Kipi tufanye Wasabato mnatuchanganya!

Kipi tufanye Wasabato mnatuchanganya!

Kwanza neno Ndugu ni jumuishi( wale wote wa ukoo wako ni ndugu zako) kwahiyo Dada, Kaka,Mjomba,Shangazi,Binamu na kadhalika wote ni ndugu. Hivyo basi chukulia umetokea msiba wa Bwana John na MC atangaze" ndugu zake marehemu waje kutoa neno" Je tutategemea watu gani wajitokeze?.
kama unazungumzia shughuli inayofanana na kutoa tamko kwa siku zile ni wanaume tu ndio waliokuwa wakifanya hiyo. hata hivyo neno la Mungu katika King James Version iliyotoka katika lugha za kwanza za Biblia linasema brothers katika mafungu yote niliyompa ndugu yako Jiwe la majiwe, hakuna undugu wa udada au ushangazi hapo. ni brazaz. usilete porojo yako hapa kwamba brazaz ininclude na wakina dada. hata kama unatolea mfano tu huu haufai.
Pili biblia hajaelezea familia ya Yesu kwamba ilikuwa ya watu zaidi ya 3 yaaani Maria, Yosefu na Yesu inaonesha mwanzo mwisho walikuwa wakiisha watu watatu tu mpaka Yesu anaanza kuhubiri.
hili hasa ndilo linalosema kuwa Yesu alikuwa wa kwanza kuzaliwa toka tumbo la mariamu kabla wakina yakobo hawajazaliwa.
Kwa Ayo machache tuna hakika pasipo shaka kuwa Yesu mpaka anafikisha miaka 12 hakuwa na Mdogo wake au Kaka yake aliyezaliwa na Mama yake.
Excellent!
Ufunuo 12:5-6. (5 Naye akazaa mtoto mwanaume, yeye atakayewachunga mataifa yote kwa fimbo ya chuma. Na mtoto wake akanyakuliwa hata hata kwa mungu...........! 6: Yule mwanamke akakimbilia nyikani, ambapo anamahali palipotengenezwa na mungu,............!). Haya maono ya Yohane yanaonesha huyo mwanamke anazaa mtoto mmoja mwanaume ana baada ya huyo mtoto kunyakuliwa( kupalizwa) na yeye huyo mwanamke anaifadhiwa nyikani palipoandaliwa na Mungu, hivyo basi kwenye maono haioneshi huyo mwanamke akizaa watoto wengine. Labda Tuangalie tena hapohapo mstari wa 17. Inaonekana yule Joka baada ya kumshindwa yule mwanamke anarudi kupambana na Wazao wake waliosalia wale wenyeshuhuda juu ya Yesu kristo. Ukiangalia hapo utaona mwandishi wanafunzi wake Yesu wote( ambao ndo wenye Shuhuda juu Yesu kristo) akiwaita Uzao wa Maria maana hata Yesu aliwaita ndugu zake.
Kwa hayo machache nawasilisha!
hapa sasa ndio umelisha watu upupu. umejifanya mjanja kuchukua mafungu mawili tu ya ufunuo yanayofit purpose yako ya kudanganya watu kuwa mwanamke anayezungumzwa hapa ni maria. sasa kipande cha mwisho cha ufunuo 12:6 kinakuanika kizungumzia habari ya siku 2300. sijui hata kama unajua hizi siku ni kitu gani.

ok tuendelee sasa unataka kutuambia ni maria aliyekimbilia nyikani? wapi ulisoma kuwa alikimbilia nyikani maria wakati maria aliishi nyumbani kwa yohana baada ya kuondoka Yesu. kwa yohana ndio nyikani. historia imerekodi kuwa maria aliishi kama miaka 11 baada ya Yesu kuondoka kwa hiyo alikufa kama 41AD. huko kaburini ndio nyikani?


wakati Paulo alipokwenda yerusalem kumtembelea petro alikaa huko siku 15. hakumwona mtume yeyote huko Kasoro yakobo nduguye Bwana (Yesu) (Mdo 1:18,19). haya yote yanasema Yesu alikuwa na wazaliwa wenzake wa tumbo moja wewe.

Labda Tuangalie tena hapohapo mstari wa 17. Inaonekana yule Joka baada ya kumshindwa yule mwanamke anarudi kupambana na Wazao wake waliosalia wale wenyeshuhuda juu ya Yesu kristo.
kwanza ukilichukua hili fungu la 17 la ufunuo 12 ndio likusaidie kudefend hoja yako kuwa maria alikuwa bikira mpaka alipokufa au sijui alipopaa litakuumbua kwa sababu linasema hivi joka akarudi kupambana "uzao" wale waliosalia. sasa huo uzao atakuwa aliupataje kama sio kwa kuzaa watoto baada ya Yesu.

Nakushauri hili fungu liache halihusiani na bikira maria. maria kafa, yuko kaburini. ipo tu account kuwa naye hakuwa anaamini kuwa mtoto wake ndie masihi mpaka alipofufuka. hilo kuamini japo very late hilo ndio linaweza kumuokoa na hukumu ya mwanakondoo.

umeleta jambo interesting hapa linalosema kuwa wazao wake waliosalia wale wanaoshika amri za Mungu na wenye ushuhuda wa Yesu ingawa pale kwenye kushika amri za Mungu ulipakwepa. Unafahamu vizuri wewe unachokizungumza?

haya njoo wewe na mwenzio jiwe tuzungumze. BTW otorongongo anakaa mtaa gani siku hizi. amepona wazimu wake?
 
kama unazungumzia shughuli inayofanana na kutoa tamko kwa siku zile ni wanaume tu ndio waliokuwa wakifanya hiyo. hata hivyo neno la Mungu katika King James Version iliyotoka katika lugha za kwanza za Biblia linasema brothers katika mafungu yote niliyompa ndugu yako Jiwe la majiwe, hakuna undugu wa udada au ushangazi hapo. ni brazaz. usilete porojo yako hapa kwamba brazaz ininclude na wakina dada. hata kama unatolea mfano tu huu haufai.

hili hasa ndilo linalosema kuwa Yesu alikuwa wa kwanza kuzaliwa toka tumbo la mariamu kabla wakina yakobo hawajazaliwa.

Excellent!

hapa sasa ndio umelisha watu upupu. umejifanya mjanja kuchukua mafungu mawili tu ya ufunuo yanayofit purpose yako ya kudanganya watu kuwa mwanamke anayezungumzwa hapa ni maria. sasa kipande cha mwisho cha ufunuo 12:6 kinakuanika kizungumzia habari ya siku 2300. sijui hata kama unajua hizi siku ni kitu gani.

ok tuendelee sasa unataka kutuambia ni maria aliyekimbilia nyikani? wapi ulisoma kuwa alikimbilia nyikani maria wakati maria aliishi nyumbani kwa yohana baada ya kuondoka Yesu. kwa yohana ndio nyikani. historia imerekodi kuwa maria aliishi kama miaka 11 baada ya Yesu kuondoka kwa hiyo alikufa kama 41AD. huko kaburini ndio nyikani?


wakati Paulo alipokwenda yerusalem kumtembelea petro alikaa huko siku 15. hakumwona mtume yeyote huko Kasoro yakobo nduguye Bwana (Yesu) (Mdo 1:18,19). haya yote yanasema Yesu alikuwa na wazaliwa wenzake wa tumbo moja wewe.


kwanza ukilichukua hili fungu la 17 la ufunuo 12 ndio likusaidie kudefend hoja yako kuwa maria alikuwa bikira mpaka alipokufa au sijui alipopaa litakuumbua kwa sababu linasema hivi joka akarudi kupambana "uzao" wale waliosalia. sasa huo uzao atakuwa aliupataje kama sio kwa kuzaa watoto baada ya Yesu.

Nakushauri hili fungu liache halihusiani na bikira maria. maria kafa, yuko kaburini. ipo tu account kuwa naye hakuwa anaamini kuwa mtoto wake ndie masihi mpaka alipofufuka. hilo kuamini japo very late hilo ndio linaweza kumuokoa na hukumu ya mwanakondoo.

umeleta jambo interesting hapa linalosema kuwa wazao wake waliosalia wale wanaoshika amri za Mungu na wenye ushuhuda wa Yesu ingawa pale kwenye kushika amri za Mungu ulipakwepa. Unafahamu vizuri wewe unachokizungumza?

haya njoo wewe na mwenzio jiwe tuzungumze. BTW otorongongo anakaa mtaa gani siku hizi. amepona wazimu wake?
Otorong'ong'o
Ulimi waupanga
Sala na Kazi
Ilogelo

Njoo huku muone vituko vya mwaka yani hata ile Great Disappointed haikuti...,yani nimecheka hii post..[emoji16] [emoji16] [emoji16] [emoji16] [emoji16] mpaka nahisi siku zangu za kuwaelimisha Wasabato zimezidi kuongezeka.

Me naomba nimwite mchungaji Mkuu wa Kisabato Tanzania Mitale na Midimu aje aone vijana wake wanavyopotosha.

Mitale na Midimu karibu huku tafadhali,ukichelewa nakufuata pm ukizingua zaidi nakupandia hewani juu kwa juu au nacopy hii post nakutumia whatsup.....,
 
Vitu usivyokuwa na uwezo navyo ni vyema ukakaa kimya upate kujifunza,hii imenikumbusha mtu mmoja humu JF aliyekuwa anaitwa NTUZU ambaye amepotelea kusiko julikana siku hizi.

Yani nafikiri huko alipo sasa hivi akiona JF anapita kimyakimya.

Mdogo wangu Auferet Dominus tulia ujifunze kwani hiki ndicho kisima cha Critical Thinkers ndugu,humu hatubishani bali twaelimishana.

Pole sana.
 
Vitu usivyokuwa na uwezo navyo ni vyema ukakaa kimya upate kujifunza,hii imenikumbusha mtu mmoja humu JF aliyekuwa anaitwa NTUZU ambaye amepotelea kusiko julikana siku hizi.

Yani nafikiri huko alipo sasa hivi akiona JF anapita kimyakimya.

Mdogo wangu Auferet Dominus tulia ujifunze kwani hiki ndicho kisima cha Critical Thinkers ndugu,humu hatubishani bali twaelimishana.

Pole sana.
Nkheee nkhee nkheee. And this is all you could care to bring as a reply?? Nkhee nkhee
 
Nkheee nkhee nkheee. And this is all you could care to bring as a reply?? Nkhee nkhee
Kwa utetezi huo hapo juu umeonesha ni jinsi gani ulivyo empty kwenye Bible.

Kesho ikimpendeza Mungu nitaichambua post yako leo nimechoka sana na majukumu.
 
Kwa utetezi huo hapo juu umeonesha ni jinsi gani ulivyo empty kwenye Bible.

Kesho ikimpendeza Mungu nitaichambua post yako leo nimechoka sana na majukumu.
Ah sisi watu empty bwana inabidi tutafute wachambuzi wa biblia wakatoliki. Wonders shall never end in this world.
 
Nimepata muda wa kufuatilia mahubiri ya maisha hatimaye yanayorushwa mubashara kutoka Mbeya Tanzania. Nimejiuliza mnataka tufanye nini ikiwa mafundisho yenu yana msigano unaochanganya watu.

Mmoja wenu amekuwa akifundisha kitu kinachoitwa ujasiriamali. Moja ya mafundisho ni ufugaji wa ng'ombe wa nyama na maziwa, pamoja na kuku wa mayai. Maana yake ni kwamba, watu wanahitaji mayai, maziwa na nyama.

Leo namsikia mhubiri akisema ogopa sana mayai! Mafuta ambayo hata kwenye maziwa yamo mengi sana! Pia akaenda zaidi kusema ogopa hasa nyama nyekundu. Nguruwe ni haramu lakini ni kati ya wanyama wenye nyama nyeupe!

Sasa tufanye nini! Tufuge kuku wa mayai kwa ajili ya kuuzia wengine huku sisi tukiyakwepa ama tuache kwa vile mayai ni hatari kama ulivyosema?

Kazi kweli kweli
 
Hawa jamaa ni waongo wakubwa ukiwafuata huishi dunia hii hata wao karibia vyote wanavyojinadi ni vibaya wanagonga

1. Wanajifanya hawanywi cocacola lakini wanagonga mitaani kama kawa

2. Wanajifanya hawanywi chai ya majani ya chai ama kahawa na badala yake eti wanajanani gani dizain ambayo hayawezi kufanya kazi ya chai lakini wanazigonga tii kama kawa

3. Wanajifanya eti mdudu ni haramu lakini wanamgonga kimya kimya

4.Siku hizi wamekuwa ni waganga wa kienyeji na wanaibia watu wenye magonjwa sugu kwa kitu wanachokiita "SANITARIUM CLINIC" tena eti wana compyuta ambayo ukishika inatbaini magonjwa yoote mwilini. Utapeli mtupu wametajirika lakini watu wanaendelea kuteseka na magojwa yao

Namba 3 nimecheka sana, mdudu anatesa wengi sana maana hata maustaadh naskia mdudu anatafunwa nao sana[emoji125]🤣🤣🤣🤣
 
Sigara ya sport ni nzuri sana
Usivute sigara kwa afya yako
Tafakari hapa
Hatufanani akili mkuu,ila ninachojua,huwezi kuhamasisha watu wafuge kuku wa mayai hapo hapo unaua soko la mayai kwa kuwatahadharisha watu na hatari ya mayai!Si ni bora uwahamasishe wafanye kitu kingine?
 
Usishabikie bali unatakiwa usikitike na kumuombea,mada iliyoko mezani ni vyakula hayo mengine yanatoka wapi..???

Fuatana nami;

Matendo:10:9-15 (Hapa nitaweka mistari michache ila kwa kukusaidia wewe kasome mistari yote kama nilivyokuandikia)
11 "Aliona mbingu zimefunguliwa na kitu kama shuka imeteremshwa chini ikiwa imeshikwa pembe zake nne.
12 " Ndani ya shuka hiyo kulikuwa kila aina ya wanyama,wanyama wenye miguu minne,wanyama watambaao na ndege wa angani.
13 "Akasikia sauti ikimwambia, Petro amka uchinje ule!
14 " Petro akajibu La Bwana mimi sijaonja kamwe chochote ambacho ni najisi au kichafu.
15 "Ile sauti ikasikika tena ikimwambia,usivitie najisi vitu ambavyo Mungu amevitakasa.
Rejea tena Matendo 11:9 na Rumi 14:14 ili uendelee kupata maarifa.

Naomba niishie hapa kwa sasa.

Romans 14:14
The Acts 11:9
 
Hakuna Mfumo wowote wa Maisha ambao ata ubuni mwanadam kisha mfumo autumie kufikia mafanikio ya milele.
Ila mfumo ambao unatoka kwa Mola mlezi peke yake, kwa utayashuhudia mapungufu mengi sana
 
Huwa wananichanganya sana unakuta msabato ni mlevi anakwambia mdudu ni haramu lakini pombe anakunywa,
WAACHE UNAFIKI
 
Mkuu mafundisho ya wasabato mara nyingi ni ya kimwili kuliko kiroho!
Mara 'ubatizo wa maji madogo huendi mbinguni'! kwani lengo hasa la ubatizo ninini?
'Mnywa pombe haendi mbinguni', ebo! mbinguni tunakwenda kwa usafi wa mioyo yetu ati!
'Kula nguruwe huendi mbinguni'! basi mbinguni mliundiwa nyie? acheni kuhukumu wengine, tafakarini matendo na njia zenu!
 
Back
Top Bottom