JanguKamaJangu
JF-Expert Member
- Feb 7, 2022
- 2,308
- 5,462
Kama kawaida Kituo cha Mbezi Luis maarufu kwa jina la Mbezi Mwisho, leo tena Agosti 11, 2023 hakuna mwanga, giza limetawala na kusababisha usumbufu mkubwa wa watumiaji.
Hii sio mara ya kwanza wala ya pili kwa hali hii kutolea katika Kituo hiki kilichopo karibu na Stendi Kuu ya Mabasi ya Magufuli hapa Dar es Salaam, ajabu ni kuwa sehemu nyingine zinazozunguka Kituo hiki Kuna umeme.
Jamii Forums tusaidieni kipaza sauti hiki Kituo kina changamoto gani kwani mbona ni hapa tu mara kwa mara, nimeshuhudia abiria wengi wakiwemo Wanafunzi wanavyopata ugumu kupigania magari kukiwa na giza.
Mazingira kama haya yanatengeneza nafasi nzuri kwa vibaka na wahalifu wengine kufanya yao.
Hii sio mara ya kwanza wala ya pili kwa hali hii kutolea katika Kituo hiki kilichopo karibu na Stendi Kuu ya Mabasi ya Magufuli hapa Dar es Salaam, ajabu ni kuwa sehemu nyingine zinazozunguka Kituo hiki Kuna umeme.
Jamii Forums tusaidieni kipaza sauti hiki Kituo kina changamoto gani kwani mbona ni hapa tu mara kwa mara, nimeshuhudia abiria wengi wakiwemo Wanafunzi wanavyopata ugumu kupigania magari kukiwa na giza.
Mazingira kama haya yanatengeneza nafasi nzuri kwa vibaka na wahalifu wengine kufanya yao.