Aliishia form four, akawa anataka kwenda Marekani akaambiwa inabidi kiingereza kipigwe polish.Dah jamaa alitokea chuo ama sec?
Aliishia form four, akawa anataka kwenda Marekani akaambiwa inabidi kiingereza kipigwe polish.Dah jamaa alitokea chuo ama sec?
hahahaah, mbele ya mchepuko kidhungu kitakuja tu chenyewe. hahaahhahahaaha.Ile issue imekaribia shosti halafu pale wengi ni maforeigner nisije nikakosa hata mchepuko.
mh!Mbona ulifaulu Chuo cha ushirika?
Hahaha kufaulu chuo kusiwe kipimo cha kitu chochote.Mbona ulifaulu Chuo cha ushirika?
Nimesahau exact figure lakini siyo chini ya laki tatu.Ada yao sh ngapi Mkuu?
Msema kweli mpenzi wa mungu
Nilisoma kayumba nursery hadi chuo.kiingereza changu ni kama cha naniliu tu.sasa ya mungu Mengi kuna jambo nataka kufanya naitaji kujiongeza
Naombeni ushauri wapi wanafundisha lugha ya kiingereza kiproffesional kabisa hapa Tz.sana sana iwe dar.
Asanteni.
OK shukrani sio mbaya ngoja nitaenda kesho kucheki nitaleta mrejeshoNimesahau exact figure lakini siyo chini ya laki tatu.
Kweli Mkuu mazingira yanachangiamhitimu wa chuo anaelekea kwa Ras Simba kusoma ngeli🙂. Pole sana mkuu, wengi tunaunga hivyohivyo. in order to master any language you master speak it in your daily conversations. Tanzanians we only speak english in classes and only to teachers who themselves are not fluent. it's not your fault.
kipo kama hiki changu?😀😉
On serious note. Kusoma Novel na vitabu vingine vya kiingeereza kunasaidia kukuza lugha.
Unataka nikudanganye?Ndio tatizo la sisi wabongo kama tu kajitolea kukufundisha kwanini mm usinifundishe?
Sh ngapi Mkuu pale?British council
Tatizo ni tanescoMimi na tatizo, nikipiga safari zangu kadhaa au kwenye ndoto nakigoga kizungu ile mbaya lakini nikiwa normal siwezi tatizo nini?
Sh ngapi Mkuu pale?
Asante bosco .ni muda gani alisoma Mkuu?Sina hakika na hilo,ingia katika site yao nadhani utaona
Ni sehem sahihi sana kwa mtu anaehitaji kujua lugha
Kuna jamaangu alisoma hapo na yuko vzur kwel
Hawa ndio wakisikia watu wanaongea Kiingereza wanasema wanajidai.mhitimu wa chuo anaelekea kwa Ras Simba kusoma ngeli🙂. Pole sana mkuu, wengi tunaunga hivyohivyo. in order to master any language you must speak it in your daily conversations. Tanzanians we only speak english in classes and only to teachers who themselves are not fluent. it's not your fault.
kipo kama hiki changu?😀😉
On serious note. Kusoma Novel na vitabu vingine vya kiingeereza kunasaidia kukuza lugha.
Me sikuwezi hata kama ningejua kirenoNjoo uwe gf wangu mwezi mmoja tu utakuwa kama umezaliwa Windsor!
Si unakaa kwa lengo maalum,kujua lugha.Me sikuwezi hata kama ningejua kireno
Ahahaa tena tunaitana kukucheka.umenikumbusha kijijini kuna mdada enzi hivo alikuja dar manzese kuwa beki tatu.alivorudi bush tukawa tunamshangaa anavomwaga kiswahili.yaani tulikuwa tunamzunguka watoto wa kijiji kizima tunamuona mjanja tena sio wa nchi hii kabisaHawa ndio wakisikia watu wanaongea Kiingereza wanasema wanajidai.