Miss Natafuta
JF-Expert Member
- Sep 16, 2015
- 28,029
- 52,507
- Thread starter
- #41
Yes series zinasaidia sanaKuna beki tatu wetu mmoja kaishia std 7 ila anakikung'uta kama kazaliwa nacho, ni baada ya kuwa mfuatiliaji mzuri wa series za kidhungu
Yes series zinasaidia sanaKuna beki tatu wetu mmoja kaishia std 7 ila anakikung'uta kama kazaliwa nacho, ni baada ya kuwa mfuatiliaji mzuri wa series za kidhungu
Mkuu utaratibu wako wa kucoach upojeYep! I can coach you... Ntakuwa nakufundisha kwa kutumia simu. Nakupigia tunajifunza kitu kimoja baada ya kingine. Ntakufundisha uweze kupata listening skills, speaking skills ila writing skills itakuja mwisho...
Pole sana , upo bachelor au diploma?Nataka speaking skills kwanza maana presentation zitanitesa
Huko nilishapita mkuuPole sana , upo bachelor au diploma?
ZipojeFata kanuni za (N+S+T)
Ndio Mkuu.nipo tu kama nanihiiIlla mkuu kidogo unajua kuogea??
Msema kweli mpenzi wa Mungu,
Nilisoma kayumba nursery hadi chuo.Kingereza changu ni kibaya sasa ya mungu Mengi kuna jambo nataka kufanya nahitaji kujiongeza.
Naombeni ushauri wapi wanafundisha lugha ya kingereza kiproffesional kabisa hapa Tz sana sana iwe Dar.
Asanteni.
Hivo hvoNi kibaya kuliko cha huyu mwenye PhD Jiwe?
Kwa mda gan?British council
Asante Mkuu kila mtu ana mapungufu madogo madogo na ninaamini ukifanyia kazi mapungufu yako unakuwa mtu bora zaidi.haifai kukaa na kujilaumu au kulaumu serikali.Hii tabia itakufanya undelee sana, keep it up. Ukijua kuna unahitaji ku improve area fulani kwenye maisha , unakuwa willing kujifunza safi sana Miss Natafuta. Jaribu pia British Council.
Nenda pale mama, gharama km 700,000 kwa wiki 5 na unakuwa fresh,British council napiga simu zao hazipokelewi Mkuu.bado kipo?
Asante mkuu ila Mbona ghali sana jamani? Naombeni mchango jamani nitakomaje?Nenda pale mama, gharama km 700,000 kwa wiki 5 na unakuwa fresh,
Samahan....kusoma na kuogea unaweza??sabab apo polishing inakua simpleNdio Mkuu.nipo tu kama nanihii
Nimesoma hadi chuo kikuu miaka mitatu.Samahan....kusoma na kuogea unaweza??sabab apo polishing inakua simple
Quora ni wapi Mkuu?Penda sana kuingia quora na kusoma mada mbalimbali