Kiranga sio atheist ni non-believer

Kiranga sio atheist ni non-believer

Na ndiyo maana nikakuuliza neno mungu lina maana gani,sasa huyo Beyonce nae kajiita hivyo kutokana na maana ya hilo neno kwa maana hiyo mtu ambaye ataona ni kweli ana sifa hizo ni atamuamini.
Atamuamini kwa sababu ya slave mentality zake ktokan na kasumba iliyofanywa na walioasisi hilo neno la Mungu"" ndio maana nilikwambia...hujawahi kuona Jamii yenye mtazamo unao amini uwepo wa samaki mtu "" unadhani kwanini wanaamini hivyo ??
 
kwani juma na uledi kuna simulizi ya maji kujigawa?
sasa tofauti yake ni ipi mkuu"" au umesahau kuwa katika Yale masumulizi juma na mwenzie uledi waliingia kwenye maboga"" ili wapate wepesi wa kusafiri toka sehemu moja kwenda nyingine "na kweli mvua iliponyesha ikaleta mafuriko " yakazoea Yale maboga yaliyowabeba juma nauledi na kwenda kuwaacha walipotarajia" .....tofauti hapo ni bahari na maboga tu "" lakini zote ni hadithi za miujiza ""
 
Mkuu hivi malaika ni roho za watu walio fariki? au ni kitu gani au nao ni consp?

Mkuu kiimani wew unaamini nini?

Haya mambo ya dini yanachanganya sana
wenyew " wanasema malaika ni viumbe mkuu " yaani kama wasaidizi wanaoagizwa na Mungu katika kufanikisha mission zake "" ....mimi sitaki kufunga mana na hayo "" so sijui chochote kuhusu wao ""


mkuu kiimani mimi siamini chochote kwa sababu sioni kama kuna umuhimu au ulazima wa kuwa na imani ""
 
Sijakwambia kwamba ukimjua au usipomjua inathibitisha mungu yupo au hayupo.

Nimekuuliza baba ako unamjua au unaamini ni baba ako?
Nikikwambia baba yangu simjui na wala siamini kwamba ni baba yangu, sijawahi kumjua wala kumuamini. Utanijibu vipi?

Unafahamu huo mfano wa "baba yako unamjua au unamuamini" ukiufuatilia sana utathibitisha Mungu hayupo?

Kwa sababu utalazimisha baba yangu, na mimi nitalazimisha baba yake Mungu, na kumfanya Mungu asiwe Mungu, kwa sababu atahitaji baba?
 
Sasa kama haamini we unataka afanyaje au asemeje?Au wewe unaamini sana?Wakati mwingine ni ujinga kuuliza swali ambalo tayari umelijibu.Atheists are non-believers,not uninformed.Suala la uwepo au kutokuwepo kwa Mungu ni suala ambalo lina ushahidi mkubwa zaidi ya uwepo wake kuliko ushahidi wa kutokuwepo wake.Kama huyo Kiranga anadai kwamba hakuna Mungu basi atuambie nani yupo badala yake?Ni yeye Kiranga ama ni hawara zake?Anatakiwa afahamu kuwa hii hamu au hitaji la uwepo wa nafsi kubwa zaidi ni moja kati ya mahitaji ya msingi ya bianadamu na kwamba ili mwanadamu uweze kuwa katika hali nzuri kihisia basi ni vyema sana ukaamini katika supreme being,how and why hilo ni swala lako binafsi zaidi.Nimemaliza
 
Kwani we unamfahamuje?
Mimi nafahamu kwamba Mungu ni dhana tu, ni story, ni kama story za James Bond zilizotungwa na Ian Lancaster Fleming au za Willy Gamba za Aristablus Elvis Musiba.

Sasa ukiamini Mungu yupo, ni kama unaamini James Bond wa Ian Fleming yupo, au Willy Gamba wa Aristablus Musiba yupo.

Tena bora kuamini James Bond au Willy Gamba wapo, maana characters zao hazina contradictions kubwa kama kuamini Mungu yupo.
 
wenyew " wanasema malaika ni viumbe mkuu " yaani kama wasaidizi wanaoagizwa na Mungu katika kufanikisha mission zake "" ....mimi sitaki kufunga mana na hayo "" so sijui chochote kuhusu wao ""


mkuu kiimani mimi siamini chochote kwa sababu sioni kama kuna umuhimu au ulazima wa kuwa na imani ""

Mkuu! Wewe ni dini gani?
 
kwa mantiki yako "" hii zile habari za juma na uledi sio hadithi " kwa sababu masimulizi yake hayana tofauti na mussa kupiga fimbo baharini kisha bahari ikajigawa "" .......kuanzia leo tuiite ile simulizi ya juma na uledi msahafu ama biblia mkuu""
Zinafanana
 
mkuu " kama umeisoma vyema ile comment " maneno yanayo patikana kwenye aya ya mwisho" nimajibu tosha..yatkayoweza kukufanya usipoteze nguvu za kuuliza hili swali...rejea kusoma vyema tafadhali ""

Kwahiyo huamini uwepo wa Mungu? Nauliza tu mkuu!
 
Kuumba kunapatikana kwenye bibilia ni kosa kutumia kitu chenye ukakasi kutafuta ukweli ulioanzia kwenye ukakasi uliosababishwa na bibilia yenyewe
 
Mimi nafahamu kwamba Mungu ni dhana tu, ni story, ni kama story za James Bond zilizotungwa na Ian Lancaster Fleming au za Willy Gamba za Aristablus Elvis Musiba.

Sasa ukiamini Mungu yupo, ni kama unaamini James Bond wa Ian Fleming yupo, au Willy Gamba wa Aristablus Musiba yupo.

Tena bora kuamini James Bond au Willy Gamba wapo, maana characters zao hazina contradictions kubwa kama kuamini Mungu yupo.
Ok sawa, ingawa nilitegemea ungetumia mbinu za swali kwa swali.
 
Kiranga kashindikana kwa hoja mzito mshana hatoweza kwa uoga wake. Anajua ataumbuka kiranga ni jina kubwa jf kasha angusha mibuyu mikubwa kama Max shimba, Eiyer,Katalan, hawa ni manguli kwenye battle ya namna hii. Mshana una tujazia server jibu AKILI NI NINI? Ukijibu hili mjadala umekwisha tuna mpa kombe kiranga mara ya pili. Huo mtawi ulio shika shikilia hivyo hivyo ukiachia tu tunapata point 3 team kiranga
Hadi boss eiyer alichemsha?

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom