Abiria wagoma kushuka kwenye kituo cha mabasi cha Magufuli, Mbezi Louis

Erythrocyte

JF-Expert Member
Nov 6, 2012
117,753
218,366
Abiria wa kutoka mikoani na ambao walizoea mabasi wanayopanda kuwashusha karibu na makwao kama Mbagala, Kigamboni na Chanika wamefanya mgomo wa kushukia kwenye kituo hicho kikuu cha mabasi, kwa madai kwamba itawasababishia usumbufu mkubwa na kuongeza gharama za safari.

Serikali ya Tanzania imeyataka mabasi yote kupakia na kushusha abiria wake kwenye kituo hicho badala ya utaratibu wa zamani wa baadhi ya mabasi kuwapeleka abiria hadi kwenye Yard binafsi.

Chanzo: ITV

My take: niliwahi kuandika madhara ya jambo hili hapa jukwaani, hasa baada ya RC Amos Makalla kuja na mpango huo wa kulazimisha mabasi yote yapakie na kushusha Mbezi.

Nilishauri kwamba Mabasi yasizuiwe kupakia wala kushusha kwenye yard zao, lakini yalazimishwe kupitastendi ya mbezi kushusha na kupakia.

Ni ujinga mkubwa sana kwa basi linaloenda yard yake kigamboni kuacha abiria wanaoenda huko kituo cha Mbezi. Jambo hili ni unyama na halikubaliki, serikali ni lazima ijitafakari .

NOTE: Kwa taarifa hii naamini kwamba sijaitukana serikali mtandaoni kama Waziri Masauni alivyotuasa!
 
Abiria wa kutoka mikoani na ambao walizoea mabasi wanayopanda kuwashusha karibu na makwao kama Mbagala, Kigamboni na Chanika wamefanya mgomo wa kushukia kwenye kituo hicho kikuu cha mabasi, kwa madai kwamba itawasababishia usumbufu mkubwa na kuongeza gharama za safari.

Serikali ya Tanzania imeyataka mabasi yote kupakia na kushusha abiria wake kwenye kituo hicho badala ya utaratibu wa zamani wa baadhi ya mabasi kuwapeleka abiria hadi kwenye Yard binafsi.

Chanzo: ITV

My take: niliwahi kuandika madhara ya jambo hili hapa jukwaani, hasa baada ya RC Amos Makalla kuja na mpango huo wa kulazimisha mabasi yote yapakie na kushusha Mbezi.

Nilishauri kwamba Mabasi yasizuiwe kupakia wala kushusha kwenye yard zao, lakini yalazimishwe kupitastendi ya mbezi kushusha na kupakia.

Ni ujinga mkubwa sana kwa basi linaloenda yard yake kigamboni kuacha abiria wanaoenda huko kituo cha Mbezi. Jambo hili ni unyama na halikubaliki, serikali ni lazima ijitafakari .

NOTE: Kwa taarifa hii naamini kwamba sijaitukana serikali mtandaoni kama Waziri Masauni alivyotuasa!
Huwezi fanya kila mtu anavyotaka stand kuu ni Mbezi mwisho hayo mabasi yawe na magari madogo(coster) abiria wanaoenda mbali basi wakishuka wapelekwe huko na vilevile asubh waletwe stand..hadi hapo kutapokuwa na stand kubwa nyingine kwenye maeneo ya mbali na mbezi..
 
Nilisha wahi kuandika humu kwamba jiji kubwa Kama dar kuwa na Terminal moja ni ujinga na nikauliza swali Kuna sheria gani inatamka kwamba bus terminal lazima ziwe nje ya mji au jiji?

Sent from my Infinix X657 using JamiiForums mobile app
Kwa akili ya viongozi wetu baada ya miaka 5 tu ijayo kituo cha mabasi hakitokuwa tena Mbezi , kitapelekwa Morogoro kwa madai kwamba Mbezi ishakuwa mjini
 
Huwezi fanya kila mtu anavyotaka stand kuu ni Mbezi mwisho hayo mabasi yawe na magari madogo(coster) abiria wanaoenda mbali basi wakishuka wapelekwe huko na vilevile asubh waletwe stand..hadi hapo kutapokuwa na stand kubwa nyingine kwenye maeneo ya mbali na mbezi..
Huduma lazima zitoa unafuu kwa watu sio kuleta kero sababu tu ya mapato kidogo tena yanayo ishia mifukoni mwa watu

Sent from my Infinix X657 using JamiiForums mobile app
 
Abiria wa kutoka mikoani na ambao walizoea mabasi wanayopanda kuwashusha karibu na makwao kama Mbagala, Kigamboni na Chanika wamefanya mgomo wa kushukia kwenye kituo hicho kikuu cha mabasi, kwa madai kwamba itawasababishia usumbufu mkubwa na kuongeza gharama za safari.

Serikali ya Tanzania imeyataka mabasi yote kupakia na kushusha abiria wake kwenye kituo hicho badala ya utaratibu wa zamani wa baadhi ya mabasi kuwapeleka abiria hadi kwenye Yard binafsi.

Chanzo: ITV

My take: niliwahi kuandika madhara ya jambo hili hapa jukwaani, hasa baada ya RC Amos Makalla kuja na mpango huo wa kulazimisha mabasi yote yapakie na kushusha Mbezi.

Nilishauri kwamba Mabasi yasizuiwe kupakia wala kushusha kwenye yard zao, lakini yalazimishwe kupitastendi ya mbezi kushusha na kupakia.

Ni ujinga mkubwa sana kwa basi linaloenda yard yake kigamboni kuacha abiria wanaoenda huko kituo cha Mbezi. Jambo hili ni unyama na halikubaliki, serikali ni lazima ijitafakari .

NOTE: Kwa taarifa hii naamini kwamba sijaitukana serikali mtandaoni kama Waziri Masauni alivyotuasa!
Umetoa hoja vizuri, unyama ndio nini?
 
ukilamba asali na kujaziwa gari la serikali mafuta bure, unafikiri kila mtu analamba kumbe wengine pangu pakavu!! Nina uhakika kwa hali ilivyo ngumu kuna maskini watatembea kwa miguu na mabegi kichwani kutoka mbezi hadi chanika!
Hapa duniani bongo wao ni wababe ila yeye akilamba tu mchanga inaonekana Mungu atamkalisha na kumhoji kwanini akiwa duniani alisumbua na kunyanyasa watu wake maskini
Hivi ilikuwaje yule mzee akadedi kiukweli aliwapenda sana raia wake sio hawa waliopo sasa hata majina yao hatujishughulishi kuyajua.
 
Back
Top Bottom