Kituo cha Mabasi Magufuli bei ya pango hadi Tsh. 1,200,000/= kwa siku

Kama nakumbuka vizuri hizo nafasi zilipigwa mnada na wafanya biashara wenyewe wakazitaja. Sasa kama mwenyewe uliamini kuwa biashara ya juice itakuwezesha kulipa pango hili itabidi ubadilishe biashara au uwarudishie wenyewe nafasi yao.

Amandla.....
 
Impossible kwa sehemu yenye biashara ya ushindani na watu wanaouza bidhaa ya aina hiyo wanakuwa wengi.
 
Investment ya 60B mnataka mlipe kodi ya laki na nusu kwa mwezi, unategemea huo mradi utarudisha lini hela?

Miaka michache ujayo wakishindwa kuendesha stend kwa uchafu na uchakavu bado mtarudi kuwasema wameshindwa, poor management sijui maneno gani
Hivi we mjamaa..kwa akili yAko kubwa unadhani ni biashara Gani itamfanya mtu aweze kulipa hiyo kodi yenu na yeye akabaki na gharama za uendeshaji ikiwemo faida!? Hivi mnavyopanga hizo gharama za tenants mnakuwaga mnafikiria future ya hiyo miradi na lengo lake!? ...hii haijalishi uwepo wa machingas na vendors wengine...

Guys nilichogundua Tanzania hii hatuna watu wa planning kabisa..majitu ambayo yanafanya hizi Kazi kwenye taasisi yanafikirigaa kwa tumbo ..

Mfano wa taaisisi hovyo kwa planning ni hao, na ATCL, Halmashauri za miji na majiji, BANK zote , BANDARI, TRA, TBS, TBC, RITA, TANROADS, almost zote ambazo zinagusa maisha ya mtanzania..majitu huko ofisin hayana mawazo mdala zaidi ya kufikiria kukusanya kwa Raia tu..haya makitu ni maboga
 
36000000×10months=360000000 hiyo pesa sipati youtong.

Labda kichaaa ndio ataenda kuwekeza hapo. Halafu ukashindane na machinga wanaopeleka vinywaji hadi ndani ya gari, plus vocha na takataka nyingine.
Unachukua howo nne Unaanza kula pesa za transit ..waache.
 
Hivi we mjamaa..kwa akili yAko kubwa unadhani ni biashara Gani itamfanya mtu aweze kulipa hiyo kodi yenu na yeye akabaki na gharama za uendeshaji ikiwemo faida!? Hivi mnavyopanga hizo gharama za tenants mnakuwaga mnafikiria future ya hiyo miradi na lengo lake!? ...hii haijalishi uwepo wa machingas na vendors wengine...

Guys nilichogundua Tanzania hii hatuna watu wa planning kabisa..majitu ambayo yanafanya hizi Kazi kwenye taasisi yanafikirigaa kwa tumbo ..

Mfano wa taaisisi hovyo kwa planning ni hao, na ATCL, Halmashauri za miji na majiji, BANK zote , BANDARI, TRA, TBS, TBC, RITA, TANROADS, almost zote ambazo zinagusa maisha ya mtanzania..majitu huko ofisin hayana mawazo mdala zaidi ya kufikiria kukusanya kwa Raia tu..haya makitu ni maboga
Tatizo hawajawahi kufanya biashara
Ndomana wanawatwika watu kodi za
Pango kubwa

Ova
 
Back
Top Bottom