Hance Mtanashati
JF-Expert Member
- Sep 7, 2016
- 17,463
- 21,185
Kuna kijana yupo hapo kituo Cha polisi Chang'ombe temeke, anaitwa Kadoda, yeye si askari ila anashirikiana na maaskari wa hapo kubambikizia watu kesi na wakishindwa kutoa hongo ili waachiwe mwisho wa siku wanaishia jera.
Kwa kifupi huyu kijana alikuwa ni jambazi na alikaa jela kwa miaka isiyopungua saba cha ajabu alipoachiwa polisi wakaanza kushirikiana naye kwa kigezo Cha kuwafichua wahalifu lakini mwisho wa siku imekuwa ndivyo sivyo.
Huyu kijana amekuwa akishirikiana na mapolisi kubambikizia watu kesi kukamata Kamata hovyo na kutaka wapatiwe pesa ili wasikufikishe kituoni usipowapa hawaoni shida kukupa kesi yoyote watakayojiskia kukupa.
Mamlaka husika kimulikeni hichi kituo haswa huyu kijana, kuna mengi maovu kuhusu huyu kijana inabidi yachunguzwe imefika mahala anashikishwa mpaka .......... hali ya kuwa yeye sio askari.
Kwa kifupi huyu kijana alikuwa ni jambazi na alikaa jela kwa miaka isiyopungua saba cha ajabu alipoachiwa polisi wakaanza kushirikiana naye kwa kigezo Cha kuwafichua wahalifu lakini mwisho wa siku imekuwa ndivyo sivyo.
Huyu kijana amekuwa akishirikiana na mapolisi kubambikizia watu kesi kukamata Kamata hovyo na kutaka wapatiwe pesa ili wasikufikishe kituoni usipowapa hawaoni shida kukupa kesi yoyote watakayojiskia kukupa.
Mamlaka husika kimulikeni hichi kituo haswa huyu kijana, kuna mengi maovu kuhusu huyu kijana inabidi yachunguzwe imefika mahala anashikishwa mpaka .......... hali ya kuwa yeye sio askari.