Ivi hapo pichani wanaomkaribisha, wanapomtazama fikra gani zinawajia kichwani mwao?
Utamaduni wa mtanzania ni nini (sio upi, kwa sababu haupo, kama unajulikana basi watakuwa wanakumbuka kitu ila nani afuate utamaduni wa nani? Zaidi ya kuwaza jamaa ataacha kiasi gani hamna jingine ...mmasai kivyake, mmakonde, mndengereko, mjita, mmandengo, mngoni, muhehe, mfipa 'mtoto wa mkulima', msambaa na mdigo, mpare na mchaga, wanyakyusa, wanyamwezi, kila kabila na lwake ... so hamna watakacho fikiria zaidi ya kukenua tu kama jamaa wa mambo ya mbele ...
Kutikii nene hi!?
Nchi
Haina utamaduni,
Haina dini,
Haina maendeleo,
Haina umoja,
Haina ushirikiano na majirani zake,
Haina viongozi thabiti wenye kuleta maendeleo,
Haina wazalendo kwenye uongozi
Hali mradi jana imepita, leo tuone itakuaje, kesho tuombe Mungu atusaidie ipite kama jana ...