Ubwabwa wa shule [emoji117]I mean enzi zilee nipo advance...
Nilikuwa kiranja wa misosi , hivyobasi Huwa nahonga Ubwabwa Kwa matarajio ya kupendwa na mademu, , , siyo mademu tu mademu wakali ,,,
Maana Ile shule ilikuwa na njaa hatari...hivyo ikatokea nimewala mademu wengi kimasihara , Tena jikoni siyo jiko tu ni jiko la shule ,,
,na sometimes Huwa nawala kwenye stoo,, siyo stoo tu ,juu ya magunia ya mchele na mahindi ,, siyo mahindi
, mahindi yenye dumuzi wekundu ....
CONCLUSION: MADADA WANAPENDA KITONGA ,
HAWAPENDI SHIDA, UKIWA NA SHIDA HUWAPATI KBS, UKIWA UNAPENDA CHINI JITAHIDI UWE NA VISENTI, SIYO VISENTI JINA LA MTU , VISENTI YENYE ** ANISHA PESA, SIYO ** UNAYOJUA WEWE,. [emoji117]KUMAANISHA.
wadada mliokula Ubwabwa wangu popote mlipo msinilaumu Kwa kuwala pia ...nilikuwa natumia madaraka vzr kama Mzee wa msoga.