Mshana Jr
Platinum Member
- Aug 19, 2012
- 373,008
- 864,128
- Thread starter
- #1,741
Huwezi kuniuliza km nina akili au sina maana akili ni unayoona na kuyatambua je umetumia kipimo gani kutaka kujua km mtu ana akili au hana akili
Kwanini nisikuulize?
Ok umesema akili ni unayoyaona na kuyatambua.. Je usiyoyaona na kuyatambua sio akili?
Je usiyoyaona lakini huyatambui sio akili?
Je unayoyaona lakini huyatambui sio akili?
Je utambuzi ndio akili ama sio akili?