Kisa uchawi, Simba yaadhibiwa tena na TFF

Labani og

JF-Expert Member
Sep 15, 2020
15,776
24,211
Klabu ya Simba imetozwa faini ya Sh. 1,000,000 (milioni moja) kwa kosa la mashabiki wake pamoja na walinzi wake wa uwanjani (stewards)kupanga njama na kufanikisha azma ya kuingia uwanjani na kufanya vitendo vinavyoashiria imani za kishirikina wakati mchezo dhidi ya Mashujaa Fc ukiendelea kwenye uwanja wa Azam Complex Machi 15, 2024.

Walinzi wa uwanjani (stewards) wa klabu ya Simba, Kessy Mohamed, Mrisho Mindu Pamoja na Mohamed Salmin pamoja na shabiki aliyefahamika kwa jina la Mohamed Saleh, wamefungiwa kuingia viwanjani kwa kipindi cha miezi 12 (kumi na miwili) kwa kosa la kushiriki katika tukio la mashabiki kuingia uwanjani wakati mchezo tajwa hapo juu ukiendelea.

Bodi ya Ligi Kuu Tanzania inaendelea na uchunguzi wenye lengo la kufahamu wahusika wengine wa tukio hilo ambao hawakutambulika mara moja ili wachukuliwe hatua kali za kikanuni.

Klabu ya Simba inawajibika kuhakikisha mashabiki na viongozi walioadhibiwa wanatii adhabu zao na kuzitekeleza kikamilifu ili kuepuka adhabu zaidi kwa klabu.

#NBCPL
1711365821957.jpg
 
TAARIFA KUTOKA KWENYE BODI YA LIGI KUU TANZANIA

Klabu ya Simba imetozwa faini ya Sh. 1,000,000 (milioni moja) kwa kosa la mashabiki wake pamoja na walinzi wake wa uwanjani (stewards)kupanga njama na kufanikisha azma ya kuingia uwanjani na kufanya vitendo vinavyoashiria imani za kishirikina wakati mchezo dhidi ya Mashujaa Fc ukiendelea kwenye uwanja wa Azam Complex Machi 15, 2024.

Walinzi wa uwanjani (stewards) wa klabu ya Simba, Kessy Mohamed, Mrisho Mindu Pamoja na Mohamed Salmin pamoja na shabiki aliyefahamika kwa jina la Mohamed Saleh, wamefungiwa kuingia viwanjani kwa kipindi cha miezi 12 (kumi na miwili) kwa kosa la kushiriki katika tukio la mashabiki kuingia uwanjani wakati mchezo tajwa hapo juu ukiendelea.

Bodi ya Ligi Kuu Tanzania inaendelea na uchunguzi wenye lengo la kufahamu wahusika wengine wa tukio hilo ambao hawakutambulika mara moja ili wachukuliwe hatua kali za kikanuni.

Klabu ya Simba inawajibika kuhakikisha mashabiki na viongozi walioadhibiwa wanatii adhabu zao na kuzitekeleza kikamilifu ili kuepuka adhabu zaidi kwa klabu

#NBCPL View attachment 2944316
SAFI SANA
 
Klabu ya Simba imetozwa faini ya Sh. 1,000,000 (milioni moja) kwa kosa la washabiki wake pamoja na walinzi wake wa uwanjani (stewards) kupanga njama na kufanikisha azma ya kuingia uwanjani na kufanya vitendo vinavyoashiria imani za kishirikina wakati mchezo wao dhidi ya Mashujaa FC ukiendelea kwenye uwanja wa Azam Complex Machi 15, 2024.

Washabiki hao walionekana kupitia video fupi iliyosambaa mitandaoni wakijadiliana na mlinzi wa uwanjani (steward) kabla hawajaingia uwanjani kufanya tukio hilo.

Adhabu hii ni kwa kuzingatia Kanuni ya 47:1 ya Ligi Kuu kuhusu Udhibiti kwa Klabu.

Aidha walinzi wa uwanjani (stewards) wa klabu ya Simba, Kessy Mohamed, Mrisho Mindu Pamoja na Mohamed Salmin pamoja na shabiki aliyefahamika kwa jina la Mohamed Saleh, wamefungiwa kuingia viwanjani kwa kipindi cha miezi 12 (kumi na miwili) kwa kosa la kushiriki tukio hilo la washabiki kuingia uwanjani.

Wasafi FM
 
Ningekua na mamlaka uko Caf ningeomba Simba wacheze mechi yao baada ya Yanga kucheza kwanza.

Maana wanakawaida ya kuchimba chimba uwanja kufukia makafara na kusababisha mashimo uwanjani.
Hii husababisha wachezaji ku twist enka zao bila sababu za msingi.
 
Ningekua na mamlaka uko Caf ningeomba Simba wacheze mechi yao baada ya Yanga kucheza kwanza.

Maana wanakawaida ya kuchimba chimba uwanja kufukia makafara na kusababisha mashimo uwanjani.
Hii husababisha wachezaji ku twist enka zao bila sababu za msingi.
Simba wataanza mkuu
 
Simba wataanza mkuu
Baada ya mechi ya Simba, Yanga waukague uwanja na kusafisha taka zote uku wakifukia mashimo maana lazima yatakuwepo.
Tff watambue Simba wanaweza kucheza ata pale Azam au Zanzibar si lazima kwa mkapa, wanaharibu uwanja uliogharimu fedha nyingi za ukarabati.

Uwanja wa Azam ulisha kaguliwa na Caf kwaiyo utawafaa Simba waende wakachane lile carpet kufukia vibuyu
 
Klabu ya Simba imetozwa faini ya Sh. 1,000,000 (milioni moja) kwa kosa la mashabiki wake pamoja na walinzi wake wa uwanjani (stewards)kupanga njama na kufanikisha azma ya kuingia uwanjani na kufanya vitendo vinavyoashiria imani za kishirikina wakati mchezo dhidi ya Mashujaa Fc ukiendelea kwenye uwanja wa Azam Complex Machi 15, 2024.

Walinzi wa uwanjani (stewards) wa klabu ya Simba, Kessy Mohamed, Mrisho Mindu Pamoja na Mohamed Salmin pamoja na shabiki aliyefahamika kwa jina la Mohamed Saleh, wamefungiwa kuingia viwanjani kwa kipindi cha miezi 12 (kumi na miwili) kwa kosa la kushiriki katika tukio la mashabiki kuingia uwanjani wakati mchezo tajwa hapo juu ukiendelea.

Bodi ya Ligi Kuu Tanzania inaendelea na uchunguzi wenye lengo la kufahamu wahusika wengine wa tukio hilo ambao hawakutambulika mara moja ili wachukuliwe hatua kali za kikanuni.

Klabu ya Simba inawajibika kuhakikisha mashabiki na viongozi walioadhibiwa wanatii adhabu zao na kuzitekeleza kikamilifu ili kuepuka adhabu zaidi kwa klabu.

#NBCPLView attachment 2944316
Aahaaa
 
Walinzi wa uwanjani (stewards) wa klabu ya Simba, Kessy Mohamed, Mrisho Mindu Pamoja na Mohamed Salmin pamoja na shabiki aliyefahamika kwa jina la Mohamed Saleh, wamefungiwa kuingia viwanjani kwa kipindi cha miezi 12 (kumi na miwili) kwa kosa la kushiriki katika tukio la mashabiki kuingia uwanjani wakati mchezo tajwa hapo juu ukiendelea.
Aisee...
Hata kuheshimu mwezi?
 
Baada ya mechi ya Simba, Yanga waukague uwanja na kusafisha taka zote uku wakifukia mashimo maana lazima yatakuwepo.
Tff watambue Simba wanaweza kucheza ata pale Azam au Zanzibar si lazima kwa mkapa, wanaharibu uwanja uliogharimu fedha nyingi za ukarabati.

Uwanja wa Azam ulisha kaguliwa na Caf kwaiyo utawafaa Simba waende wakachane lile carpet kufukia vibuyu
Kwamba wanaweza acha mauchawi
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom