Kiranga sio atheist ni non-believer

Kiranga sio atheist ni non-believer

Kumbuka nia yangu ni kutaka kujua utofauti wa kujua n kuamini na si vinginevyo.

Najibu swali lako kwanza kuwa mungu hana baba wala mama.

Umesema baba ako humjui wala humuamini,je kujua maana yake nini?
Nikiwa nakuja kwako kukutembelea, sina hakika kwamba upo, lakini nafikiri utakuwepo, niko njiani nakuja. Hapo naamini utakuwepo kwako. Sijajua bado.

Nikifika kwako, nikakuona, nikahakikisha kwa jinsi yenye logical consistency, isiyo na contradiction, iliyo testable, kwamba upo nyumbani kwako, nakuwa nimejua upo kwako. Siamini tena. Nimejua.

Ushaelewa tofauti ya kuamini na kujua?

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Kwa hiyo ndani ya kichwa changu nikiamini mimi ni Donald Trump rais wa Marekani. Hapo hapo nakuwa Donald Trump rais wa Marekani?

Sent using Jamii Forums mobile app

Ndani ya akili kuna uamini wa uwepo wa mungu. Hii ni natural yani kwa kila binadamu ila contraditions analeta mwanadamu mwenyew kwa kutaka ushahidi,

NDANI YA AKILI KUNA UAMINI WA UWEPO WA MUNGU...Hakuna mwanadamu ambaye hana hii kitu including nawe pia. Nina uhakika unanielewa vizuri...ukisema ukiamini sijui mtu fulani kuwa nani hapo umetumia akili
 
Ndani ya akili kuna uamini wa uwepo wa mungu. Hii ni natural yani kwa kila binadamu ila contraditions analeta mwanadamu mwenyew kwa kutaka ushahidi,

NDANI YA AKILI KUNA UAMINI WA UWEPO WA MUNGU...Hakuna mwanadamu ambaye hana hii kitu including nawe pia. Nina uhakika unanielewa vizuri...ukisema ukiamini sijui mtu fulani kuwa nani hapo umetumia akili
Kwa hiyo kitu kipo kwa sababu ndani ya akili tunaamini kipo?

Mtoto mdogo anapozaliwa anazaliwa na kuamini Mungu yupo? Unaweza kuthibitisha jibu lako?

Sent using Jamii Forums mobile app
 
katika ile comment yko " ya awali ulisema kama hujasahau "" means huna Uhakika "" so huwezi dhani kuwa labda ulinifananisha " ambaye alikwambia hivyo siye mimi ?
Ni wewe ila sio ishu.
 
Kwa hiyo kitu kipo kwa sababu ndani ya akili tunaamini kipo?

Mtoto mdogo anapozaliwa anazaliwa na kuamini Mungu yupo? Unaweza kuthibitisha jibu lako?

Sent using Jamii Forums mobile app
Si kila kitu mkuu mimi naongelea uamini wa uwepo wa Mungu ambao upo ndani ya akili.

Refer my definition ya akili hapo utafamu kam mtoto mdogo anazaliwa na akili.

katika akili yako unaweza kuthibitisha hilo

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Umetoka nje ya mjadala

Sent using Jamii Forums mobile app
Hapana, ninajikita kwakina zaidi ndani ya mada, nataka kujua.

Wewe unaelea juu juu yamjadala,unaona nikijikita kwakinanatokanje ya mjadal.

Umesema imani ya Mungu ipo naturally kabisa kwenye akili.

Kwamba kila mtu anayo hiyo imani kichwani, naturally.

Na ili tujue mambo yaliyo kichwani naturally na tuyatofautishe na tunayojifunza baadaye, tunayojifunza baada ya kuzaliwa, inabidi turudi kwa mtoto anapozaliwa.

Ndiyo maana nakuuliza mtoto anapozaliwa, kwa mujibu wako, ana akili na anajua Mungu yupo?

Kwa sababu kama ana akili na anajua Mungu yupo,na unaweza kuthibitisha hilo, maneno yako yanakuwa na msingi wa kuendelea kuyachunguza.

Lakini kama hana akili, au ana akili lakini anakuwa hajamjua Mungu, tunaona kwamba hizi habari za kumjua Mungu watu wanajifunza tu baada ya kuzaliwa, lakini mtoto anapozaliwa anakuwa hajui habari hizi.

Sasa nikichunguza kwa kina zaidi, nijue, kwa mujibu wako, mtoto anapozaliwa, anakuwa ana akili au hana, kusudi tujue kama ana akili ana amini Mungu au haamini, utasemaje maswali hayo ni kutoka nje ya mjadala, wakati mimi najikita deep kabisa kwenye mjadala?
 
Mkuu Mshana,
Kiranga yupo sahihi siku zote tatizo lipo ukisoma vitabu vya bible na quran na kuvitafakari utagundua vinaelezea utamaduni wa waebrania na warabu na kama mungu yupo kwanini jamii nyingne kazisahau? Kwann mtu wa kwanza adam awe muebrania? Inamaana mungu alikuwa muebrania ? yahweh,jehovah,eloim yote majina ya kiebrania
 
Nikiwa nakuja kwako kukutembelea, sina hakika kwamba upo, lakini nafikiri utakuwepo, niko njiani nakuja. Hapo naamini utakuwepo kwako. Sijajua bado.

Nikifika kwako, nikakuona, nikahakikisha kwa jinsi yenye logical consistency, isiyo na contradiction, iliyo testable, kwamba upo nyumbani kwako, nakuwa nimejua upo kwako. Siamini tena. Nimejua.

Ushaelewa tofauti ya kuamini na kujua?

Sent using Jamii Forums mobile app
Nkiiulizwa kujua ni nini siwezi kujibu,sijaelewa kwa maana haujaeleza kujua ina maana gani.
 
Back
Top Bottom