MSILOMBO
JF-Expert Member
- Dec 3, 2015
- 511
- 449
Mpambeni tuuuu. Siku ya Siku Mtakanana.sijawahi kuona mtu Mwenye hoja zilizo shiba pia "" ambazo zimewahi kushinda hoja za kiranga...Mara nyingi tu "" amekuwa akizikusanya hoja za wanaoamini uwepo wa Mungu na kuzifinyanga finyanga kwa majibu Yke yenye hoja zenye fact "" ....." huwenda ikawa watu wanaoamini uwepo wa Mungu wakawa wanasimamia ukweli "" lakini wamekosa hoja zenye nguvu ambazo zinaweza Ku improve wrong kiranga ..."lakini mpaka sasa huwa nahesabu kuwa kiranga ndiye mshindi wa hizi debate""