Kitu gani kikubwa umewahi kumhonga mwanamke?

Kitu gani kikubwa umewahi kumhonga mwanamke?

Nilipewaga simu(BlackBerry) ya kuslide enzi hizo eeh tulivoachana akanipokonya. Mapenzi haya[emoji23][emoji23]
[emoji23][emoji23][emoji23]pole,Mie ningeipigiza chini tukose wote[emoji3]

Kuna mtu alinkambiaga hawezi mnunulia mwanamke simu,unamnunulia mwanamke simu halafu mkiachana,simu uliyonunu mwenyewe inatumika kukupigia madongo/vijembe status[emoji3]

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Waguna nini sasa....nyie tulishajua mbususu zenu zinalowa kwa pesa basi. Yaani nasubiria siku nina hela alafu nimuhomge demu gari...naona siku hiyo nitaambiwa bby nito.mbe utakavyo[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Pesa,pesa,,,,punguzeni kulia vijana,mkikua mtaacha. Kutoa ni upendo tu,,wala sio kuhonga



Sent using Jamii Forums mobile app
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom