Kitu gani kikubwa umewahi kumhonga mwanamke?

Kitu gani kikubwa umewahi kumhonga mwanamke?

Hivi wewe bwege
,kumjali mwanamke ndy kuwa fala?
Mapenzi yakiisha yameisha Tu,,

Uwe unahonga au bahili.
Ni kweli ila ulipitiliza kaka. Na nina mashaka wewe hukuwa tu unamjali bali ulikuwa lofa... Kubali kataa.. Na ndio maana mwanaume mwenzio alikuwa haongi ila anahongwa hela unazomuhonga wewe demu wako.
 
Wanawake huwa wanaona ni haki yao kuhongwa kwa sababu ya vitobo vyao.

Kwa hiyo chochote unachofanya wanaona ndio thamani ya kitobo Chao kwa hiyo hakunaga ile kitu inaitwa kukumbuka fadhila..

So uwe unatoa pesa uliyotayari kuipoteza na Bora umhurumie mwanamke mdomoni au pale akihitaji hiyo huruma yako sio wewe kuanza kujibebesha mizigo ya kindezi.
Hataki kuambiwa ukweli huyo jamaa
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom