Tajiri wa upendo OG
Senior Member
- Mar 15, 2020
- 171
- 239
mke umempata kitambaa cheupe unategemea nn
Hii ni kwa wanawake wenye maadili ila KUNGURU NI KUNGURU TU, hata umfanyie kitu gani.Mpe matumizi mazuri
Mpe nyumba nzuri
Mpe gari nzuri
Mpe mapenzi ya kutosha
Mpe pesa ya kutosha- hata awe anakutunzia tuu impe uhakika wa maisha![]()
Halafu Rudi utuambie kama bado ana kiburi![]()
Jamaaa mpaka ameshindwa kuandika, ujue yamempata
hahahahaa copy rogerAlpha team one man down, I repeat man down.Situation is critical. I repeat, man down at X-Ray, Charlie, Tango. Requesting immediate medevac and air support. Over."
Swali lako hili linathibitisha kuwa kuna wanawake ambao hatuwezi kuishi nao kwa akili no matter how tunajaribu.
😄😄
Hii ni kwa wanawake wenye maadili ila KUNGURU NI KUNGURU TU, hata umfanyie kitu gani.
Check control tower,code checking,stall is imminent
Acha woga
Ukimpata wa size yako hakishindikani kitu, shida ni kutafuta size kubwa zaidi so ndogo zaidi
Kapigwa Sugunyo, ngumi kutoka Ukraine.Sugunyo![]()
Mwanamke anapenda kitu ambacho huna.
Another Man DownDah aisee mi kiburi tu hawa watu kiburiiiiii
Humu kila siku tunatoa masomo lakini hawa vijana wanatudharau.Kama unahitaji mwanamke sahihi tuulize sisi hapa upewwe vigezo ukimbilia hao ulikutana nao chuo utajua mwenyewe
Hayo sasa mapenzi ya kulazimishana.Talaka zipo, wazee wa busara wapo, wakwe wapo, mshenga yupo, padre sijui mchungaji, sheikh wapo, mahakama zipo
Vitumieni hivi vyombo, msije mkafa kwa msongo wa mawazo...
Yule msukuma juzi kati kajinyonga baada ya kumnunulia demu iphone huko chuoni ila vichwa panzi hawajifunzi.Humu kila siku tunatoa masomo lakini hawa vijana wanatudharau.
Mbunyenga ikikuendesha akili utakoma. Utalia kila siku.
Wanawake ni wajanja. Akishajua unapenda sana Mbunyenga basi umekwisha.
Hawa watu ni watani zangu kiukweli mimi sio mbaguzi wa kikabila lakini wasukuma japo ni wasomi na wana akili ila hawaelewekiYule msukuma juzi kati kajinyonga baada ya kumnunulia demu iphone huko chuoni ila vichwa panzi hawajifunzi.