Marco Seth
JF-Expert Member
- Oct 21, 2022
- 4,802
- 5,856
Alf mbona nyama zingn wanakulaMudi alishindwa kuafford hela ya kitimoto akailaani ati haramu.
Alf mbona nyama zingn wanakulaMudi alishindwa kuafford hela ya kitimoto akailaani ati haramu.
WAIT AND YOU SHALL SEEUnaishi kwenye medieval ages nyakati hizi za sayansi na teknolojia.Uchaguzi ni wako.Acha kujipa cheo cha mshauri wa kijiji.Ishi kwa kadiri ya furaha yako.Mimi leo hii nipo ghorofa ya tano.Sijui wewe unahangaikia wapi!Adios...Amigos!
Ingeanza kwa waasia hasa wachina ambao wanaongoza kwa kubugia kitimoto duniani.Je,unajua kwamba robo tatu ya nguruwe waliopo duniani wapo China?Kalaga baho ule senene!WAIT AND YOU SHALL SEE
Tumeokolewa kwa neema tunaishi kwa agano jipya! Yesu aliyafuta yote haya msalabaniMambo ya Walawi 11:7-8
"Nguruwe ni mchafu kwenu; nyama yake msiile, wala msiguse maiti yake; mtakuwa mchafu nayo."
Mambo ya Kumbukumbu 14:8
"Nguruwe, ingawa ana maguzo, hayala; ni mchafu kwenu. Msimle nyama yake wala msimgoze."
Isaya 65:4
"Ambao hufuata njia za Bwana, wala hawalitambui mahali pa Mungu wao, wakalala juu ya ngozi za nguruwe, wakachukua kwa mikono yao vionjo vya wanyama wasio safi."
Isaiah 66:17
"Wao watakufa, kwa moto watakufa, watu wa mnyama na waliotumikia nguruwe, wale wanaojidai kuwa watakasifu, na waliopenda matusi."
HAya ni Maneno yako hayapo popote pale penye maandiko matakatifuKatazo limekaa kiafya zaidi kuliko Dhambi...mchafu, mtakufa coz ukipika vibaya or asipoiva minyoo itakuua....usilazimishe kwamba kula Nguruwe ni Dhambi....na andika la kula Nguruwe ni Dhambi halipo
Mueleze huyo aelewe.Tumeokolewa kwa neema tunaishi kwa agano jipya! Yesu aliyafuta yote haya msalabani
Ndiyo, katika Agano la Kale, Mungu aliwakataza Waisraeli kula nguruwe kwa sababu ilikuwa mnyama mchafu kulingana na sheria za Walawi (Walawi 11:7-8 na Kumbukumbu 14:8). Hii ilikuwa sehemu ya sheria za kutakasa maisha ya Waisraeli kama taifa takatifu.
Lakini, katika Agano Jipya, mtazamo kuhusu vyakula ulibadilika
Marko 7:18-19
Yesu alisema ``mKile kinachoingia kwa kinywa hakimpatii mtu unajisi... hivyo aliitangaza vyakula vyote kuwa safi.”
Matendo 10:9-16
Mtume Petro alionyeshwa maono ya kila aina ya wanyama (wakiwemo wasio safi), na Mungu akamwambia: "Usikiharibu kitu ambacho Mungu amekitakasa."
Agano jipya limekuja kupinga agano la kale?Tumeokolewa kwa neema tunaishi kwa agano jipya! Yesu aliyafuta yote haya msalabani
Ndiyo, katika Agano la Kale, Mungu aliwakataza Waisraeli kula nguruwe kwa sababu ilikuwa mnyama mchafu kulingana na sheria za Walawi (Walawi 11:7-8 na Kumbukumbu 14:8). Hii ilikuwa sehemu ya sheria za kutakasa maisha ya Waisraeli kama taifa takatifu.
Lakini, katika Agano Jipya, mtazamo kuhusu vyakula ulibadilika
Marko 7:18-19
Yesu alisema ``mKile kinachoingia kwa kinywa hakimpatii mtu unajisi... hivyo aliitangaza vyakula vyote kuwa safi.”
Matendo 10:9-16
Mtume Petro alionyeshwa maono ya kila aina ya wanyama (wakiwemo wasio safi), na Mungu akamwambia: "Usikiharibu kitu ambacho Mungu amekitakasa."
Agano la kale ni stori nyingi, kama ukinipa neno la yesu mwenyew kuhalalisha nguruwe nitakuelewaAgano jipya linasemaje?
Biblia huwa haisomwi hivyo mzee.. amini unachokiamini usilazimishe tu kuwaaminisha wasioamini kikubwa wamekusikia basi..Agano jipya limekuja kupinga agano la kale?
Kukamilisha.Agano jipya limekuja kupinga agano la kale?
Je vitu vyote duniani vilitajwa kuhalalishwa?Agano la kale ni stori nyingi, kama ukinipa neno la yesu mwenyew kuhalalisha nguruwe nitakuelewa
Agano la kale ni stori nyingi, kama ukinipa neno la yesu mwenyew kuhalalisha nguruwe nitakuelewa
Mimi situmii lakini naotea ni ya kuokwa hiyo.Imetulia sana.Waambie wakuletee chumvi kiasi.
Ingeanza kwa waasia hasa wachina ambao wanaongoza kwa kubugia kitimoto duniani.Je,unajua kwamba robo tatu ya nguruwe waliopo duniani wapo China?Kalaga baho ule senene!
Huu ni utoto
Hicho kilitajwa specific kwamba n haramu hivo kama Kuna amri ya kutengeu hilo ilete ikiwa specific hapaJe vitu vyote duniani vilitajwa kuhalalishwa?
Unajua naanza ya kukamilisha?Kukamilisha.
Biblia inasomwaje?Biblia huwa haisomwi hivyo mzee.. amini unachokiamini usilazimishe tu kuwaaminisha wasioamini kikubwa wamekusikia basi..