Kitu gani kikubwa umewahi kumhonga mwanamke?

Kitu gani kikubwa umewahi kumhonga mwanamke?

Lali 4 na 70 halafu akawa ananiletea nyodo. Mama yake tulikuwa tunaiva sana nilikuwa nampoza mara nyingi tu. Baadaye nikamwekea vikwazo vya kiuchumi na
Mwisho wa siku akaliwa na yeye.
Eehhhh Toba 🤣🤣🤣🥱🥱🤣🤣
 
Daaah, ni juzi kati tu nimehonga demu simu, alikuja mkoani ninaoishi sasa akapoteza simu ikanibidi niingie mfukoni nimnunulie simu, sijapewa hata mzingo akatembea mkoani kwao kimnya kimnya wala sijui nitampatia wapi, yaani siwezi honga tena maisha yangu yote
🤣🤣🤣🤣🥱😁 Mje mfe Kwa pressure Alooooo 🙌
 
Nimemtafuna sana, lkn mara zote ni mpaka awe na hamu yeye, nikiwa na ugwadu unakuta anakaza naishia kujichukulia sheria mkononi tu
Duhhh hiyo toxic relationship hiyo ilikuwa 🤣🤣🤣🥱 Yuko wapi now days
 
Mara ya kwanza nilihonga 350,000/- cash na simu ya Infinix by that time niliinunua 290,000/- . Then kwa mwingine nilikuja kuhonga kiwanja cha 3,500,000/- kiroho safi ila hawa wote tulishaachana .

Funga kazi kwa huyu aliyenitunuku moyo wake nakukubali kuukimbia ujana wake kwa ajili yangu , yeye nilimnunulia gari , na kumjengea nyumba maeneo ya kiluvya . Hivyo ndio vitu vikubwa nilihonga mpaka sasa hivi ambavyo siwezi kusahau. ila hizi elfu 20 na 50 naona za kawaida sio za kukaa kwenye ubongo.
Dadeki 🙌🤣
 
Ubwabwa wa shule [emoji117]I mean enzi zilee nipo advance...
Nilikuwa kiranja wa misosi , hivyobasi Huwa nahonga Ubwabwa Kwa matarajio ya kupendwa na mademu, , , siyo mademu tu mademu wakali ,,,

Maana Ile shule ilikuwa na njaa hatari...hivyo ikatokea nimewala mademu wengi kimasihara , Tena jikoni siyo jiko tu ni jiko la shule ,,

,na sometimes Huwa nawala kwenye stoo,, siyo stoo tu ,juu ya magunia ya mchele na mahindi ,, siyo mahindi
, mahindi yenye dumuzi wekundu ....

CONCLUSION: MADADA WANAPENDA KITONGA ,
HAWAPENDI SHIDA, UKIWA NA SHIDA HUWAPATI KBS, UKIWA UNAPENDA CHINI JITAHIDI UWE NA VISENTI, SIYO VISENTI JINA LA MTU , VISENTI YENYE ** ANISHA PESA, SIYO ** UNAYOJUA WEWE,. [emoji117]KUMAANISHA.

wadada mliokula Ubwabwa wangu popote mlipo msinilaumu Kwa kuwala pia ...nilikuwa natumia madaraka vzr kama Mzee wa msoga.
Fala sana 🙌🤣🤣🥱
 
Aisee nilihonga pasi
Yule Dem shwain kweli Mimi nilijitoa kwake nikanunua pasi ili awe smart coz ndo kwanza alikua kaajiliwa lakin badae nikaja kujua bado ana mahusiano na kavulana kake ka chuo.

Nilimpiga tukio zito japo pasi nilimuachia.
Mwaka Jana niliona kaolewa na kajamaa kafupi Kama zakayo
Mbavu zangu[emoji1787][emoji1787][emoji1787]
 
Chuo mwaka wakwanza .. nakumbuka wakati nimechaguliwa chuo nikaomba rafiki yangu ambaye amekaa Dar anitafutie dem basi bwana akanipa number yule dem tukaanza kuchart..

Basi tukawa wapenzi huku nikiwa na lengo la kutafuna mbususu... Sasa nafika Dar mshua alinipa kila kitu kwahiyo pesa ya boom sikujua cha kufanyia...

Basi boom limetoka nikamtafuta dem wangu maana alikua anataka simu.. tukaenda mlimani City anachangia simu za bei kinyama nikamkaataa.. nikamwambia twende kariakoo..

Kufika huko lengo langu nimnumnulie itel ambayo ata rafiki yangu alinunua kwa beri rahisi na ilikua smart ndio zilikua zinatokatoka... Basi nikatoa 150K ili awe na smart Whatsapp n.k maana alikua anatumia kiswaswadu...

Dem akaomba akakufahamu kwangu eh nkajua hapa mbususu itachakatwa nami nilikua muoga sanaa kwakua sikuwahi .. nikamwambia tutaonana siku nyingine na tukaagana

Basi kufika home kwao akanitumia text et simu yenyewe mbaya wakati kidume nimejipinda 150k... Nikamwambia itupe ata chooni au mpe mtu yoyote mi pia siitaki..

Kuanzia hapo sikua nawathamini wanawake kwamba nihonge pakubwa haizidi 50k ..ni huzuni kwakweli..
 
680k, ilikua ada toka kwa mshua na ilifanya nifanye pepa la form 4 kama PC maana nilifukuzwa shule sina ada ikabidi nisome kigeto geto, wazazi walikuja kujua baadae sana imebaki kama miezi mitatu hivi niingie kwenye pepa.

Lidada lishenzi sana lile lilinikimbia likijua kabisa limeniachia msala likaamia dar na nyumbani sijawahigi aminika tena toka niipige io ada.
Ulikuwa lafa
 
Mkuu acha usinitoneshe vidonda.

Jana tu apa kunademu nimemuhonga Redio ya Bluetooth zile za kichina .
kwa shariti la kupewa mzigo mpka sasa iv simu zangu apokei na wala msg zangu ajibu .

Apa nasubiri jioni ifike niende kwao nikadai changu

Sent from my SM-A107F using JamiiForums mobile app
Israel huyo anakuja nyuma yako
 
Chuo mwaka wakwanza .. nakumbuka wakati nimechaguliwa chuo nikaomba rafiki yangu ambaye amekaa Dar anitafutie dem basi bwana akanipa number yule dem tukaanza kuchart..

Basi tukawa wapenzi huku nikiwa na lengo la kutafuna mbususu... Sasa nafika Dar mshua alinipa kila kitu kwahiyo pesa ya boom sikujua cha kufanyia...

Basi boom limetoka nikamtafuta dem wangu maana alikua anataka simu.. tukaenda mlimani City anachangia simu za bei kinyama nikamkaataa.. nikamwambia twende kariakoo..

Kufika huko lengo langu nimnumnulie itel ambayo ata rafiki yangu alinunua kwa beri rahisi na ilikua smart ndio zilikua zinatokatoka... Basi nikatoa 150K ili awe na smart Whatsapp n.k maana alikua anatumia kiswaswadu...

Dem akaomba akakufahamu kwangu eh nkajua hapa mbususu itachakatwa nami nilikua muoga sanaa kwakua sikuwahi .. nikamwambia tutaonana siku nyingine na tukaagana

Basi kufika home kwao akanitumia text et simu yenyewe mbaya wakati kidume nimejipinda 150k... Nikamwambia itupe ata chooni au mpe mtu yoyote mi pia siitaki..

Kuanzia hapo sikua nawathamini wanawake kwamba nihonge pakubwa haizidi 50k ..ni huzuni kwakweli..

[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] inauma sna kamanda
 
Ubwabwa wa shule [emoji117]I mean enzi zilee nipo advance...
Nilikuwa kiranja wa misosi , hivyobasi Huwa nahonga Ubwabwa Kwa matarajio ya kupendwa na mademu, , , siyo mademu tu mademu wakali ,,,

Maana Ile shule ilikuwa na njaa hatari...hivyo ikatokea nimewala mademu wengi kimasihara , Tena jikoni siyo jiko tu ni jiko la shule ,,

,na sometimes Huwa nawala kwenye stoo,, siyo stoo tu ,juu ya magunia ya mchele na mahindi ,, siyo mahindi
, mahindi yenye dumuzi wekundu ....

CONCLUSION: MADADA WANAPENDA KITONGA ,
HAWAPENDI SHIDA, UKIWA NA SHIDA HUWAPATI KBS, UKIWA UNAPENDA CHINI JITAHIDI UWE NA VISENTI, SIYO VISENTI JINA LA MTU , VISENTI YENYE ** ANISHA PESA, SIYO ** UNAYOJUA WEWE,. [emoji117]KUMAANISHA.

wadada mliokula Ubwabwa wangu popote mlipo msinilaumu Kwa kuwala pia ...nilikuwa natumia madaraka vzr kama Mzee wa msoga.
Dah[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom