The Monk
Platinum Member
- Oct 12, 2012
- 20,646
- 47,259
Unaweza kukubali kwamba umeandika nimeandika kitu ambacho sijaandika?
Unaweza kukubali kwamba uliacha kuandika kama maelezo yana contradiction au hayana, jambo ambalo bila ya kuliandika, hatuwezi kufikia conclusion yoyote ya kueleweka?
1. Nimeshakubali hilo ndio maana nikanukuu na kusema sawa, kuanzia sasa ntakua nakunukuu.
2. Naomba uheshimu nilichokiandika. Usome tena mfano wangu kisha unijibu.
Nilienda mbali nikasema wasomaji tofauti wenye uelewa na uwezo tofauti watakuja na mawazo tofauti kuhusu watakachosoma, unakumbuka ulichosema kuhusu hilo.
Narudia tena, baada ya kusoma huo mfano, kitu gani kinakulazimisha au kinapelekea wewe kusema kuna kitu kimeachwa kuandikwa na mwandishi?