Kiranga sio atheist ni non-believer

Kiranga sio atheist ni non-believer

Kwa sababu katika ulimwengu ulioumbwa na Mungu mjuzi wa yote, mwenye uwezo wote na upendo wote, kila mtu angekuwa na uelewa mkubwa, hakuna ambaye angekuwa na uelewa mdogo kutoa hoja ya kitoto.

Ujinga, hoja za kitoto, maswali etc ni ushahidi kwamba Mungu huyo hayupo.
Bado sijaona connection yeyote ya hizo sifa za mungu na wa watu kuwa na uelewa mkubwa.

Naona sawa na mtu aseme wewe mfupi ndiyo maana unakula sana,sioni mahusiano ya ufupi na kula sana.

Eleza ueleweke na si kubabatiza mambo.
 
Hoja za ndugu yako ni za kizwazwa zaidi.

Ni sawa na kudai kuwa..kama Mungu muweza Yote na mwenye upendo wote na Nguvu zote alipaswa kuwa peke yake Tu.

Kwa maana ikiwa unahoji kwanini vifo vinatokea kwa kuwa vinaamsha hisia za uchungu kwanini kusingekua na Uzima Tu..! ili kuamsha hisia za furaha!

Utashindwaje kuuliza kwanini kuna wanaume na wanawake.! kwanini isiwe wanaume Tu peke yao.ili kusiwe na uzinzi

Kwanini kuna wanafunzi.. kwanini wote tusingekua walimu.!? Ili Ada zisitozwe

Kwanini kuna watoto.kwanini wote tusiwe wazazi. Ili majukumu na wajibu visiwepo

Ukiangalia kwa uwezo mdogo Tu unatambua kua dai lake ni la kukusanya vitu vyote kuwa kimoja.! Na Kwa ufupi nikwamba hakukupaswa kuwa na maisha.

Tusingekuwa na jamii za Watu wa asia na ulaya na nk. Wote tungekuwa mmoja.

Kwake ukinzani na utofauti ni kujiconrtadict haviyamkiniki kwenye ufahamu wake.

Na kama anaona dhana ya kwenye vitabu inajipanga,kesha jibiwa sana tena sana.

Kuwa vitabu vinamulezea Mungu lakini vitabu si mungu.

Vinaeleza sayansi ya utu isiyo yakini kwa vitu vionekanavyo.Na kukupa matokeo thabiti pindi uitumiapo.

Mbona ni mvivu hivyo.!?
Mwambie ni kazi sana kujua Bomu linaundwaje lakini ni rahisi kujua kusudi la Bomu kutenezwa

Awe na kawaida na jicho jepesi la kufahamu kusudi la Jambo lolote lile hapo ndipo ataelewa swali la Mshana.

Sio unaumiza bichwa kwa vitu visivyo vya lazima
Una elewa maana ya msamiati " wa Upendo kwa wote "" kama unelewa unaweza kutupatia definition Yke "",.....
 
Bado sijaona connection yeyote ya hizo sifa za mungu na wa watu kuwa na uelewa mkubwa.

Naona sawa na mtu aseme wewe mfupi ndiyo maana unakula sana,sioni mahusiano ya ufupi na kula sana.

Eleza ueleweke na si kubabatiza mambo.
Ni hivi.

Baba wa kawaida, mwenye hekima ya kawaida, na kipato cha kawaida, anawapeleka watoto wake shule wapate elimu kujua kusoma, kuandika, hesabu.

Hawaachi wawe wajinga kama ana hekima za kawaida na uwezo wa kuwasomesha.

Sasa huyo Mungu mwenye uwezo wote, ujuzi wote na upendo wote kwa nini aumbe ulimwengu ambao watu wana maswali kibao yasiyo na majibu?

Kwa mfano, kwa nini aumbe ulimwengu ambao bacteria wamekuwa wakiua watu miaka na miaka, mpaka Alexander Fleming alipogundua antibiotics mwaka 1928?

Kwa nini hakufanya antibiotics zijulikane widely tangu mwanzo?
 
Mpaka wewe uthibitishe kwanza kama una Akili

Ndipo na mimi nitakuthibishia Mungu yupo au La.
Akili ni nini?

Unaruka swali kwa sababu huwezi kuthibitisha Mungu yupo, kwa sababu hayupo.
 
Una elewa maana ya msamiati " wa Upendo kwa wote "" kama unelewa unaweza kutupatia definition Yke "",.....
"Upendo wote" ni sawa na "ubaya wote" ugumu uko wapi kwenye kuelewa.!?

Unawezaje kujua upendo bila ubaya?

Unawezaje kujua hapa ni juu bila chini kuwepo!
 
"Upendo wote" ni sawa na "ubaya wote" ugumu uko wapi kwenye kuelewa.!?

Unawezaje kujua upendo bila ubaya?

Unawezaje kujua hapa ni juu bila chini kuwepo!
hahahaa "" kwahiyo hii ndio definition ya upendo kwa wote "" aisee...nyie Jamaa mbona mnapnda sana kuruka ruka maswali "" ........

naomba mantiki ya msamiati wa UPENDO KWA WOTE TAFADHALI ...mimi sijakwambia unitajie negative" ya Upendo kwa wote " ......
 
Mkuu unasema atleast dark energy is subjected to the scientific process per review Mungu pia ni hivyohivyo..
wapo atleast walioona matendo yake makuu na wanaendelea kugundua uwepo wake
Na kama jinsi scientist ambavyo hawawezi kutuonesha dark energy inafananaje ila kutuaminisha uwepo wa nguvu zake na Mungu nae ni hivyohivyo..
hutoweza kudhibitishiwa alivyo bali kuoneshwa nguvu na matendo yake tu.
Mkuu hatusemi Mungu mwenye uwezo wote,upendo wote na ujuzi wote hayupo kwa sababu eti haonekani.Tunasema hayupo kwa sababu dhana ya uwepo wake inajipinga yenyewe hata kabla ya kupingwa na yeyote.Ni sawa na wewe mwenye umri wa miaka hamsini,nikuulize baba yako mzazi ana umri gani halafu uniambie ana miaka Arobaini.Hapo hata kama sijawahi kumuona baba yako ntalikataa jibu lako.Na silikatai kwa sababu simuoni baba yako bali nakataa kwa sababu dhana ya uwepo wa baba mzazi mwenye miaka arobaini halafu mwanae wa kumzaa awe na miaka hamsini inajipinga yenyewe,haiwezeakani.

Vipo vitu vingi tu visivyoonekana ila tunajua vipo kwa sababu uwepo wake haujipingi,mfano hewa.
Na vingine vipo na unaweza vithibitisha hata kwa simple experiments,eg umeme.Hivi vyote havionekani lakini tunakubali vipo maana uwepo wake hauna contradictions.The same huko kwenye uwepo wa dark energy.
 
Ni hivi.

Baba wa kawaida, mwenye hekima ya kawaida, na kipato cha kawaida, anawapeleka watoto wake shule wapate elimu kujua kusoma, kuandika, hesabu.

Hawaachi wawe wajinga kama ana hekima za kawaida na uwezo wa kuwasomesha.

Sasa huyo Mungu mwenye uwezo wote, ujuzi wote na upendo wote kwa nini aumbe ulimwengu ambao watu wana maswali kibao yasiyo na majibu?

Kwa mfano, kwa nini aumbe ulimwengu ambao bacteria wamekuwa wakiua watu miaka na miaka, mpaka Alexander Fleming alipogundua antibiotics mwaka 1928?

Kwa nini hakufanya antibiotics zijulikane widely tangu mwanzo?
Mungu mwenye uwezo wa kuumba mema tu then anaumba na mabaya anashangaza sana.Ukiuliza utaambiwa God works in mysterious ways..

Mungu mwenye uwezo wa kumuangamiza shetani kwa neno tu then anamuacha anazidi kushangaza.
Kiufupi unaweza ukajiuliza maswali lukuki juu ya huyu Mungu yasiyo na majibu na jibu ni kuwa Hayupo.
 
Mkuu hatusemi Mungu mwenye uwezo wote,upendo wote na ujuzi wote hayupo kwa sababu eti haonekani.Tunasema hayupo kwa sababu dhana ya uwepo wake inajipinga yenyewe hata kabla ya kupingwa na yeyote.Ni sawa na wewe mwenye umri wa miaka hamsini,nikuulize baba yako mzazi ana umri gani halafu uniambie ana miaka Arobaini.Hapo hata kama sijawahi kumuona baba yako ntalikataa jibu lako.Na silikatai kwa sababu simuoni baba yako bali nakataa kwa sababu dhana ya uwepo wa baba mzazi mwenye miaka arobaini halafu mwanae wa kumzaa awe na miaka hamsini inajipinga yenyewe,haiwezeakani.

Vipo vitu vingi tu visivyoonekana ila tunajua vipo kwa sababu uwepo wake haujipingi,mfano hewa.
Na vingine vipo na unaweza vithibitisha hata kwa simple experiments,eg umeme.Hivi vyote havionekani lakini tunakubali vipo maana uwepo wake hauna contradictions.The same huko kwenye uwepo wa dark energy.
Taja hizo contradiction unazosema
 
Kashindwa kuuliza swali.

Mtu akiuliza "kutuka kwa ndege kunawezekanaje?"

Halafu akaombwa ufafanuzi, unaposema ndege, unamaanisha nini?

Akashindwa kufafanua, kashindwa kuuliza swali.
Kutuka kwa ndege ndio nini?
Nikupe ufafanuzi gani wakati umekimbia kujibu?
 
Kashindwa kuuliza swali.

Mtu akiuliza "kutuka kwa ndege kunawezekanaje?"

Halafu akaombwa ufafanuzi, unaposema ndege, unamaanisha nini?

Akashindwa kufafanua, kashindwa kuuliza swali.
Kutuka kwa ndege ndio nini?
Nikupe ufafanuzi gani wakati umekimbia kujibu?
 
Mungu mwenye uwezo wa kuumba mema tu then anaumba na mabaya anashangaza sana.Ukiuliza utaambiwa God works in mysterious ways..

Mungu mwenye uwezo wa kumuangamiza shetani kwa neno tu then anamuacha anazidi kushangaza.
Kiufupi unaweza ukajiuliza maswali lukuki juu ya huyu Mungu yasiyo na majibu na jibu ni kuwa Hayupo.

Wanachachaya wote hawana majibu zaidi ya story
 
Wanachachaya wote hawana majibu zaidi ya story
Kuna wakati jaribu Kupunguza utoto na ujinga pia! Nimekujibu mara ngapi? Mara nyingi mno... Ila ullichofanya ninini ni kukimbia kujibu swali ama maswali yangu
 
Ni hivi.

Baba wa kawaida, mwenye hekima ya kawaida, na kipato cha kawaida, anawapeleka watoto wake shule wapate elimu kujua kusoma, kuandika, hesabu.

Hawaachi wawe wajinga kama ana hekima za kawaida na uwezo wa kuwasomesha.

Sasa huyo Mungu mwenye uwezo wote, ujuzi wote na upendo wote kwa nini aumbe ulimwengu ambao watu wana maswali kibao yasiyo na majibu?

Kwa mfano, kwa nini aumbe ulimwengu ambao bacteria wamekuwa wakiua watu miaka na miaka, mpaka Alexander Fleming alipogundua antibiotics mwaka 1928?

Kwa nini hakufanya antibiotics zijulikane widely tangu mwanzo?

Umendeeleza maswali yako ya kwanini hivi na sio vile? hakuna ulipoonesha uhusiano kati ya hayo unayoyauliza,sifa za mungu na kutokuwepo mungu.

Kama hapo unauliza kwanini Mungu hakufanya antibiotics zijulikane toka mwanzo,muda mwengine utauliza kwanini asingefanya ulimwengu usiwe na maradhi kabisa kama ulivyokuwa unahoji kwanini Mungu karuhusu kifo.

Na ndiyo maana huwa nasema unaamini kuwa hakuna mungu,maana baada ya kujiuliza hayo maswali unaishia kuhitimisha kuwa hakuna mungu.
 
Mkuu hatusemi Mungu mwenye uwezo wote,upendo wote na ujuzi wote hayupo kwa sababu eti haonekani.Tunasema hayupo kwa sababu dhana ya uwepo wake inajipinga yenyewe hata kabla ya kupingwa na yeyote.Ni sawa na wewe mwenye umri wa miaka hamsini,nikuulize baba yako mzazi ana umri gani halafu uniambie ana miaka Arobaini.Hapo hata kama sijawahi kumuona baba yako ntalikataa jibu lako.Na silikatai kwa sababu simuoni baba yako bali nakataa kwa sababu dhana ya uwepo wa baba mzazi mwenye miaka arobaini halafu mwanae wa kumzaa awe na miaka hamsini inajipinga yenyewe,haiwezeakani.

Vipo vitu vingi tu visivyoonekana ila tunajua vipo kwa sababu uwepo wake haujipingi,mfano hewa.
Na vingine vipo na unaweza vithibitisha hata kwa simple experiments,eg umeme.Hivi vyote havionekani lakini tunakubali vipo maana uwepo wake hauna contradictions.The same huko kwenye uwepo wa dark energy.
Kwahiyo kila kitu ambacho hakina maelezo yenye kujipinga kipo?
 
Mkuu hatusemi Mungu mwenye uwezo wote,upendo wote na ujuzi wote hayupo kwa sababu eti haonekani.Tunasema hayupo kwa sababu dhana ya uwepo wake inajipinga yenyewe hata kabla ya kupingwa na yeyote.Ni sawa na wewe mwenye umri wa miaka hamsini,nikuulize baba yako mzazi ana umri gani halafu uniambie ana miaka Arobaini.Hapo hata kama sijawahi kumuona baba yako ntalikataa jibu lako.Na silikatai kwa sababu simuoni baba yako bali nakataa kwa sababu dhana ya uwepo wa baba mzazi mwenye miaka arobaini halafu mwanae wa kumzaa awe na miaka hamsini inajipinga yenyewe,haiwezeakani.

Vipo vitu vingi tu visivyoonekana ila tunajua vipo kwa sababu uwepo wake haujipingi,mfano hewa.
Na vingine vipo na unaweza vithibitisha hata kwa simple experiments,eg umeme.Hivi vyote havionekani lakini tunakubali vipo maana uwepo wake hauna contradictions.The same huko kwenye uwepo wa dark energy.
Jamaa una hoja nzito sana..."" lakini waweza kuona hoja " kama hii"" inajibiwa kwa majibu mepesi " kabisa ...jamani tuwe na desturi ya kuwa na haya walau hata kidogo"" .....sisi wengine tunawafuatilia " ili tupate kujifunza toka kwenu " pasipp kujali upande upi utaibuka kidedea ....so mnapo jibu hoja " basii mjitahidi kujibu hoja zenye mashiko basii ili sisi wengine tunao jifunza tupate ..kunufaika zaidi
 
Back
Top Bottom