Kiranga sio atheist ni non-believer

Kiranga sio atheist ni non-believer

Kwa kweli Mungu kama yupo, halafu anajifichaficha, anajifanya kuwa mgumu kueleweka, watu wakikutana naye mbinguni wana haki ya kujitetea kwamba hawakumjua na hawakumkubali kwa sababu alijificha na hakujiweka wazi.

Kwamba yeye ndiye mwenye makosa kwa kutojiweka wazi, na si kwamba watu wana makosa kwa kutomfuata.

Haiyumkiniki Mungu huyu awepo.
Mindset yako ilishakataa uwepo wake so hata ukitibitishiwa uwepo wake still utapinga. So mtu kama wewe na wa aina yako ni kuachwa uamini kile unachokiamini na huenda iko siku utakuja kuujua ukweli na kujiona ulikosea sana.
 
u
Mwisho wa siku watakengeuka imani yao na kujua kwamba yupo muumba wa yote (Mungu) kama alivyofanya R.I.P kingunge kabla ya kifo chake.
nachanganya mada hakuna sehemu kingunge alipinga uwepo wa Mungu bali alikataa dini za wakoloni.na hajabadilika mpaka anakufa
 
Yeye kujibu kuwa anazijua tafsiri nyingi hayupo liable wala accountable(halazimishwi wala haimlazimu) kuzifafanua na kuzitaja hizo tafsiri nyingi kwa sababu halikuwa swali la msingi lililoulizwa!
Basi ajibu swali la msingi
 
Tatizo la kiranga ana hoja nyepesi nyepesi na hawezi kutoka nje ya huja zake za kila siku miongomni mwa utetezi wake ni
1.pembe tatu ya pembesita
2.square root ya 2 haiwezi kuwa 10
3.mungu mwenye uwezo wote upendo wote na ujuzi wote kuumba dunia yenye maasi

ukimtoa nje ya hapo hawezi kutetea kutete hoja zake juu ya kutokuwepo kwa Mungu
 
Kiranga ni delusional follower wa philosophers marehemu kina Socrates, Plato na wengineo.. Alisoma doctrines zao na zikam brainwash kwa kiwango cha juu mno... Ndio maana nje wa ubishi wake ukimbana mahali vizuri atatafuta pa kutokea kwa kuwa quote hao marehemu ambao maandishi yao bado yanaishi
Yani hakuna tofauti ya mtu anaye quote Bible na anaye quote mabandiko ya binadamu wengine
Nilipotea kidogo tulikuwa kwenye ibada site ya ma atheist katika uhalisia, hawajui kabisa Mungu ni kitu gani na hawana tatizo hata chembe kwa wewe unayemwabudu Mungu View attachment 784179View attachment 784180
Hahaha....huyu atheist wetu yeye nae anadai hana tatizo na mtu kuamini mungu ila hapo hapo hataki useme kuna mungu.
 
je kama watu wa kwenye nyumba yako wote wamepimwa wamekutwa wanatumia na tuna assume hawana uwezo wa kutoka ndani ya hiyo nyumba kwanini tusiamini madawa yapo humohumo ingawa hatujayaona maana wanaoishi humo wote wamefungiwa kwa nje lakini vipimo ninaoneshwa wote wametumia tena muda wa dakika tano zilizopita walikua wanatumia
hahaaa.... hii hoja huwa unaijibu Mara kibao ten kwa jibu hili hili ""lakini nashangaa huwa tunashindwa kuelewa sijui kwanini"" JAMANI EEEEEHH KWA MUJIBU WA KIRANGA ANASEMA KUWA KITU AMBACHO HAKIPO HUWA HAKIITAJI UTHIBITISHO ILI KIONEKANE KUWA HAKIPO "" ......
 
hahaa..kama Mungu ni muweza wa yote " kweli !!? alishindwa vipi kumfanya mtoto mdogo aweze kumtambua...mpaka asubiri uwezo wa wa binaadamu waweze kumsaidia ktika kumfanya mtoto mdogo aweze kumtambua yeye
Kwani hao wanaomsaidia wao wametambuaje hadi wakaweza kumsaidia mtoto?
 
nadhani umenielewa nawaambia wanaomtaja mungu kwamba wawaache watoto wadogo bila kuwagusia chochote kuhusu mungu mpaka yeye awafunulie mwenyewe kwa uweza wake.
Kwahiyo hao wakubwa wamefunuliwa uwepo wa mungu?
 
Tatizo la kiranga ana hoja nyepesi nyepesi na hawezi kutoka nje ya huja zake za kila siku miongomni mwa utetezi wake ni
1.pembe tatu ya pembesita
2.square root ya 2 haiwezi kuwa 10
3.mungu mwenye uwezo wote upendo wote na ujuzi wote kuumba dunia yenye maasi

ukimtoa nje ya hapo hawezi kutetea kutete hoja zake juu ya kutokuwepo kwa Mungu
Creamed theories
 
Sasa inakuwaje Mshana anashindwa kujibu anavyoielewa yeye hiyo akili anayoiulizia kama ulivyotiririka wewe?
Kati yangu mimi na wewe Kiranga ni nani kashindwa kujibu... Hebu kuwa mkweli
 
je kama watu wa kwenye nyumba yako wote wamepimwa wamekutwa wanatumia na tuna assume hawana uwezo wa kutoka ndani ya hiyo nyumba kwanini tusiamini madawa yapo humohumo ingawa hatujayaona maana wanaoishi humo wote wamefungiwa kwa nje lakini vipimo ninaoneshwa wote wametumia tena muda wa dakika tano zilizopita walikua wanatumia
sasa hapo anayepswa kuprove " nihao wanaodai " kuwa Fulani na Fulani wametumia" nasio mimi ambaye najuwa kuwa nyumbani kwangu hakuna madawa " upo ??
 
Kwani hao wanaomsaidia wao wametambuaje hadi wakaweza kumsaidia mtoto?
sinawao walikarilishwa hayo hayo mavijitabu "" ambayo " wana mkarilisha mtoto " hii haiwezi kuwa mantiki sahihi ya kisema kuwa Mungu muweza wa yote ana exist" MAana tulipaswa kuona mtoto akiwa anezaliwa na uelewa wa kumjua Mungu Tayari kutokana na uzito wa neno lenyew la muweza wa yote "" sasa muweza wa yote inakuwaje anasaidiwa na binaadamu tena ili kuweza kufahamika kuwa yupo """
 
Sema walio wengi waaminio wanafuata mkumbo tu kwa wengi, lakni ukituliza bongo yako unaona janja janja nyingi kumhusu mungu muweza yote.
Kufuata mkumbo sio tatizo kama kweli kinachofuatwa ni kitu sahihi,kwa sababu kama hicho kitu ni sahihi itabaki kuwa hivyo na haiwezi kubadilika kwa sababu tu unafuata mkumbo.
 
Back
Top Bottom