Ubaya ni kuwa ....sifa mbaya inakuja Hadi kwetuHii timu inafahamika duniani kote kwa kundekeza vitendo vya kishirikina. Halafu kinachosikitisha sasa, huwa wanafanya hivyo vitendo vyao mbele ya hadhara eti!! Huwa hawaoni hata aibu.
Kwani kwa Mzize na Kibwana Shomari waling'ata maneno?Kama ni kitendo Cha kishirikina TFF hawang'ati maneno, ndio maana Kuna vitendo vya kishirikina katika mechi za simba vimedhihirika na kutamkwa hadharani na Tff.
Ndio maana caf hawakung'ata maneno wakashusha rungu sasa wanasubiri mjichanganye tena.Kwani kwa Mzize na Kibwana Shomari waling'ata maneno?
SISI TUNASAJILI WACHEZAJI WA YOUTUBE, NDUMBA ZINATUFAAKwamba hamuamini kwenye kusajili quality players
Keshokutwa sioni tukitoboa mbele ya AHLYBasi mwafwa
Kesho yake tutaanzisha uzi wa kumlaumu Mangungu na chama wanahujumu timuTushatolewa mkuu...
Nime search Google vitendo kishirikina vinavyoweza kuathiri matokeo
1.Kupanga matokeo ya mechi mapema
2.Kutoa au kupokea hongo
3.Kushawishi maamuzi ya waamuzi
4.Kufanya vurugu au vitisho dhidi ya wachezaji, waamuzi, au mashabiki
Kwa hiyo wanamini ushirikina unasaidia timu kupata ushindi au una athari gani kwa timu pinzani?Hawaamini ....ila ukionesha indications zake ...Wana kunyoosha
Hapana Bali naona wanaogopa kuaibika kimataifaKwa hiyo wanamini ushirikina unasaidia timu kupata ushindi au una athari gani kwa timu pinzani?