Kingereza changu kibaya wapi wanafundisha vizuri?

Kingereza changu kibaya wapi wanafundisha vizuri?

Kazi kwako
FB_IMG_1525949604741.jpg
 
Yep! I can coach you... Ntakuwa nakufundisha kwa kutumia simu. Nakupigia tunajifunza kitu kimoja baada ya kingine. Ntakufundisha uweze kupata listening skills, speaking skills ila writing skills itakuja mwisho...

Mkuu unaweza kujua techniques za kufauru IELTS? Nimeattend mtihan nikaangukia pua
Listening 34/40 =7.5/9
Reading 32/40 = 6.5/9
Speaking 30/40 =6.5/9
Writing 25/40. =5.5/9

Nifanyeje nifauru?
 
Msema kweli mpenzi wa Mungu,

Nilisoma kayumba nursery hadi chuo.Kingereza changu ni kibaya sasa ya mungu Mengi kuna jambo nataka kufanya nahitaji kujiongeza.

Naombeni ushauri wapi wanafundisha lugha ya kingereza kiproffesional kabisa hapa Tz sana sana iwe Dar.

Asanteni.
ras simba
 
njia rahisi ya kujifunza lugha ni kuitumia. anzia kwenye kuongea na kuandika kiingereza kila uwapo.
 
Back
Top Bottom