Kiranga sio atheist ni non-believer

Kiranga sio atheist ni non-believer

Hivi kama ni muweza wa yote sasa kwa nini we umpangie cha kufanya?

Inamaana akiamua kuleta magonjwa ni uwezo wake
Akiamua kuleta kifo ni uwezo wake
namshangaa hajui akishasema yote hajui kashamaanisha kila kitu kizuri na kibaya
 
Mungu mwenye kujua yote,mwenye huruma yote,mwenye upendo wote,mwenye ujuzi wote na mwenye mamlaka yote hawezi kuruhusu kifo kwa binadamu!
Nimekuuliza swali Mungu wapi kajishuhudia mwenyewe hizo sifa au sisi wanadamu ndo tunamshuhudia kutokana na matendo yake? ukinipa andiko Mungu anajishuhudia mwenyewe naungana kama hauna andiko rudi tena tengeneza swali
 
huwezi kumpangi kwa utakavyo
Kwa nini hiyo iwe choice yake, wakati inaumiza watu wengi sana wanaotenganishwa na wapenzi wao, ndugu zao etc?

Kwanini choice ya watu kuishi bila kufa ambayo isingeumiza watu na ina make sense kwa Mungu mwenye uwezo wote, ujuzi wote na upendo wote haikuwa choice yake?

Mungu anafanya recycling kwani anaogopa kuharibu mazingira?
 
Hivi kama ni muweza wa yote sasa kwa nini we umpangie cha kufanya?

Inamaana akiamua kuleta magonjwa ni uwezo wake
Akiamua kuleta kifo ni uwezo wake
Hapangiwi cha kufanya.

Anahojiwa kwamba mbona hata yeye anainekana hajui anataka kufanya nini?

Yuko all ovwr the place.

Hapa tunaambiwa ana upendo wote.

Pale tunaambiwa kaua wanyama kwa ghqrika kwa makosa ya watu.

Mbona anajipinga mwenyewe?

Yupo kweli? Au hadithi tu?
 
Uthibitisho wangu ni wa kiimani zaidi kitu ambacho wewe huna..kwanza tu hivi hamuoni ajabu kwamba non believer ni asilimia chache sana ulimwenguni kuliko believers walio wengi ?
Wewe hata huelewi imani ni nini.

Ndiyo maana unaweza kuandika ujinga kama "uthibitisho wangu ni wa kiimani zaidi"

Imani haina uthibitisho. Ukiwa na uthibitisho huna imani, una ujuzi.

Hujui hata imani ni nini.
 
Hiki ndio utabaki nacho sasa huna kingine cha kuandika zaidi
Umeshindwa kuuliza swali la akili.

Tuendelee.

Nimeuliza hapo juu.

Kama Mungu yupo, ana uwezo wote, ujuzi wote, upendo wote, alikuwa na uwezo wa kuumba ulimwengu ambao hauwezekani kuwa na mabaya, kwa nini hakuumba ulimwengu huo, kaumba huu ambao mabaya yanawezekana?
 
Naona kama definition hazijakaa poa hivi....
Hebu turejee hapa.

Many people are interested in distinguishing between the words Agnostic and Atheist. The difference is quite simple: Atheist refers to someone who believes that there is no God or gods, and Agnostic refers to someone who doesn’t know whether there is a God, or even if such a thing is knowable.

WHAT THE DIFFERENT BTN ATHEIST AND NON BELIEVER?

That’s… not how language works.

If you specifically ask someone what their position is on the existence of gods, and they say that they’re a “non-believer”, then No, there would be no difference between that idea and the idea that most people are attempting to express when they call themselves “Atheists”.

If you want to know what a word or phrase means, check with the person who used it.
 
mi n

Mi nilijua umeleta andiko kumbe unaleta porojo.....hahahaaaaa
Andiko kutoka kitabu gani? Nishaleta contradictions lukuki kutoka Biblia na Quran kuonesha kwamba vitabu hivyo vinajipinga vyenyewe na vimeandikwa na watu tu.
 
sasa inabidi utueleze hizi dalili tunaziziona za kutumua madawa ndani kwako (tuki-assume wote tumewafungia ndani bila kutoka) na hakuna mwenye uwezo wakutoka nje .wote mmelewa na vipimo vinaonyesha mmetumia sasahivi na hamjatoka ndani tangu mzaliwe mpaka mnakufa.hapo sitakua na haja ya kuyaona madawa kwani effect ya madawa imeshaonekana .manji hakuonekana na madawa ila effect ilionekana akaadhibiwa.
mkuu "" unatoa hii statement " huku ukiwa umesahau kuwa " manji alifutiwa mashitaka na DPP ...jitahidi mnoo kuwa unatofautisha " kati ya mtuhumiwa na muhalifu "
 
Umeshindwa kuuliza swali la akili.

Tuendelee.

Nimeuliza hapo juu.


Unaona unavyokimbia mada kizembe sasa.. Kiranga huwezi kuandika chochote nje ya haya[emoji116] [emoji116] [emoji116] [emoji116] [emoji116] [emoji116] [emoji116] [emoji116]
Kama Mungu yupo, ana uwezo wote, ujuzi wote, upendo wote, alikuwa na uwezo wa kuumba ulimwengu ambao hauwezekani kuwa na mabaya, kwa nini hakuumba ulimwengu huo, kaumba huu ambao mabaya yanawezekana?
 
Umesema sina kingine, naleta kingine, unasema siwezi kuandika chochote nje ya haya?

Hayo umeyajibu?
 
Kinara mbishi asiyekubali kuwa kuna Mungu. Mbishi kwa viwango vyote unavyojua ila mwepesi wa hoja.

Kiranga sio atheist, kwa tafsiri rahisi atheist ni mtu asiyejua lolote kuhusu Mungu ama miungu (Hana ABC zozote kuhusu hizo imani za Mungu na miungu)

Kiranga sio mmojawapo. Kiranga ni mmojawapo wa wale waliokengeuka imani, walizaliwa katika ukristo wakabatizwa na kuishi maisha ya ukristo... Lakini along the way wakabahatika kusoma doctrines za kikristo, Mungu nk.

Ni katika hizo doctrines wakashindwa kukubaliana na vifungu kadhaa hivyo wakakengeuka na kuwa wapinga Uwepo wa Mungu mkuu.

Ni watu wenye elimu kubwa kuhusu dini hasa ukristo halafu wakasoma na doctrines nyingine zinazopinga uwepo wa Mungu na kuchagua kuyaamini hayo.

Kipengele muhimu hawa watu wasio waaamini ni kule kutaka wanachokikwepa ni kile cha kutotaka kutambua kuwa ishu za kiroho, Kimungu hazina ithibati za kisayansi.

Wote tuna akili. Je, kuna ithibati? Na kama hatuna akili tuna ithibati? Lakini uhalisia unasemaje?

Kwahiyo Kiranga anataka umuoneshe Mungu as if ni kitu solid. Kiufupi hawa sio atheists bali non believers!!!

Kuna msemaji mmoja aliwahi kuivunja hiyo mada kwa maneno machache sana akasema hivi:- UKIPITA PORINI UKAKUTA SAA YA MKONONI IMEDONDOKA PALE, JAMBO LA KWANZA KUKUJIA KICHWANI NI KWAMBA LAZIMA KUNA MTU AMEPITAPO MAENEO HAYO NA KUIDONDOSHA.

Wazo hilo hilo pia hebu lihamishie katika kumtafuta huyu Mungu na uwepo wa vilivyopo.
 
Nimethibitisha kwamba Mungu huyo hayupo na hawezi kuwepo.

Kwa proof by contradiction.

Mungu huyo kuwepo ni sawa na kusema square root ya 2 ni 10 katika base 10 math.
Wewe unataka mtu athibitishe kuwa yupo na aondoe contradictions.

Ila unachofanya wewe ni kuonesha contradictions tu zilizopo kwenye maelezo yenye kuhusu huyo mungu na ndiyo maana miungu mengine hupingi uwepo wao kwa sababu hakuna contradictions kwenye maelezo yenye kuhusu hiyo miungu.
 
Umesema sina kingine, naleta kingine, unasema siwezi kuandika chochote nje ya haya?

Hayo umeyajibu?
Hayana majibu na huna kingine zaidi ya marudio yale yale huku ukishindwa kabisa japo kujaribu kujibu kama una AKILI ama huna AKILI
 
Back
Top Bottom