Kiranga sio atheist ni non-believer

Kiranga sio atheist ni non-believer

Aliekuambia kuwa mitihani ndiyo kigezo sahihi cha kuonyesha namna maswali yanavyotakiwa kujibiwa kwa usahihi ni nani???!

Msingi wa kuandika hivyo ulitokana na kila swali liloulizwa lilizaa swali jingine. Sasa endapo utaulizwa 1+1 ukauliza moja ndio kitu gani wakati unatarajiwa utoe jibu hata kama sio sahihi ni tatizo. Unaulizwa jina lako nani, unajibu kwa kuuliza jina unamaanisha nini? Hapo ndio ilipotoka dhana ya hicho nilichokiandika.
 
Msingi wa kuandika hivyo ulitokana na kila swali liloulizwa lilizaa swali jingine. Sasa endapo utaulizwa 1+1 ukauliza moja ndio kitu gani wakati unatarajiwa utoe jibu hata kama sio sahihi ni tatizo. Unaulizwa jina lako nani, unajibu kwa kuuliza jina unamaanisha nini? Hapo ndio ilipotoka dhana ya hicho nilichokiandika.
Kuanzia leo na ukome kufikiri na kuamini kuwa jinsi mitihani inavyojibiwaga ndiyo kigezo sahihi cha kuonyesha namna maswali yanavyotakiwa kujibiwa kwa usahihi hapa duniani!
 
Ana nguvu zote, ana uwezo wote ana kila kitu, lakini kila siku tunahubiriwa tumfate. Kwa nini tusimfuate "automatically", kwa nini tushurutishane kumfuata?

Mungu mwenye upendo lakini watu wake kila siku wanakufa, wengine kwa njaa na umasikini, wengine kwa vita na maradhi makubwa yenye kuumiza mwili.

Angekuwepo kweli wala tusingekuwa na arguments, tungemfata wote bila kujali.
Mungu huyo hayupo, huyo katungwa tu na watu.
 
Hakuna aliyesema akili ni kutambua uwepo wa mungu,bali mwenye akili ni yule mwenye kuutambua uwepo wa mungu.

Kuna tofauti hapo,hapo neno akili limetumika tu ila halijatolewa maana yake hasa nini hadi huyo mwenye kuamini mungu ndiyo awe nayo hiyo akili.
Are you trying to compete splitting atoms with the Large Hadron Collider?
 
mshana jr with due respect musche kiranga sio level yako itunze heshima yako humu jf wewe ni bingwa katika mada zako ila mambi ya dini muachie jamaaa
 
Na hakuna niliposema kushinda mabishano ni kitu kibaya,ila nimesema Kiranga amejikita kushinda mabishano kwa hali yeyote. Sasa kama hao (manabii wako) nao walijikita kushinda mabishano kwa hali yeyote kama ufanyavyo wewe sawa.
Unataka kutukanana sasa? Wapi nimesema nina manabii?
 
aisee we mtu mimi nakukubali,sina namna ya kukuelezea ila kitu kilicho na nguvu kama mungu hakikupaswa kujifichaficha kama hivi.kingejieleza kujionesha kijipambanua na mengineyo mengi.labda kama kuna nguvu ingine watu wameamua kuificha baada ya kuijua na kuifahamu ambayo kwayo wanawatawala watu na kuwalisha wenye fikra fupi kwa kuiita mungu na kuificha iliyopaswa kuwa halisi.
Kwa kweli Mungu kama yupo, halafu anajifichaficha, anajifanya kuwa mgumu kueleweka, watu wakikutana naye mbinguni wana haki ya kujitetea kwamba hawakumjua na hawakumkubali kwa sababu alijificha na hakujiweka wazi.

Kwamba yeye ndiye mwenye makosa kwa kutojiweka wazi, na si kwamba watu wana makosa kwa kutomfuata.

Haiyumkiniki Mungu huyu awepo.
 
Ulivouliza akili ni nini, umetoa nafasi ya mjadala kua mkubwa na kumfanya Mshana aonekane bado ana hoja.

Akili - neno linalohusisha namna mtu anavyofikiri, anavyotafuta majawabu, anavyotafsiri muonekano wa vitu, anavyokubaliana na mambo na jinsi anavyohisi.

Kwa maana hii akili sio umbo bali neno, kwahio swali la kwamba mtu ana akili au lah ni batili. Kwakua kazi nyingi za akili zinahusiana na ubongo ndio maana waswahili hua tunauliza kama mtu ana akili lakini si sahihi .
Akili kwa kiingereza ni mind . Kwa mtu anaeongea kiingereza hawezi kukuuliza kama una akili, yani " the question as to whether one has a mind or not is either invalid or futile "
Ila unaweza kuulizwa kama una ubongo au lah .

Ref;
Mind - Wikipedia https/en.m.wikipedia.org/wiki/Mind?iorg_service_id_internal=803478443041409%3BAfonYAdB1BsjBypX
Sasa inakuwaje Mshana anashindwa kujibu anavyoielewa yeye hiyo akili anayoiulizia kama ulivyotiririka wewe?
 
Mkuu hata mimi juzi kuna mtu kaniuliza kama nina elimu?....ilibidi nimuulize afafanue kwanza anamaanisha elimu ipi kwa sababu mimi nina elimu ya VETA tu na akafafanua kuwa alitaka kujua kama nina elimu ya degree!
Ushahelewa? Na hapo mtu mwingine anaweza kukuambia elimu ipo kichwani, VETA na degree ni jitihada za kui formalize elimu tu na unaweza kupita VETA na degree na ukawa huna elimu na mtu ambaye hajafika huko akawa na elimu.

Sasa hapo utaona jinsi gani umuhimu wa ku define elimu inayoongelewa ni ipi, kabla ya kujibu swali.
 
Back
Top Bottom