Mbwambo Elinihaki Dastan
New Member
- May 14, 2017
- 2
- 1
Nafikiri hii kitu hujaifuatilia vizuri. Possibly umesikia story za mtaani tu alafu na wewe ukachukulia juu juu tu Bila kutoka kuufahamu ukweli wote. Nakushauri ufuatilie mwenyewe kwa nia ya kutaka kufahamu ukweli. Ila ikiwa lengo lako sio kutafuta ukweli basi achana na hiyo kitu kabisa na usizungumzie kitu usichokifahamu. Kumbuka Kwa manno yako utahesabiwa haki au kuhukumiwa.Hawa jamaa ni waongo wakubwa ukiwafuata huishi dunia hii hata wao karibia vyote wanavyojinadi ni vibaya wanagonga
1. Wanajifanya hawanywi cocacola lakini wanagonga mitaani kama kawa
2. Wanajifanya hawanywi chai ya majani ya chai ama kahawa na badala yake eti wanajanani gani dizain ambayo hayawezi kufanya kazi ya chai lakini wanazigonga tii kama kawa
3. Wanajifanya eti mdudu ni haramu lakini wanamgonga kimya kimya
4.Siku hizi wamekuwa ni waganga wa kienyeji na wanaibia watu wenye magonjwa sugu kwa kitu wanachokiita "SANITARIUM CLINIC" tena eti wana compyuta ambayo ukishika inatbaini magonjwa yoote mwilini. Utapeli mtupu wametajirika lakini watu wanaendelea kuteseka na magojwa yao