Kingereza changu kibaya wapi wanafundisha vizuri?

Kingereza changu kibaya wapi wanafundisha vizuri?

Kijana wangu form one likozo ya mwezi wa sita ndio kitu changwanza kumpangia
Hapo nimepata kitu
Ras
British council
 
Nimesoma hadi chuo kikuu miaka mitatu.
Okkk......mi ni kijana ..nakaa tandale...ukweli uwezo wangu naweza kukusadia kwenye field ya spoken na kutamka maneno mbalimbali but only jumapili nd its free of charge kwa yule ambao anaka...kitu kamma 2hr is enough..
 
Nakaa tandale ....jickie uhuru
Check me out ...yi ni opportuni
 
Embu andika hiyo mada yako kwa kiingereza ili tujue level na msaada gani hasa wahitaji.
 
Kazi kwako
FB_IMG_1525948330628.jpg
 
Back
Top Bottom