Kiranga sio atheist ni non-believer

Kiranga sio atheist ni non-believer

What a man to a king, what a king to a god, what a god to a non believer who dont believe in anything.
 
Kiranga ukitaka kumuuluza kama uchawi upo,atakwambia ufafanue zaidi kuhusu uchawi unao uzungumzia,Mara atasema mambo ya titration za chemistry binafsi Mimi naona kiranga anamsimamo mkali sana nahii imetokana na uwezo wauke mkubwa sana wa kielemu kuhusu hizi dini za duniani


Huwaga anawakoroga sana watu wa imani... . Sa mtu anajua mungu, shtani mapepo na malaika af unamletea mambo ya titration cjui pembetatu ina box ndani..... wai, lazma umchanganye😀😀😀😀
 
Mzee mwenyewe ina maana hawa watu hawajawahi kusikia mahali popote kuwa MUNGU yupo?
Hahaha wao wanataka uthibitisho wa uwepo we mungu, sio hadithi za kusema mungu yupo bila uthibitisho.
Yani ni kama wewe leo usikie eti Yesu yuko ikulu anaongea na rais. Hutokubali hadithi hiyo,utahitaji uthibitisho wa hadithi hiyo ama kutoka kwa mtoa hadithi, au kwa yeyote mwenye ushahidi, ama picha au video. Hivyo nao hawa kina Kiranga huwa nasoma urgument zao wao hutaka ushahidi usio tia shaka, na sio hadithi zenye kusimulia hadithi.
 
NAOMBA NIWE JAJI WA MJADALA HUU USIJE ENDA MIAKA KUMI
NA MSHINDI NI Kiranga
Mimi ni mkristo ila kwa hoja bosi wangu mshana humfikii hata robo bado mkuu ni mweupe sana ,samahani kama nitakukwaza.
Ni mtazamo wako siwezi kupingana nawe... Lakini kama huna makengeza ungeona wazi mahali mada ilipofikia ni tofauti na asili yake... Na bado siamini katika kuandika insha ndefu nikinukuu maandishi ya wengine kama ndio hoja... Mjadala unapaswa uwe na majibu ya moja kwa moja, rahisi kueleweka
 
Ni mtazamo wako siwezi kupingana nawe... Lakini kama huna makengeza ungeona wazi mahali mada ilipofikia ni tofauti na asili yake... Na bado siamini katika kuandika insha ndefu nikinukuu maandishi ya wengine kama ndio hoja... Mjadala unapaswa uwe na majibu ya moja kwa moja, rahisi kueleweka
Nimekuwa nikifuatilia kwa makini sana wewe unavifungo vya kufikiri vya jamii inatakann kiwe sahihi? Dini inasema nini? Wazazi walikwambia nini? So unaingia kwenye mjadala wa ni rangi gani nzuri ukiwa umejiandaa jibu liwe ni nyekundu,so umekuwa unatumia programed question kufikia lengo,ila kiranga anafikiri bila mipaka na hakimbii mitego Kama we,Ntakupa mfano ukiwaambia watanzania mashoga kwenye katiba yenu wanna haki zao basi umryatibua utashambuliwa vikali ,wakati ni kweli Ila utaonekana wewe ni shoga na unawatetea kwa kuwa huna marinda au unawatumia ,hii ni level ya ujinga itaisha watoto wakielimika
 
Ni mtazamo wako siwezi kupingana nawe... Lakini kama huna makengeza ungeona wazi mahali mada ilipofikia ni tofauti na asili yake... Na bado siamini katika kuandika insha ndefu nikinukuu maandishi ya wengine kama ndio hoja... Mjadala unapaswa uwe na majibu ya moja kwa moja, rahisi kueleweka

Wanamsifia kiranga, hawajui kuwa ndiyo wanazidi kumpoteza,,,na yeye anapotezeka kirahisi sana 😀😀😀 anatia huruma kwakweli
 
Nimekuwa nikifuatilia kwa makini sana wewe unavifungo vya kufikiri vya jamii inatakann kiwe sahihi? Dini inasema nini? Wazazi walikwambia nini? So unaingia kwenye mjadala wa ni rangi gani nzuri ukiwa umejiandaa jibu liwe ni nyekundu,so umekuwa unatumia programed question kufikia lengo,ila kiranga anafikiri bila mipaka na hakimbii mitego Kama we,Ntakupa mfano ukiwaambia watanzania mashoga kwenye katiba yenu wanna haki zao basi umryatibua utashambuliwa vikali ,wakati ni kweli Ila utaonekana wewe ni shoga na unawatetea kwa kuwa huna marinda au unawatumia ,hii ni level ya ujinga itaisha watoto wakielimika
Naomba nikuulize swali rahisi lakini lililomshinda unayemsifia... UNA AKILI AMA HUNA AKILI...
BTW usipende kuishi maisha ya kufikirika na kuhukumu weka hizo mada ulizokuwa unanifuatilia tuone hicho unachokisema usahihi wake
 
Back
Top Bottom