Kitimoto inaliwa na wenye pesa tu!

Kitimoto inaliwa na wenye pesa tu!

Biblia inasomwaje?
Ngoja kwanza🤤
942CDB53-E106-448C-BAE0-30BCED6C427C.jpeg
 

Attachments

  • 837BB0C4-93C5-44EB-BE77-F9273004F164.jpeg
    837BB0C4-93C5-44EB-BE77-F9273004F164.jpeg
    430.2 KB · Views: 13
Kuanzia kushoto kwenda kulia tena kwa utulivu wa mwili, nafsi na roho kuongozwa.
Hapa pazuri sana, naamin kila andiko Kwenye biblia linatafsiri yake kutoka kwa watu wabobevu katika theology na wenye nyadhifa kubwa Kwenye dini au huko Kwenye Kila mtu anatafsiri maandiko anavojisikia?
 
Hapa pazuri sana, naamin kila andiko Kwenye biblia linatafsiri yake kutoka kwa watu wabobevu katika theology na wenye nyadhifa kubwa Kwenye dini au huko Kwenye Kila mtu anatafsiri maandiko anavojisikia?
Kwa kufuata miongozo sahihi.Si kama wewe unayesoma na kuchukua mstari mmoja ambao haujakamilika ili uje uutumie kubishana.
 
Kwa kufuata miongozo sahihi.Si kama wewe unayesoma na kuchukua mstari mmoja ambao haujakamilika ili uje uutumie kubishana.
Umeleta andiko gani ambalo nabishana nalo?

Ww unamatatizo ya akili?

Nmeleta agano la kale likitaja moja kwa moja kuwa nguruwe haram, ww unaleta vioja halafu unasema mm nmekuja kubishana, hvi ww ni mzma?
 
Ngoja kwanza🤤
942cdb53-e106-448c-bae0-30bced6c427c-jpeg.3458479


sasa si umuulize kwanza yeye haya maswali na uache kukasirika sio nzuri kiafya😆
Mm siwez mkataza mtu kula chochote kile maana wote tunadhambi tofaut tofaut sina wema huo wakusema nianze kusema nianze kumuhuburia asile et dhambi lakn nishamwambia ni haram kama ilivozinaa, wizi n.k

Kwahyo kula kutokula ni juu yake mwenyw maana hata zinaa hatujaacha tunaendelea nayo japo ni haram pia

Lakn kukumbushana hiki ni haram na hiki halal ni jukumu letu haijalishi ni kitu gani ilimrad unajua unachofanya dhambi inatosha sana hata ukichomwa moto uko mbinguni unajua uloyatenda toka duniani ni dhambi
 
Daah huyu kiumbe nkimuona Roho yangu inataradadi Mashalaah Yan Mwenyezi Mungu tunakushukuru sana kutuletea haka Kamnyama kenyewe Kapolee🫢🫢😋😋😘🐖🐖
 
Mm siwez mkataza mtu kula chochote kile maana wote tunadhambi tofaut tofaut sina wema huo wakusema nianze kusema nianze kumuhuburia asile et dhambi lakn nishamwambia ni haram kama ilivozinaa, wizi n.k

Kwahyo kula kutokula ni juu yake mwenyw maana hata zinaa hatujaacha tunaendelea nayo japo ni haram pia

Lakn kukumbushana hiki ni haram na hiki halal ni jukumu letu haijalishi ni kitu gani ilimrad unajua unachofanya dhambi inatosha sana hata ukichomwa moto uko mbinguni unajua uloyatenda toka duniani ni dhambi
Hapo sawa tutaongea sasa,

Haya andiko jingine hili hapa Matendo 10:9-16 Mtume Petro alionyeshwa maono ya kila aina ya wanyama (wakiwemo wasio safi), na Mungu akamwambia: "Usikiharibu kitu ambacho Mungu amekitakasa."

Warumi 14:14
Paulo asema “Najua na kusadiki katika Bwana Yesu, ya kuwa hakuna kitu kilicho najisi kwa asili yake...”

Kwa hiyo Kulingana na sheria ya Musa (Agano la Kale) Nguruwe ni haramu kwa Waisraeli.
Na Kulingana na neema ya Kristo (Agano Jipya) Vyote ni safi, ila mtu asimkoseshe mwingine kwa chakula chake.

All in all wewe Kama unaongozwa na dhamiri yako au imani fulani ya kutokula, ni sawa kabisaa.. Lakini katika Kristo, si lazima kushika sheria ya kutokula nguruwe.
na kusadiki katika Bwana Yesu, ya kuwa hakuna kitu kilicho najisi kwa asili yake..
 
Daah huyu kiumbe nkimuona Roho yangu inataradadi Mashalaah Yan Mwenyezi Mungu tunakushukuru sana kutuletea haka Kamnyama kenyewe Kapolee🫢🫢😋😋😘🐖🐖
Sio kapole haka unakaonaga tu kwenye sahani eeh😂
 
Ndo maana nikuambia ww sio mzma unatatzo la Neva, nani aloanza shobo Kwa mwenzie?

Mm nmeleta andiko na ww ungepinga kwaandiko sio mm nikuombe andiko wakati sikuanza kuquote
Wewe kwa hiyo head yako kama punje ya mchele hauhitajiki kujibiwa (siyo kupingwa) kwa andiko.Kuna vitu vipo wazi vinajieleza tu bila maandiko.Kwa mfano,mtu akikuambia amekunya na unayaona aliyokunya,utambishia na kumtaka akuoneshe utumbo wake?
NB;Mimi ni mchokozi sana.
 
Back
Top Bottom