Narudia tena.Huna uwezo wa kuniwekea mipaka wewe, Pambana na njaa zako
Usirudie tena kuniquote halafu ukaandika upuuzi
Narudia tena.Huna uwezo wa kuniwekea mipaka wewe, Pambana na njaa zako
Mwalimu nipo,ndan ya siku tatu tu unaslain utafikir umetoka ukMsema kweli mpenzi wa Mungu,
Nilisoma kayumba nursery hadi chuo.Kingereza changu ni kibaya sasa ya mungu Mengi kuna jambo nataka kufanya nahitaji kujiongeza.
Naombeni ushauri wapi wanafundisha lugha ya kingereza kiproffesional kabisa hapa Tz sana sana iwe Dar.
Asanteni.
Narudia tenaNarudia tena.
Usirudie tena kuniquote halafu ukaandika upuuzi
Wewe post kila unapotaka ila ukiniquote usiniandikie ujinga wakoNarudia tena
Huna jeuri ya kuniwekea mipaka wewe hata siku moja.
Wewe Ujinga umekutoka lini?Wewe post kila unapotaka ila ukiniquote usiniandikie ujinga wako
Naona unataka tuharibiane siku, endelea kukazana.Wewe Ujinga umeacha lini
Sasa atanifundishaje na Mimi nipo bongo Mkuu?
Kama una rununga yako na unapata stations ambazo zina tumia kizungu huwe mara kwa mara una angalia programs zao. Achana na kiswahili kwa kipindi kama miezi sita au mwaka hivi na jaribu kuwa na enviroment ambayo inatumia kizungu zaidi kuliko kiswahili na tembelea nchi ambazo zinazungumza kiingereza kama Zibambwe, Zambia, Kenya na Uganda au hata UK kama unaweza.Msema kweli mpenzi wa Mungu,
Nilisoma kayumba nursery hadi chuo.Kingereza changu ni kibaya sasa ya mungu Mengi kuna jambo nataka kufanya nahitaji kujiongeza.
Naombeni ushauri wapi wanafundisha lugha ya kingereza kiproffesional kabisa hapa Tz sana sana iwe Dar.
Asanteni.
I advice you to re write this thread in English...practise makes parfect....Msema kweli mpenzi wa Mungu,
Nilisoma kayumba nursery hadi chuo.Kingereza changu ni kibaya sasa ya mungu Mengi kuna jambo nataka kufanya nahitaji kujiongeza.
Naombeni ushauri wapi wanafundisha lugha ya kingereza kiproffesional kabisa hapa Tz sana sana iwe Dar.
Asanteni.
to be honesty. I studied at kayumba from primary to university level.I advice you to re write this thread in English...practise makes parfect....