what impresses me this time is you have come very civilized. I commend you for that and you just made a very fine point here my friend.
Sasa turudi kwenye communication techniques sir. ni hivi tuchukulie kuna kitu kinatokea mbele yako na kinavyotokea huamini kwamba kinatokea hivyo kinavyotokea. kwa mfano unakutana na mtu unayemfahamu siku zote kuwa ni mwanakandanda mahiri say lionel messi. sasa unamsikia anavyoshuka nondo za gaenecological medicine kwa ufasaha mkubwa yani anashuka nondo akieleza matibabu Fulani ya magonjwa ya wanawake kwa ufasaha mkubwa. au unakutana na mbongo flavor Fulani unamsikia akimwaga nondo za nuclear physics na hapo umesimama na mtu mnayekuwa naye mara nyingi mahali pamoja kwa mfano mke wako au ndugu zako ambao nao wanafahamu vizuri tu kuhusu watu hao niliokutajia wakifanya hayo ambayo hawategemewi kuwa na uwezo wa kuyafanya.
hapo ndipo unapouliza kuverify kama haumo kwenye ndoto ya hicho unachokiona. unauliza jamani huyu sio yule mkali wa barca mbona anajua udaktari namna hiyo. au jamani huyu si ni yule rapper wa Kiswahili hivi kapata wapi ujuzi wa mabomu ya north korea. unashangaa kupita maelezo.
kumbuka wasomi wa dini wa wakati huo walikuwa ni makuhani, mafarisayo na masadukayo hao walikuwa wanajua dini yote ya kiyahudi kuliko wengine wote. now anakuja huyu anayefahamika kuwa alizaliwa kwenye nyumba ya yusufu na kuweka kumbukumbu zao vizuri wanaambiana si ni yule ambaye ndugu zake ni wakina yakobo. hapa wanatafuta confirmation ya hicho wanachokiona kwa sababu hawaamini kuwa Yesu alikuwa na uwezo ule wa kunena neno la Mungu liliwapita wasomi, makuhani na mafarisayo. hekima yake ilikuwa kubwa ndipo kutaka kujua kama walichokuwa wakikiona na kukisikia kilikuwa kweli.
sasa hapa ndipo pa ajabu Zaidi. hao watu walijuaje kuwa akina Yakobo na Yesu wana undugu mpaka waulize kuwa huyu sie ndugu yake wakina yakobo. inference hapa ni kuwa watu hao walikuwa wanafahamu ile familia yote iliyowachanganya Yesu na wakina Yakobo. na kama nilivyosema hapo juu watu hawa hawakuwa wanauliza kitu wasichokifahamu bali walikuwa wakitaka kupata uthibitisho wa kile walichokuwa wakikisikia na kukiona.
Luka 1:26-45 sioni kingine Zaidi ya Mariamu kutangaziwa namna atakavyokuwa mama wa Yesu. lakini mafungu hayo hayasemi maria alikoma kuzaa baada ya kupata mbaraka wa kumzaa Yesu. labda uniambie tena hapa kuna nini cha Zaidi nisichokiona mie mpofu.
Japo Topic haizungumzii Ubikira wa Maria ila ngoja na mimi nitoe maoni yangu kidogo:
Kwanza neno Ndugu ni jumuishi( wale wote wa ukoo wako ni ndugu zako) kwahiyo Dada, Kaka,Mjomba,Shangazi,Binamu na kadhalika wote ni ndugu. Hivyo basi chukulia umetokea msiba wa Bwana John na MC atangaze" ndugu zake marehemu waje kutoa neno" Je tutategemea watu gani wajitokeze?.
Pili biblia hajaelezea familia ya Yesu kwamba ilikuwa ya watu zaidi ya 3 yaaani Maria, Yosefu na Yesu inaonesha mwanzo mwisho walikuwa wakiisha watu watatu tu mpaka Yesu anaanza kuhubiri. Labda kuna baadhi ya vifungu tujaribu kuviangalia kwa kina tuone hawa ndugu ni wadogo zake Yesu au la?
Ukianza na Mathayo 2:21, Utagundua familia inatoka mafichoni Misri ikiwa ni ya Watu 3 tu na pia ongeza Luka 2:42-52, Hapa utaona Mtoto Yesu akiwa na miaka 12 lakini bado hana mdogo wake Bali anatembea yeye, mama, baba, na jamaa(Ndugu soma msitari wa 44).
Kwa Ayo machache tuna hakika pasipo shaka kuwa Yesu mpaka anafikisha miaka 12 hakuwa na Mdogo wake au Kaka yake aliyezaliwa na Mama yake.
Tujiulize labda Maria alizaa watoto wengine baada ya Yesu kuzidi iyo miaka 12? Tuone haya maandiko:
Ufunuo 12:5-6. (5 Naye akazaa mtoto mwanaume, yeye atakayewachunga mataifa yote kwa fimbo ya chuma. Na mtoto wake akanyakuliwa hata hata kwa mungu...........! 6: Yule mwanamke akakimbilia nyikani, ambapo anamahali palipotengenezwa na mungu,............!). Haya maono ya Yohane yanaonesha huyo mwanamke anazaa mtoto mmoja mwanaume ana baada ya huyo mtoto kunyakuliwa( kupalizwa) na yeye huyo mwanamke anaifadhiwa nyikani palipoandaliwa na Mungu, hivyo basi kwenye maono haioneshi huyo mwanamke akizaa watoto wengine. Labda Tuangalie tena hapohapo mstari wa 17. Inaonekana yule Joka baada ya kumshindwa yule mwanamke anarudi kupambana na Wazao wake waliosalia wale wenyeshuhuda juu ya Yesu kristo. Ukiangalia hapo utaona mwandishi wanafunzi wake Yesu wote( ambao ndo wenye Shuhuda juu Yesu kristo) akiwaita Uzao wa Maria maana hata Yesu aliwaita ndugu zake.
Kwa hayo machache nawasilisha!
what impresses me this time is you have come very civilized. I commend you for that and you just made a very fine point here my friend.
Sasa turudi kwenye communication techniques sir. ni hivi tuchukulie kuna kitu kinatokea mbele yako na kinavyotokea huamini kwamba kinatokea hivyo kinavyotokea. kwa mfano unakutana na mtu unayemfahamu siku zote kuwa ni mwanakandanda mahiri say lionel messi. sasa unamsikia anavyoshuka nondo za gaenecological medicine kwa ufasaha mkubwa yani anashuka nondo akieleza matibabu Fulani ya magonjwa ya wanawake kwa ufasaha mkubwa. au unakutana na mbongo flavor Fulani unamsikia akimwaga nondo za nuclear physics na hapo umesimama na mtu mnayekuwa naye mara nyingi mahali pamoja kwa mfano mke wako au ndugu zako ambao nao wanafahamu vizuri tu kuhusu watu hao niliokutajia wakifanya hayo ambayo hawategemewi kuwa na uwezo wa kuyafanya.
hapo ndipo unapouliza kuverify kama haumo kwenye ndoto ya hicho unachokiona. unauliza jamani huyu sio yule mkali wa barca mbona anajua udaktari namna hiyo. au jamani huyu si ni yule rapper wa Kiswahili hivi kapata wapi ujuzi wa mabomu ya north korea. unashangaa kupita maelezo.
kumbuka wasomi wa dini wa wakati huo walikuwa ni makuhani, mafarisayo na masadukayo hao walikuwa wanajua dini yote ya kiyahudi kuliko wengine wote. now anakuja huyu anayefahamika kuwa alizaliwa kwenye nyumba ya yusufu na kuweka kumbukumbu zao vizuri wanaambiana si ni yule ambaye ndugu zake ni wakina yakobo. hapa wanatafuta confirmation ya hicho wanachokiona kwa sababu hawaamini kuwa Yesu alikuwa na uwezo ule wa kunena neno la Mungu liliwapita wasomi, makuhani na mafarisayo. hekima yake ilikuwa kubwa ndipo kutaka kujua kama walichokuwa wakikiona na kukisikia kilikuwa kweli.
sasa hapa ndipo pa ajabu Zaidi. hao watu walijuaje kuwa akina Yakobo na Yesu wana undugu mpaka waulize kuwa huyu sie ndugu yake wakina yakobo. inference hapa ni kuwa watu hao walikuwa wanafahamu ile familia yote iliyowachanganya Yesu na wakina Yakobo. na kama nilivyosema hapo juu watu hawa hawakuwa wanauliza kitu wasichokifahamu bali walikuwa wakitaka kupata uthibitisho wa kile walichokuwa wakikisikia na kukiona.
Luka 1:26-45 sioni kingine Zaidi ya Mariamu kutangaziwa namna atakavyokuwa mama wa Yesu. lakini mafungu hayo hayasemi maria alikoma kuzaa baada ya kupata mbaraka wa kumzaa Yesu. labda uniambie tena hapa kuna nini cha Zaidi nisichokiona mie mpofu.
Japo Topic haizungumzii Ubikira wa Maria ila ngoja na mimi nitoe maoni yangu kidogo:
Kwanza neno Ndugu ni jumuishi( wale wote wa ukoo wako ni ndugu zako) kwahiyo Dada, Kaka,Mjomba,Shangazi,Binamu na kadhalika wote ni ndugu. Hivyo basi chukulia umetokea msiba wa Bwana John na MC atangaze" ndugu zake marehemu waje kutoa neno" Je tutategemea watu gani wajitokeze?.
Pili biblia hajaelezea familia ya Yesu kwamba ilikuwa ya watu zaidi ya 3 yaaani Maria, Yosefu na Yesu inaonesha mwanzo mwisho walikuwa wakiisha watu watatu tu mpaka Yesu anaanza kuhubiri. Labda kuna baadhi ya vifungu tujaribu kuviangalia kwa kina tuone hawa ndugu ni wadogo zake Yesu au la?