Kitine: Nchi sasa yaongozwa kienyeji

Kitine: Nchi sasa yaongozwa kienyeji

Mmmhhhh!!! Viongozi wengine inabidi wapimwe akili kabla ya kupewa madaraka. Haya si maneno ya mtu mwenye akili timamu.

Mkuu, mimi huyu Chiligati sitaki hata kumsikia, nikiona picha yake TV na-switch channel, nikisoma jina lake katika gazeti I turn a page, nikisikia sauti yake katika redio I tune out! Yaani huyu mtu ni zero kabisaaaaa!
 
...what matters is not what Kitine did but what he said

Mag3, okay, sawa.

Kitine anatuasa kuhusu ufisadi, tukemee mafisadi. Na sisi tunasema, tumesikia, tutakemea.

Tunaanza na wewe, Kitine.

Si wewe ni fisadi ndani ya chama, mwaka 1998 ulifisadi $64,000, unatuasa tukemee mafisadi ndani chama, basi tunaanza na wewe!

Huwezi kuwa mlevi halafu ukawaambia watoto wako wasiwe walevi, it just does not work!
 
Huyu wakati wake ndio rushwa imechipuka na kuota mizizi sasa anataka kuchonga, yeye mwenyewe inatakiwa achunguzwe, mali alizojilimbikizia zimetokana na mshahara na marupurupu yake tu? aueleze uma, mali zake kazitowa wapi?

Tunakubaliana nawe kuwa huyu Bqwana achunguzwe lakini bado tunahitaji mchango wako kwa hoja alizotowa Kitine.
 
Mimi naona ni wimbo ule ule ambo umekuwa ukiimbwa na wanasiasa ambao ni victimis wa siasa za mgawanyo. Siasa za mtandao na asili zimewaumiza hawa waheshimiwa na sasa hivi wameanza kupigana madongo hadharani. Yeye kama mwanauslama mwandamizi kwanini anazungumzia uozo wa usalama, chama na serikali gazetini? Kwani anashindwa kumface RO na kumueleza, nini kinamzuia kumface JK na kumuambia hili mpaka awaambie watanzania ambao hawajui what is actually at stake? Anataka kutuambia usalama umeanza kuwa ovyo leo? Mbona katika utawala wote wa Mzee ruksa usalama ulikuwa ovyo zaidi kuliko hata sasa, why didn't he say then and say now.
Actually kama kuharibu idara hiyo he did a lot of damage.Maelezo yake yote haya hayana maana yeyote kwani mwalimu alimuondoa uwt kwa sababu ya scandals chungu nzima.hafai hata kidogo haya anayosema ni nadharia tuu hayapo moyoni.usidanganywe ukiona fisi akilamba mzonga ukidhani anusikitikia.
 
Kuhani,

...waliokwisha uona ubaya/uzuri wa ulevi ndio the right people to speak...eehh
 
Fortunately for those who have the interest of the country at heart, what matters is not what Kitine did but what he said - again the choice is simple.

Ridiculous! The nation is built/destroyed by deeds, not by condemning wrong doers. Kitine failed Tz by his deeds; that should matter the most.
 
I live to disagree. Kiongozi anapostaafu anatakiwa awe kisima cha wisdom cha uongozi uliopo madarakani. Wisdom yake itatokana na performance ya uongozi wake uliopita. Leo hii tutakuwa wapumbavu endapo tutachota wisdom ya viongozi wastaafu wanaonuka rushwa na waliosababisha umaskini wetu kwa namna moja au nyingine.

Kiongozi aliyeliibia taifa wakati wa uongozi wake na kutufanya tuwe maskini anatakiwa ashitakiwe kwanza kabla ya yeye kukemea matendo mabaya.

Inasikitisha; wezi wa taifa letu wa miaka nenda rudi wako mitaani na kibaya zaidi sasa wana nguvu za kukemea wenzao. Wanachofanya ni kutonesha damu kwenye donda ndugu walizotuachia. This only happens in Tz.

Hakuna popote niliposema kwamba tuchote wisdom za Kitine. Nilichosema ni kwamba tuyapime aliyoyasema Kitine kama yana ukweli na yanastahili kujadiliwa na Watanzania wengine. Kuyajadili waliosema Watanzania wenzetu hata kama ni mafisadi haina maana tunachukua wisdom zao au tuna mpango wa kufanya hivyo.

Pamoja na madhambi yao waliyofanya bado katiba yetu inawapa uhuru wa kutoa maoni yao kuhusu mwenendo wa nchi yetu. Kama kipengele hicho kitabadilishwa na kusema mafisadi hawana ruhusa ya kuzungumza lolote kuhusiana na mwenendo wa nchi yetu hapo nitakubaliana na wewe vinginevyo Kitine ana haki kama Mtanzania mwingine yeyote yule kutoa maoni kuhusu yale ambayo hayamridhishi katika uongozi wa nchi yetu. Tusitake kupitisha sheria zisikuwepo na kuminya uhuru wa baadhi ya Watanzania.
 
Last edited:
Kuhani,

...waliokwisha uona ubaya/uzuri wa ulevi ndio the right people to speak...eehh

You may want to rephrase that Ogah...to something like this...maybe....'waliokwisha lipa madhara/ gharama ya ulevi ndio the right people to speak...eehh'....how does that sound?
 
- Huwezi kuwa mlevi halafu ukawaambia watoto wako wasiwe walevi, it just does not work!

Hapa sikubaliani na wewe FMES. Ukiwaambia wanao kwamba maisha yako yameharibika sana kutokana na ulevi wako kwa kuwa umepoteza nafasi nyingi na nzuri za kazi na mapesa mengi kwa ulevi basi wanaweza kabisa kukusikiliza maana wewe ni mfano hai. Wanangu mkitaka kujua ubaya wa ulevi wala msiende mbali niangalieni mimi baba yenu nimeharibikiwa maishani mwangu kutokana na ulevi hivyo nawaomba sana msiguse kabisa kilevi cha aina yoyote ile. Watoto hapa watasikiliza na kufuata ushauri wa baba yao. Siyo kila baba mlevi watoto wake wamekuwa walevi.
 
You may want to rephrase that Ogah...to something like this...maybe....'waliokwisha lipa madhara/ gharama ya ulevi ndio the right people to speak...eehh'....how does that sound?

.......there you are buddy!.......TGIF!
 
.......there you are buddy!.......TGIF!

Okay..now back to Kitine...the guy hasn't faced the music nor suffered the consequences of his ufisadi....so he really should just sit down and be quite...
 
Okay..now back to Kitine...the guy hasn't faced the music nor suffered the consequences of his ufisadi....so he really should just sit down and be quite...

......he has/is paid/paying back half of the bill as evaluated.....isn't it.......
 
......he has/is paid/paying back half of the bill as evaluated.....isn't it.......

why just half? and where is the proof? and where is he getting the money to pay back what he embezzled?
 
Hapa sikubaliani na wewe FMES. Ukiwaambia wanao kwamba maisha yako yameharibika sana kutokana na ulevi wako kwa kuwa umepoteza nafasi nyingi na nzuri za kazi na mapesa mengi kwa ulevi basi wanaweza kabisa kukusikiliza maana wewe ni mfano hai. Wanangu mkitaka kujua ubaya wa ulevi wala msiende mbali niangalieni mimi baba yenu nimeharibikiwa maishani mwangu kutokana na ulevi hivyo nawaomba sana msiguse kabisa kilevi cha aina yoyote ile. Watoto hapa watasikiliza na kufuata ushauri wa baba yao. Siyo kila baba mlevi watoto wake wamekuwa walevi.

- Bubu sikusema maneno yote hayo, nimesema hivi baba mlevi hawezi fundisha watoto wake wasiwe walevi, mwizi Kitine ahwezi tufundisha wa-Tanzania tusiwe wezi,

- Mwalimu hakuwa mwizi ndio maana aliweza kukemea wezi bila kuogopa na wananchi tulikuwa tunamsikiliza, unafikiri kwa nini Pelps amefukuzwa na Wheaties ni kwa sababu mvuta bangi hawezi wafundisha watoto wasivute bangi..
 
"Simple minds discuss people, ordinary minds discuss events and great minds discuss ideas". I believe we have a choice here - to discuss Kitine, to discuss what he did or to discuss the ideas he put forward. For some the choice will be simple, for others it will be hard and for the rest it wont matter. We are in dire need for help for we are stuck in the mud and are sinking fast - do we grab any rope thrown to us or do we sink and die ? Kitine was once part of the Mafia and for breaking the code of silence, they have but two choices - silence him or ignore and discredit him. Fortunately for those who have the interest of the country at heart, what matters is not what Kitine did but what he said - again the choice is simple.

...good to have people who can be reasonable, and not just trying to discredit a good point. I totally concur with u!
 
Kuhani,

...waliokwisha uona ubaya/uzuri wa ulevi ndio the right people to speak...eehh

Right, kwa hiyo Kitine inabidi asimame aseme "ninachoweza ku share na nyinyi kuhusu experiences zangu za ufisadi ni kwamba unaweza kupoteza kazi kaa mimi, unaweza kufungwa jela, ingawa mimi niliponea chupuchupu, unaweza kupoteza credibility maisha, na kila unachosema kinaonekana ni cha kinafiki tu, etc. etc. kwa hiyo tujaribu kuepuka haya yaliyonikuta mimi."

Ndivyo wanavyofanya wenzake recovered alcoholic anonymous wakiongea kwenye teenage community centers.

Hawahamaki "...COMMUNITY IMEJAA WALEVI! ENZI ZETU KULIKUWA HAKUNA ULEVI! VIONGOZI WA COMMUNITY HAWAPIGI VITA DRUNK DRIVERS...."

No, no, no, taratibu Mr. Recovered Fisadi Kitine.

We tueleze kwa unyenyekevu tu, tunaweza kujifunza nini kutoka katika experiences za ufisadi wako, sio ku lambast mafisadi wenzio. Huna moral authority.
 
Honestly, I dunno!

...ehhehehehe...well, then maybe you need to sit down and be quiet then...you out here running your mouth like you know something when you just admitted you don't know...lol
 
Back
Top Bottom