ISLETS
JF-Expert Member
- Dec 29, 2012
- 8,118
- 5,369
kila chakula alichoruhu Mungu kula we kula lakini kwa kila jambo kiasi kinhitajika, uzuri ni kwamba hiyo ishu ya mayai hata mi sikuwa mbali nilikuwa nasikia, hakusema tusile, ila alitoa tahadhali kwa ulaji uliopitializa.Nimepata muda wa kufuatilia mahubiri ya maisha hatimaye yanayorushwa mubashara kutoka Mbeya Tanzania.Nimejiuliza mnataka tufanye nini ikiwa mafundisho yenu yana msigano unaochanganya watu.
Mmoja wenu amekuwa akifundisha kitu kinachoitwa ujasiria mali.Moja ya mafundisho ni ufugaji wa ng'ombe wa nyama na maziwa,pamoja na kuku wa mayai.Maana yake ni kwamba,watu wanahitaji mayai,na maziwa na nyama.
Leo namsikia mhubiri akisema ogopa sana mayai! Mafuta ambayo hata kwenye maziwa yamo mengi sana!Pia akaenda zaidi kusema ogopa hasa nyama nyekundu.Nguruwe ni haram lakini ni kati ya wanyama wenye nyama nyeupe!
Sasa tufanye nini!Tufuge kuku wa mayai kwa ajili ya kuuzia wengine huku sisi tukiyakwepa ama tuache kwa vile mayai ni hatari kama ulivyosema?
Haya tuje kwenye afya, kile kiini cha ndani cha yai kina mafuta mengi ambayo hayafai kwa afya huwa yanaganda kwenye mishipa ya damu kwa ndani, hivyo kwa ushauri zaidi wale tunaopenda mayai, yai moja kwa siku inatosha sana tena sana tena la kuchemsha.
Nyama nyekundu hakuna daktari asiyejua madhara ya hizi nyama ndio hivyo mi mwenyewe ni mlaji mzuri tu. Tuzoee kula samaki na kuku tena hapo kwenye kuku tuwe tunaondoa ile ngozi ya nje ili kupunguza mafuta masiyofaa mwilini..
kufuga fuga kupata kipato, na kama qaona kacha nyama huwezi kula sana tu maadam sio dhambi, hayo mayai kama kupunguza huwezi kula sana tu maadam sio dhambi, ila kujali afya pia ni kitu cha msingi