Kitila Mkumbo awakosoa CHADEMA juu ya kuwafukuza wabunge wa viti maalum

Mbunge wa Ubungo Kitila Mkumbo amekosoa hatua ya CHADEMA ya kuwafukuza wabunge 19 wa viti maalumu walioteuliwa kwa tiketi ya chama hiko.

Amesema "Inaogopesha kuona njia pekee ya CHADEMA kutatua migogoro ya ndani ni kufukuzana. Duniani kote vyama vya upinzani vinaongoza kuwa na utamaduni wa kuvumiliana,kama Chadema wanatumia mabavu kiasi hiki kwa akina Halima Mdee wakiwa hawana dola, siku wakipewa dola itakuwaje"

Kuhusu kura ya wazi, Kitila amesema "Kura ya wazi/hadharani kwenye Demokrasia sio nzuri, na sio sahihi kwa chama kinachopigania Demokrasia hasa chama cha upinzani kama CHADEMA, ni kura inayokulazimisha mtu ufanye maamuzi ya "Group Thinking" Prof. Kitila Mkumbo
POYOYO!

Sent from my SM-A115AZ using JamiiForums mobile app
 
Vipi yeye kule aliko sasa zilikuwa zinapigwa kura za aina gani na bungeni huwa inapigwa kura ya aina gani
Mbunge wa Ubungo Kitila Mkumbo amekosoa hatua ya CHADEMA ya kuwafukuza wabunge 19 wa viti maalumu walioteuliwa kwa tiketi ya chama hiko.

Amesema "Inaogopesha kuona njia pekee ya CHADEMA kutatua migogoro ya ndani ni kufukuzana. Duniani kote vyama vya upinzani vinaongoza kuwa na utamaduni wa kuvumiliana,kama Chadema wanatumia mabavu kiasi hiki kwa akina Halima Mdee wakiwa hawana dola, siku wakipewa dola itakuwaje"

Kuhusu kura ya wazi, Kitila amesema "Kura ya wazi/hadharani kwenye Demokrasia sio nzuri, na sio sahihi kwa chama kinachopigania Demokrasia hasa chama cha upinzani kama CHADEMA, ni kura inayokulazimisha mtu ufanye maamuzi ya "Group Thinking" Prof. Kitila Mkumbo
 
Mbunge wa Ubungo Kitila Mkumbo amekosoa hatua ya CHADEMA ya kuwafukuza wabunge 19 wa viti maalumu walioteuliwa kwa tiketi ya chama hiko.

Amesema "Inaogopesha kuona njia pekee ya CHADEMA kutatua migogoro ya ndani ni kufukuzana. Duniani kote vyama vya upinzani vinaongoza kuwa na utamaduni wa kuvumiliana,kama Chadema wanatumia mabavu kiasi hiki kwa akina Halima Mdee wakiwa hawana dola, siku wakipewa dola itakuwaje"

Kuhusu kura ya wazi, Kitila amesema "Kura ya wazi/hadharani kwenye Demokrasia sio nzuri, na sio sahihi kwa chama kinachopigania Demokrasia hasa chama cha upinzani kama CHADEMA, ni kura inayokulazimisha mtu ufanye maamuzi ya "Group Thinking" Prof. Kitila Mkumbo
Yaani uwe na wabunge ambao hawachaguliwa na wamegushi kwenda bungeni halafu uone poa! sasa hiko kitakuwa chama gani ! Chadema hawajakosea kwenye hili ni CCM tu ndiyo walitaka wapate kitu cha kuwasema Chadema na hawajafanikiwa. Mkumbo naye alifukuzwa kama hawa sasa hawezi kusema mazuri
 
Mbunge wa Ubungo Kitila Mkumbo amekosoa hatua ya CHADEMA ya kuwafukuza wabunge 19 wa viti maalumu walioteuliwa kwa tiketi ya chama hiko.

Amesema "Inaogopesha kuona njia pekee ya CHADEMA kutatua migogoro ya ndani ni kufukuzana. Duniani kote vyama vya upinzani vinaongoza kuwa na utamaduni wa kuvumiliana,kama Chadema wanatumia mabavu kiasi hiki kwa akina Halima Mdee wakiwa hawana dola, siku wakipewa dola itakuwaje"

Kuhusu kura ya wazi, Kitila amesema "Kura ya wazi/hadharani kwenye Demokrasia sio nzuri, na sio sahihi kwa chama kinachopigania Demokrasia hasa chama cha upinzani kama CHADEMA, ni kura inayokulazimisha mtu ufanye maamuzi ya "Group Thinking" Prof. Kitila Mkumbo
Huko mjengoni wote ni viti maalumu .
 
Mbunge wa Ubungo Kitila Mkumbo amekosoa hatua ya CHADEMA ya kuwafukuza wabunge 19 wa viti maalumu walioteuliwa kwa tiketi ya chama hiko.

Amesema "Inaogopesha kuona njia pekee ya CHADEMA kutatua migogoro ya ndani ni kufukuzana. Duniani kote vyama vya upinzani vinaongoza kuwa na utamaduni wa kuvumiliana,kama Chadema wanatumia mabavu kiasi hiki kwa akina Halima Mdee wakiwa hawana dola, siku wakipewa dola itakuwaje"

Kuhusu kura ya wazi, Kitila amesema "Kura ya wazi/hadharani kwenye Demokrasia sio nzuri, na sio sahihi kwa chama kinachopigania Demokrasia hasa chama cha upinzani kama CHADEMA, ni kura inayokulazimisha mtu ufanye maamuzi ya "Group Thinking" Prof. Kitila Mkumbo
Kumbe Ccm na bunge wana jua hawa covid 19 wamefukuzwa? Sasa mahakama ina subiri nini?
Hawa wanao jiita sijui Phd sijui Dr nimetokea kuwadharau sana yaani wamezidi kukariri mambo.
 
Mbunge wa Ubungo Kitila Mkumbo amekosoa hatua ya CHADEMA ya kuwafukuza wabunge 19 wa viti maalumu walioteuliwa kwa tiketi ya chama hiko.

Amesema "Inaogopesha kuona njia pekee ya CHADEMA kutatua migogoro ya ndani ni kufukuzana. Duniani kote vyama vya upinzani vinaongoza kuwa na utamaduni wa kuvumiliana,kama Chadema wanatumia mabavu kiasi hiki kwa akina Halima Mdee wakiwa hawana dola, siku wakipewa dola itakuwaje"

Kuhusu kura ya wazi, Kitila amesema "Kura ya wazi/hadharani kwenye Demokrasia sio nzuri, na sio sahihi kwa chama kinachopigania Demokrasia hasa chama cha upinzani kama CHADEMA, ni kura inayokulazimisha mtu ufanye maamuzi ya "Group Thinking" Prof. Kitila Mkumbo
huyo kala hadi kavimbiwa, atueleze alinunuliwa na ccm kwa sh ngapi
 
Kuna kosa la kuvumiliana lakini sio hili.

Tena hawa mbona adhabu yao imekuwa ndogo tu, amesahau marehemu alitufundisha adhabu ya msaliti ni nini?
Kwa mujibu wa mwendakuzimu Jiwe msaliti anapaswa kuuawa hivyo basi kwa standards za Jiwe ina maana CHADEMA wamewaonea huruma sana hao Covid19 .
 
Mbunge wa Ubungo Kitila Mkumbo amekosoa hatua ya CHADEMA ya kuwafukuza wabunge 19 wa viti maalumu walioteuliwa kwa tiketi ya chama hik
Amesema "Inaogopesha kuona njia pekee ya CHADEMA kutatua migogoro ya ndani ni kufukuzana. Duniani kote vyama vya upinzani vinaongoza kuwa na utamaduni wa kuvumiliana,kama Chadema wanatumia mabavu kiasi hiki kwa akina Halima Mdee wakiwa hawana dola, siku wakipewa dola itakuwaje"

Kuhusu kura ya wazi, Kitila amesema "Kura ya wazi/hadharani kwenye Demokrasia sio nzuri, na sio sahihi kwa chama kinachopigania Demokrasia hasa chama cha upinzani kama CHADEMA, ni kura inayokulazimisha mtu ufanye maamuzi ya "Group Thinking" Prof. Kitila Mkumbo
ETI Msaliti MM2 ana ujasiri wa kujitokeza na kutetea usaliti na Wasaliti. Waungane tu waende UMOJA party.
 
Mbunge wa Ubungo Kitila Mkumbo amekosoa hatua ya CHADEMA ya kuwafukuza wabunge 19 wa viti maalumu walioteuliwa kwa tiketi ya chama hiko.

Amesema "Inaogopesha kuona njia pekee ya CHADEMA kutatua migogoro ya ndani ni kufukuzana. Duniani kote vyama vya upinzani vinaongoza kuwa na utamaduni wa kuvumiliana,kama Chadema wanatumia mabavu kiasi hiki kwa akina Halima Mdee wakiwa hawana dola, siku wakipewa dola itakuwaje"

Kuhusu kura ya wazi, Kitila amesema "Kura ya wazi/hadharani kwenye Demokrasia sio nzuri, na sio sahihi kwa chama kinachopigania Demokrasia hasa chama cha upinzani kama CHADEMA, ni kura inayokulazimisha mtu ufanye maamuzi ya "Group Thinking" Prof. Kitila Mkumbo
Kitila mkumbo ni mpumbafu kama wapumbafu wengine.

Hana mapya na kwa ubungo ashukuru mwendazake alimpa ubunge
 
Hawa ndio wale 'ma-propesa' wanaoishi kwa kupiga magoti ili waishi!
Unapokuwa na elimu kama hii halafu unaishi kwa unafiki na undumilakuwili ni kuidharaulisha taaluma!
Hivi ni professor kwenye nini. Maana hizi taaluma za art siko familiar nazo
 
Ameongea kama mwalimu sio kisiasa , kura ya wazi ni UHUNI na uchonganishi.
 
Back
Top Bottom