Kiranga sio atheist ni non-believer

Kiranga sio atheist ni non-believer

Sasa umetoa wapi contradiction kwenye mfano wangu wa habari ya Kiranga? Ni wewe umesema nimesahau wakati mwandishi kaandika habari zake kuhusu Kiranga.

Kitu gani kilipelekea useme nimesahau contradiction? Vinginevyo uwe unamfaham Kiranga fika ndio utasema kuna conteafiction na mapungufu ya uandishi, hapo ndio nilpoweka uwezo na uelewa atakavyoamua.
Kwanza kabisa, hakuna sehemu niliposema umesahau lolote.

Tuweke sawa hilo, tuondoe unachofikiri nimesema, na tubakishe nilichosema mimi.
 
Mkuu Mshana,
Kiranga yupo sahihi siku zote tatizo lipo ukisoma vitabu vya bible na quran na kuvitafakari utagundua vinaelezea utamaduni wa waebrania na warabu na kama mungu yupo kwanini jamii nyingne kazisahau? Kwann mtu wa kwanza adam awe muebrania? Inamaana mungu alikuwa muebrania ? yahweh,jehovah,eloim yote majina ya kiebrania
Yuko sahihi kwa mtazamo wako ila kashindwa kujibu kama ana akili ama hana... Kwa kushindwa kujibu hili tu nondo zinageuka kuwa vijiti... Na kila anayekuja kuongeza nguvu hajibu swali la msingi ukowamo wewe

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Kwanza kabisa, hakuna sehemu niliposema umesahau lolote.

Tuweke sawa hilo, tuondoe unachofikiri nimesema, na tubakishe nilichosema mimi.

Naweka sawa ulichosema nimeacha kuandika kitu muhimu..wewe umejuaje nimeacha?

Hakuna mahali nimetaja au kuandika contradiction, naomba kama hautajali urudi kwenye pist yangu ya awali niliyotoa mfano kisha ujibu swali nililouliza.
 
Kumbe kuna watu wanatoa maelezo yenye kujipinga kuhusu mungu.
Kwa sababu hayupo.

Ni kamamimi niseme kuna pembetatu ambayo hapohapo ni duara.

Maelezo yangu ya pembetatu duara kuwapo, yanajipinga, kwa sababu pembetatu haiwezi kuwa duara hapo hapo.

Maelezo yangu yanaonesha pembetatu duara hiyo haipo.

Yanajipinga.

Pembetatu duara haiwezi kujielezea yenyewe, kwa sababu haipo.

Mungu hawezi kujielezea mwenyewe, kwa sababu hayupo.

Watu wanaeleza uwepo wa Mungu, kwa maelezo ya kuungaunga, ambayo yanajipinga, kwa sababu huyo Mungu hayupo kweli, anaelezewa tu yupo kwa maelezo ya kuungaunga, amabyo yanajipinga.
 
Naweka sawa ulichosema nimeacha kuandika kitu muhimu..wewe umejuaje nimeacha?

Hakuna mahali nimetaja au kuandika contradiction, naomba kama hautajali urudi kwenye pist yangu ya awali niliyotoa mfano kisha ujibu swali nililouliza.
Umeacha kuandika kitu muhimu kwa sababu hujakiandika.

Labda hujakijua kabisa, hujakifikiria kabisa.

Hayo maelezo ya mfano uliyoyasema yana contradictions za wazi na nyingi au hayana?
 
Umeacha kuandika kitu muhimu kwa sababu hujakiandika.

Labda hujakijua kabisa, hujakifikiria kabisa.

Hayo maelezo ya mfano uliyoyasema yana contradictions za wazi na nyingi au hayana?

Mwandishi ameandika habari za kumhusu Kiranga, ukakumbana na hiyo kazi ukaisoma. Ukasema Kiranga hayupo

Nimekuuliza hitimisho hilo la msomaji ni sawa?

Unalazimisha kwamba kuna kitu mwandishi kaacha kuandika, tena umekiita muhimu sana. Nakuuliza, wewe msomaji umejuaje au ni kipi kimekusukuma kusema mwandishi ameacha kuandika kitu? Ukaenda mbali zaidi ukataja contradiction kwamba haijaandikwa.

Nikaona isiwe shida, nikasema kila msomaji atakuja na kuna kitu hakijaandikwa kutokana na uwezo na uelewa wake. Ukasema tuweke kando uwezo wa msomaji.

Unaendelea andiko lina contradiction nyingi ama chache? Mwanzo kabisa ni kipi kimekufanya useme kuna contradiction kwenye huo mfano?
 
sasa tofauti yake ni ipi mkuu"" au umesahau kuwa katika Yale masumulizi juma na mwenzie uledi waliingia kwenye maboga"" ili wapate wepesi wa kusafiri toka sehemu moja kwenda nyingine "na kweli mvua iliponyesha ikaleta mafuriko " yakazoea Yale maboga yaliyowabeba juma nauledi na kwenda kuwaacha walipotarajia" .....tofauti hapo ni bahari na maboga tu "" lakini zote ni hadithi za miujiza ""
ushawahi ku quote hadithi ya juma na uledi kwamba linasema Mungu ni upendo kama ulivyo quote kwenye biblia? ukiweza ku quote ntakubaliana nawewe
 
Mwandishi ameandika habari za kumhusu Kiranga, ukakumbana na hiyo kazi ukaisoma. Ukasema Kiranga hayupo

Nimekuuliza hitimisho hilo la msomaji ni sawa?

Unalazimisha kwamba kuna kitu mwandishi kaacha kuandika, tena umekiita muhimu sana. Nakuuliza, wewe msomaji umejuaje au ni kipi kimekusukuma kusema mwandishi ameacha kuandika kitu? Ukaenda mbali zaidi ukataja contradiction kwamba haijaandikwa.

Nikaona isiwe shida, nikasema kila msomaji atakuja na kuna kitu hakijaandikwa kutokana na uwezo na uelewa wake. Ukasema tuweke kando uwezo wa msomaji.

Unaendelea andiko lina contradiction nyingi ama chache? Mwanzo kabisa ni kipi kimekufanya useme kuna contradiction kwenye huo mfano?
Nimeandika kuuliza andiko lina contradiction nyingi mama chache? Chache? Nyingi ama chache? Nimeandika hivyo?

Unaweza kunipa nukuu ya nilipoandika hivyo au unaniwekea maneno ambayo sijayaandika?

Nikisema hunielewi na unanipa maneno ambayo sijayaandika utakataa?
 
Hapangiwi cha kufanya.

Anahojiwa kwamba mbona hata yeye anainekana hajui anataka kufanya nini?

Yuko all ovwr the place.

Hapa tunaambiwa ana upendo wote.

Pale tunaambiwa kaua wanyama kwa ghqrika kwa makosa ya watu.

Mbona anajipinga mwenyewe?

Yupo kweli? Au hadithi tu?

Naona hapo fikra yako ndio inapinga.

Kama anaweza yote kwa nini asifanye chochote?
Na jee upendo ndio sifa pekee ya Mungu?
 
Kujua ni kukubali jambo baada ya kuhakikisha kwa namna iliyo logically consistent, isiyo na contradiction, iliyo evidence based, iliyo testable.

Kuamini ni kutarajia kitu bila kujua.
Kwahiyo kwa mfano kujua kucheza nayo inaingia kwenye maana uliyotoa hapo?

Na vp mtu akiamini jambo kuhusu marehemu babu yake,nayo inakuwa ni kutarajia kitu bila kujua?
 
Kwa sababu hayupo.

Ni kamamimi niseme kuna pembetatu ambayo hapohapo ni duara.

Maelezo yangu ya pembetatu duara kuwapo, yanajipinga, kwa sababu pembetatu haiwezi kuwa duara hapo hapo.

Maelezo yangu yanaonesha pembetatu duara hiyo haipo.

Yanajipinga.

Pembetatu duara haiwezi kujielezea yenyewe, kwa sababu haipo.

Mungu hawezi kujielezea mwenyewe, kwa sababu hayupo.

Watu wanaeleza uwepo wa Mungu, kwa maelezo ya kuungaunga, ambayo yanajipinga, kwa sababu huyo Mungu hayupo kweli, anaelezewa tu yupo kwa maelezo ya kuungaunga, amabyo yanajipinga.
Ndiyo maana nikasema kuwa watu wanatoa maelezo yenye kujipinga kuhusu Mungu,na ndiyo maana wewe unaonesha maelezo hayo jinsi yanavyojipinga.

Ukisema mungu hawezi kujieleza mwenyewe kwa sababu hayupo, hapa panahitaji ushahidi kuhusu kutokuwepo kwake.
 
Hapangiwi cha kufanya.

Anahojiwa kwamba mbona hata yeye anainekana hajui anataka kufanya nini?

Yuko all ovwr the place.

Hapa tunaambiwa ana upendo wote.

Pale tunaambiwa kaua wanyama kwa ghqrika kwa makosa ya watu.

Mbona anajipinga mwenyewe?

Yupo kweli? Au hadithi tu?

Naona hoja yako unataka kuijenga kwenye kutafsiri kila kitendo kinafanywa na Mungu dhidi ya viumbe.

Kitu ambacho unakosea na utaendelea kukosea

Kama mtu akitaka kujiuliza kwa nini mwanamke abebe mimba miezi tisa halafu ajifungue kwa uchungu na mwanaume kwa nini asibebe?

Utampa jibu gani?
 
Back
Top Bottom