana ila nafikiri wanawake nao Wana mengi ya kuongea kuhus ndoazao ila hawana pa kusemea sio rahis mtu amsalit mtu anaempenda Tena mumewe wa ndoa huenda kunamengi sirini hatuyajui lkn huko tunakoenda nafikiri hakutakuwa na ndoa na ukweli ni Kwamba vijana wengi ni waharibifu sana wa mabint huenda pia wanayopitia kwenye ndoa zao Ilikuwa karma
 
Back
Top Bottom