Kitimoto inaliwa na wenye pesa tu!

Kitimoto inaliwa na wenye pesa tu!

Hi
Hapo sawa tutaongea sasa,

Haya andiko jingine hili hapa Matendo 10:9-16 Mtume Petro alionyeshwa maono ya kila aina ya wanyama (wakiwemo wasio safi), na Mungu akamwambia: "Usikiharibu kitu ambacho Mungu amekitakasa."

Warumi 14:14
Paulo asema “Najua na kusadiki katika Bwana Yesu, ya kuwa hakuna kitu kilicho najisi kwa asili yake...”

Kwa hiyo Kulingana na sheria ya Musa (Agano la Kale) Nguruwe ni haramu kwa Waisraeli.
Na Kulingana na neema ya Kristo (Agano Jipya) Vyote ni safi, ila mtu asimkoseshe mwingine kwa chakula chake.

All in all wewe Kama unaongozwa na dhamiri yako au imani fulani ya kutokula, ni sawa kabisaa.. Lakini katika Kristo, si lazima kushika sheria ya kutokula nguruwe.
na kusadiki katika Bwana Yesu, ya kuwa hakuna kitu kilicho najisi kwa asili yake..
Yaishe
 
Wewe kwa hiyo head yako kama punje ya mchele hauhitajiki kujibiwa (siyo kupingwa) kwa andiko.Kuna vitu vipo wazi vinajieleza tu bila maandiko.Kwa mfano,mtu akikuambia amekunya na unayaona aliyokunya,utambishia na kumtaka akuoneshe utumbo wake?
NB;Mimi ni mchokozi sana.
Unachangamoto ya afya ya akili
 
Wewe kwa hiyo head yako kama punje ya mchele hauhitajiki kujibiwa (siyo kupingwa) kwa andiko.Kuna vitu vipo wazi vinajieleza tu bila maandiko.Kwa mfano,mtu akikuambia amekunya na unayaona aliyokunya,utambishia na kumtaka akuoneshe utumbo wake?
NB;Mimi ni mchokozi sana.
Yaani biblia sijui watu huwa wanaisomaje jamni, mfano lile fungu la tajiri kuuona ufalme wa mbinguni mstari huo unatoka kwenye Mathayo 19:24, unasema
"Tena nawaambia, ni rahisi ngamia kupenya katika tundu la sindano kuliko tajiri kuingia katika ufalme wa Mungu."

Yesu alitumia mfano huu kuonesha jinsi ilivyo vigumu kwa mtu tajiri ambaye amefunga moyo wake kwa mali kuingia katika ufalme wa Mungu. Haimaanishi kuwa kila tajiri hawezi kuokoka, bali inalenga kuonya juu ya hatari ya kutegemea mali kuliko Mungu.. sasa kila mtu akisoma biblia kama gazeti huwa inakuwa ngumu mno kumuelewesha we need the Holy spirit in this…
 
Hi
Yaishe
Wabheja sana😅
Last but not least…

Matendo ya Mitume 10:15
"Sauti ikamjia mara ya pili kutoka mbinguni, ikasema, Usikiite najisi kitu ambacho Mungu amekitakasa."

Hapa Mungu alikuwa akimfundisha Petro kwamba hata watu wa mataifa (wasio Wayahudi) hawapaswi kuonekana kuwa najisi, na kwa upana wake pia linaashiria kuwa hata vyakula vilivyokuwa haramu chini ya sheria ya Musa sasa vimefanywa safi kupitia Kristo.

Maono haya yalikuja mara tatu kwa Petro, kuonesha uzito wa ujumbe huo (soma Matendo 10:9-16)…
 
Yaani biblia sijui watu huwa wanaisomaje jamni, mfano lile fungu la tajiri kuuona ufalme wa mbinguni mstari huo unatoka kwenye Mathayo 19:24, unasema
"Tena nawaambia, ni rahisi ngamia kupenya katika tundu la sindano kuliko tajiri kuingia katika ufalme wa Mungu."

Yesu alitumia mfano huu kuonesha jinsi ilivyo vigumu kwa mtu tajiri ambaye amefunga moyo wake kwa mali kuingia katika ufalme wa Mungu. Haimaanishi kuwa kila tajiri hawezi kuokoka, bali inalenga kuonya juu ya hatari ya kutegemea mali kuliko Mungu.. sasa kila mtu akisoma biblia kama gazeti huwa inakuwa ngumu mno kumuelewesha we need the Holy spirit in this…
Kabisa
 
Back
Top Bottom