Double K
JF-Expert Member
- Aug 1, 2012
- 907
- 343
amekuja na totoz zake
segerea kumejaa plsssssss.
amekuja na totoz zake
Ni Mfalme wa Swaziland..
Je, Unaifahamu hiyo nchi?
Mkuu,
Hivi si nasikia wanawake kuacha matiti nje na kuvaa vinguo vifupi ni kukosa maadili mema mbele ya jamii na inachochea vitendo vya ubakaji na kujidhalilisha?
Vipi huko kwao si UKIMWI utakuwa umeenea sana na kesi kama hizo za ubakaji?
Amekuja na totoz zake
Huyu MFARUME HUWA NA MUWEKA KWENYE LIST YA WATU WANAO FAIDI HII DUNIA
![]()
![]()
Kha ha ha ha haaaaaa!
Hata hapa Arusha wing tuna Mswati wa kwetu,ngoja niwaambie hawa Wakubwa wamwite aje kipande hii.
Preta
Mzee wa Rula
PakaJimmy
Lily Flower
Filipo
Hebu mwambieni yule Ndugu yetu aje kipande hii.
Arushaone habari yako bwana!
Upo Dar es salaam ama?
Nimekusalimu tu!
Kha ha ha ha haaaaaa!
Hata hapa Arusha wing tuna Mswati wa kwetu,ngoja niwaambie hawa Wakubwa wamwite aje kipande hii.
Preta
Mzee wa Rula
PakaJimmy
Lily Flower
Filipo
Hebu mwambieni yule Ndugu yetu aje kipande hii.
Arushaone habari yako bwana!
Upo Dar es salaam ama?
Nimekusalimu tu!
wanawake ni wengi sana yeye hawanyanyasi anawapatia huduma kwanza ni fahari kuwa na mfalme au unamawazo tofautiHaki za binadamu wakiwemo wanawake zinabaki palepale.
Singizia kitu chochote utakacho, iwe utamaduni, mila, dini n.k, Udhalilishaji utabaki kuwa udhalilishaji tu, bila kujali umefanyika kwa mwavuli wa nini kati ya vitu nilivyotaja.
uku kwe2 radio hazkamati kabxa mjombaJitahidi basi kununua hata ka-redio ka mchina uwe unapata habari za kila siku na wewe khaa!