Kitu gani kikubwa umewahi kumhonga mwanamke?

Kitu gani kikubwa umewahi kumhonga mwanamke?

Dah! Umenikumbusha mbali,. Alisema dar to mwanza ni mbali kwa basi. Kidume nkasema hakuna noma, pesa kitu gani, nkakata return ticket kabisa yote kwa ajili ya mbususu. Bahat nzuri nliikuta sealed kwaio machungu yakapungua. Hiyo ndo kubwa.
Hizi 20- 50k they dont count kama kuhonga maana zishakua sugu
 
Habari wana JF.

I hope wote wazima wa afya. Twende moja kwa moja kwenye mada kumhonga mwanamke ni kitu cha kawaida sana ukiwa umempenda au kumuelewa. Huwezi kuacha kumhonga mwanamke maybe ukiwa hujavutiwa nae.

Kuna uzi humu mwana alisema akisikia mwenetu kahonga kagari anahisi kutetemeka [emoji23] kila mtu anahonga kwa uwezo wake.

Binafa kitu kikubwa ninachowaz kumhonga kiumbe huyu mwanamke pesa ya kununua tv samsng flat 52’ sijui yupo wap huyu dada maskinii bora ningewk zangu hiyo tv magetoni nicheck zang cartoon tu.

Tunawapenda sana dada zetu bila nyinyi cc si kitu heshima iwe kwenu.

FUNGUKA KITU GANI UMEWAH KUMHONGA KIUMBE HUYU MWANAMKE??
Nilihongaga Manzi printer zile ndogo za ofisini ila CD ya drivers zake ilikuwa imepotea ,sijui kama aliitumia au lah alibeba hivyohivyo

Sent from my TECNO BA2 using JamiiForums mobile app
 
Aisee nilihonga pasi
Yule Dem shwain kweli Mimi nilijitoa kwake nikanunua pasi ili awe smart coz ndo kwanza alikua kaajiliwa lakin badae nikaja kujua bado ana mahusiano na kavulana kake ka chuo.

Nilimpiga tukio zito japo pasi nilimuachia.
Mwaka Jana niliona kaolewa na kajamaa kafupi Kama zakayo



Hahahahahha! Mbona zakayo hahahahahahahah aki nmecheka
 
Niliwahi kumhonga dem wangu simu ya laki mbili na nusu.

Nakumbuka kipindi hiko nipo chuo halafu Blackberry ndio zipo kwenye trend kila mtu anataka atumie black berry ajiunge BBM.

Chuoni nilikua na pisi kali chuo kizima hakuna mpaka malecturer walikua wanamtolea macho. Alikuaga anatumia Nokia Asha. Mnyamwezi bumu lilivyotoka nikafunga safari mpaka Posta nikachomoa laki mbili na nusu nikanunua simu mpyaaaaa ktk boksi.. lengo nimpelekee kama surprise!!! Ilikua blackberry curve...

Nimefika hostel fasta nikazama room kwake, tukapiga story mbili tatu nikamtolea cm nikamwambia baby zawadi yako hii. Hakushtuka.. akaiangalia kama taka taka halafu akaniambia baby hii cm sijaipenda watu wengi wanatumia cm kama hii! Mie nataka HTC desire (wakati huo ilikua inauzwa 350k) [emoji18][emoji18][emoji18].. ila aliishi nayo hivyo hivyo mpaka ilipokuja kuharibika...
Ha ha haa
 
Habari wana JF.

I hope wote wazima wa afya. Twende moja kwa moja kwenye mada kumhonga mwanamke ni kitu cha kawaida sana ukiwa umempenda au kumuelewa. Huwezi kuacha kumhonga mwanamke maybe ukiwa hujavutiwa nae.

Kuna uzi humu mwana alisema akisikia mwenetu kahonga kagari anahisi kutetemeka [emoji23] kila mtu anahonga kwa uwezo wake.

Binafa kitu kikubwa ninachowaz kumhonga kiumbe huyu mwanamke pesa ya kununua tv samsng flat 52’ sijui yupo wap huyu dada maskinii bora ningewk zangu hiyo tv magetoni nicheck zang cartoon tu.

Tunawapenda sana dada zetu bila nyinyi cc si kitu heshima iwe kwenu.

FUNGUKA KITU GANI UMEWAH KUMHONGA KIUMBE HUYU MWANAMKE??
Hivi kuhonga maana yake nini?
 
Kwa mujibu wa kipato changu kitu kikubwa ambacho nilimuonga mwanamke kilikuwa na thamani ya shilingi laki nne na alfu sitini (460K

Na huyo niliyemuhonga hiko kitu ni mke wangu wa ndoa kabisa.
👏🏻👏🏻👏🏻👏🏻
 
Lile li dem nililionga ka goroka ka tecno ka 27k mbaya zaidi adi leo najuta kipindi namkabidhi getto Kuna ka toto kapisi ka jirani kaliingia getto bila kubisha odi kalikua kananiletea juice ya embe nikazuga uku nikijiongelesha .. ndo uache kutumia sim ya Bibi kuanzia leo Niki target ile pisi ijue kua mimi na hii manzi Ni ndugu .. na kweli Dem alikua anatumia sim ya Bibi yake so nikaua ndege wawili kwa jiwe moja ..

Picha linaanza nikaomba mzigo Dem hajui lolote Yani Ni zero kwa bed nikiweka tu linatetetma Kama mayele lina ruka ruka tu yan vurugu mara litoke kwa bed likae kwa Coach hovyoo kabisa mara lilale Kama limzoga nilipata hasira nikalitoa nduki.

Kesho yake asubui ka c ster kangu kananitumia text Kaka niletee kale ka sim kako kadogo sim yangu kio kimevuja ..

Nilipata hasira .. mpaka leo Dem akiniomba kitu hua nacheka kwa dharau .. imeisha iyoo ..
 
Mkuu acha usinitoneshe vidonda.

Jana tu apa kunademu nimemuhonga Redio ya Bluetooth zile za kichina .
kwa shariti la kupewa mzigo mpka sasa iv simu zangu apokei na wala msg zangu ajibu .

Apa nasubiri jioni ifike niende kwao nikadai changu

Sent from my SM-A107F using JamiiForums mobile app
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Pole Mkuu..
 
Aisee nilihonga pasi
Yule Dem shwain kweli Mimi nilijitoa kwake nikanunua pasi ili awe smart coz ndo kwanza alikua kaajiliwa lakin badae nikaja kujua bado ana mahusiano na kavulana kake ka chuo.

Nilimpiga tukio zito japo pasi nilimuachia.
Mwaka Jana niliona kaolewa na kajamaa kafupi Kama zakayo
[emoji28][emoji28][emoji28][emoji28][emoji28]
Pasi tu unaumia moyo kiasi hicho Bw. Shirima.[emoji28]
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom