William J. Malecela
R I P
- Apr 27, 2006
- 26,584
- 10,466
1. FMES, Pania zana Baba mapambano ndio kwanzaaa! yanaanza wengi watakuja CHUI katika sura ya MWANAKONDOO hatujamaliza hoja za mzee MBILINYI (Profesa) amezuku KITINE (Dr) hawa wazee nenda rudi wao walikua watu wa chama na serekali CCM was father to them and SEREKALI was mother WAKIISHI kwa kuvitegemea, WAKITUMWA NA KUTUMIKA,
2.WAKAJENGA,WAKILA,WAKINYWA,WAKINYA,WAKIVAA,WAKISTAREHE,WAKIRUKA na MADEGE HUKU na KULE zaidi ya yote wakilipwa MISHAHARA na MARUPURUPU kwa PESA ya WAVUJA JASHO wa TANZANIA isitoshe heshima tukawapa kwa kutegemea watachukua DHAMANA WALIOAPA kuipokea kwa moyo wa uaminifu.matokeo ni kuwa WAMETUSALITI na sasa wanonyesha UNAFIKI WAO kwa Watanzania. wana JF naomba tuelewane tuwe makini katika kusoma mistari na kuifasiri (read my lips) tusome midomo ya hawa
3. JAMAA kumbuka heshima uliyokuwa ukiwapa, hadhi na daraja ulilowaweka,hawakujali yote hayo WAKATUIBIA WAKAACHA WENZAO WAIBE na wao wako pale as PART and PARCEL ya uongozi wa CHAMA TAWALA na SEREKALI na hawa wazee wetu si wazungu wa reli kama Majuto na Kingwendu ni wasomi PROFESA mzima na DAKTARI mzima. Ni kweli kabisa wanayosema yanaweza kuwa na ukweli sipingi wala sikatai kuwa umo ukweli, lakini MLIKUWA WAPI WAKATI TAIFA LINAWAHITAJI KIKWELIKWELI na wakati mna MENO ya UWAZIRI na UKUU WA USALAMA wa TAIFA?????? Na namna ya kuwasilisha hoja zenu nayo ni potofu,
4. kwanza MNGETOA BORITI KWENYE MACHO YENU, mngetupa angalau Muktahsari wa DHAMBI zenu na kuonyesha HUZUNI juu ya USALITI mliotufanyia,Hapo MNGEKIONA VEMA VIBANZI KATIKA MACHO YA WENZENU!! Na ukweli ni kuwa katika hali hii si RAHISI usimzungumzie MTU au MATUKIO bali uzungumzie MAWAZO ni vigumu sana kwa sababu hawa jamaa wamehusika na hayo MATUKIO kinachoweza kuwatenganisha nayo ni MAHAKAMA ya Sheria tu na mawazo ndio hayo pia tunayajadli kwa MAONI yangu mawazo haya yakichukuliwa kama USHAHIDI wa MUHALIFU dhidi ya MUHALIFU mwanzie yatasaidia sana upande wa MASHTAKA Pengine nayo ikawasaidia wao mbele ya HAKIMU kupata ADHABU AFUENI kidogo.
5. Lakini sikubaliani na maoni ya kuwavalisha watu kama hawa KOFIA ya USHUJAA. Kama kuna KIZEE GAGULA Kingine kianze kuonyesha MIKOBA YAKE kwanza ndipo kifichue wengine.
- Mkuu tupo pamoja sana hapa, mpaka kieleweke!