Analogia Malenga
JF-Expert Member
- Feb 24, 2012
- 5,038
- 9,928
Mbunge wa Ubungo Kitila Mkumbo amekosoa hatua ya CHADEMA ya kuwafukuza wabunge 19 wa viti maalumu walioteuliwa kwa tiketi ya chama hiko.
Amesema "Inaogopesha kuona njia pekee ya CHADEMA kutatua migogoro ya ndani ni kufukuzana. Duniani kote vyama vya upinzani vinaongoza kuwa na utamaduni wa kuvumiliana,kama Chadema wanatumia mabavu kiasi hiki kwa akina Halima Mdee wakiwa hawana dola, siku wakipewa dola itakuwaje"
Kuhusu kura ya wazi, Kitila amesema "Kura ya wazi/hadharani kwenye Demokrasia sio nzuri, na sio sahihi kwa chama kinachopigania Demokrasia hasa chama cha upinzani kama CHADEMA, ni kura inayokulazimisha mtu ufanye maamuzi ya "Group Thinking" Prof. Kitila Mkumbo
Amesema "Inaogopesha kuona njia pekee ya CHADEMA kutatua migogoro ya ndani ni kufukuzana. Duniani kote vyama vya upinzani vinaongoza kuwa na utamaduni wa kuvumiliana,kama Chadema wanatumia mabavu kiasi hiki kwa akina Halima Mdee wakiwa hawana dola, siku wakipewa dola itakuwaje"
Kuhusu kura ya wazi, Kitila amesema "Kura ya wazi/hadharani kwenye Demokrasia sio nzuri, na sio sahihi kwa chama kinachopigania Demokrasia hasa chama cha upinzani kama CHADEMA, ni kura inayokulazimisha mtu ufanye maamuzi ya "Group Thinking" Prof. Kitila Mkumbo