mtu watu
JF-Expert Member
- Dec 10, 2017
- 2,123
- 1,617
Akili ni nini?Kuna mahusiano gani hapo?
Akili ni nini?Kuna mahusiano gani hapo?
Hapana akili si nini.Akili ni nini?
hahaha....wewe Jamaa "" unajua kujenga hoja aisseee.."" hiii hoja " kwa zwazwa ni fumboMungu muweza yote, mjuzi wa yote na mwenye upendo wote angekuwepo, hoja ya kitoto isingewezekana kuwepo.
Kama unaona Kiranga ana hoja ya kitoto, huo ni ushahidi Mungu hayupo.
Ushaelewa hoja hiyo?
Hapana ndyo nini ktk kukanusha akili si ni nini?Hapana akili si nini.
Akili sio nini.Hapana ndyo nini ktk kukanusha akili si ni nini?
Akili ni nini....?
hahaaaa haaaUwepo wa mapungufu kwenye comment yangu ni ushahidi mwingine pia kwamba Mungu mjuzi wa yote,upendo wote na uwezo wote hayupo.
Kama angekuwepo isingewezekana kiumbe wake niandike comment yenye mapungufu makubwa.
Mbna unaleta utoto tena, kwani tunacheza makida makida hapa?Akili sio nini.
Hahaha, umelielewa au inategemea na mimi?Inategemea na wewe vigezo vyako unavyotumia kupima uelewa wangu.
Swali nimelielewa.
Anayeleta utoto hapa nani? umeuliza akili ni nini na mie nimekujibu akili sio nini.Mbna unaleta utoto tena, kwani tunacheza makida makida hapa?
Umeulizwa halafu unarukaruka ili iweje?
Jibu ulichoulizwa, mjue toka mwanzo swali ili linazagaa jf hapa, mshana hajajibu
Na wewe unaleta zako.
Akili ni nini?
Hujajibu swali nililouliza, unaelewa "immanent critique" ni nini?Kaka hilo swali au mfano ulioutoa hapo juu unahitaji "immanent critique" kuweza kulielewa au kulijibu?
Usiwe na shaka.Ha ha ha ha ha nimecheka sana ila wewe una deni langu,unajua mwenyewe
Kashindwa kuuliza swali.Mshana Kashindwa kuuliza swali kama ulivyosema au swali halipo kwenye muundo unaoutaka wewe?
Hoja za ndugu yako ni za kizwazwa zaidi.hahaha....wewe Jamaa "" unajua kujenga hoja aisseee.."" hiii hoja " kwa zwazwa ni fumbo
We jamaa wewe!! Niache niwahi kwanza kanisani....
Unakumbuka ulisema unataka kufanya utafiti kuhusu uchawi? Ulifanikiwa au haukuanza kabisa?
Uwe na mchana mwema.
Sasa mbona unauliza "Wewe unauliza akili ipi au unauliza akili ni nini?" wakati hili nimeliandika vizuri tu?Ndiyo najua kusoma.
Unaweza kuthibitisha Mungu yupo?Hoja za ndugu yako ni za kizwazwa zaidi.
Ni sawa na kudai kuwa..kama Mungu muweza Yote na mwenye upendo wote na Nguvu zote alipaswa kuwa peke yake Tu.
Kwa maana ikiwa unahoji kwanini vifo vinatokea kwa kuwa vinaamsha hisia za uchungu kwanini kusingekua na Uzima Tu..! ili kuamsha hisia za furaha!
Utashindwaje kuuliza kwanini kuna wanaume na wanawake.! kwanini isiwe wanaume Tu peke yao.ili kusiwe na uzinzi
Kwanini kuna wanafunzi.. kwanini wote tusingekua walimu.!? Ili Ada zisitozwe
Kwanini kuna watoto.kwanini wote tusiwe wazazi. Ili majukumu na wajibu visiwepo
Ukiangalia kwa uwezo mdogo Tu unatambua kua dai lake ni la kukusanya vitu vyote kuwa kimoja.! Na Kwa ufupi nikwamba hakukupaswa kuwa na maisha.
Tusingekuwa na jamii za Watu wa asia na ulaya na nk. Wote tungekuwa mmoja.
Kwake ukinzani na utofauti ni kujiconrtadict haviyamkiniki kwenye ufahamu wake.
Na kama anaona dhana ya kwenye vitabu inajipanga,kesha jibiwa sana tena sana.
Kuwa vitabu vinamulezea Mungu lakini vitabu si mungu.
Vinaeleza sayansi ya utu isiyo yakini kwa vitu vionekanavyo.Na kukupa matokeo thabiti pindi uitumiapo.
Mbona ni mvivu hivyo.!?
Mwambie ni kazi sana kujua Bomu linaundwaje lakini ni rahisi kujua kusudi la Bomu kutenezwa
Awe na kawaida na jicho jepesi la kufahamu kusudi la Jambo lolote lile hapo ndipo ataelewa swali la Mshana.
Sio unaumiza bichwa kwa vitu visivyo vya lazima
Kwa sababu katika ulimwengu ulioumbwa na Mungu mjuzi wa yote, mwenye uwezo wote na upendo wote, kila mtu angekuwa na uelewa mkubwa, hakuna ambaye angekuwa na uelewa mdogo kutoa hoja ya kitoto.Kwanini zisingekuwepo hizo hoja za kitoto? hebu fafanua .
Hpana, nishaambiwa Mungu kavuka logic nisimtafute kwa kutumia logic, niamini tu yupo.Mkuu unasema atleast dark energy is subjected to the scientific process per review Mungu pia ni hivyohivyo..
wapo atleast walioona matendo yake makuu na wanaendelea kugundua uwepo wake
Na kama jinsi scientist ambavyo hawawezi kutuonesha dark energy inafananaje ila kutuaminisha uwepo wa nguvu zake na Mungu nae ni hivyohivyo..
hutoweza kudhibitishiwa alivyo bali kuoneshwa nguvu na matendo yake tu.
Mtu anakushambulia kwa hoja inatotoa ushahidi kwamba Mungu hayupo (wewe una hoja za kitoto).hahaha....wewe Jamaa "" unajua kujenga hoja aisseee.."" hiii hoja " kwa zwazwa ni fumbo