Mtoto mdogo mwili jumba...., anyway, ningemheshimu kama angekuwa hafanyi udhalilishaji dhidi ya wanawake nchini mwake.
Haki za binadamu wakiwemo wanawake zinabaki palepale.Swala la Wanawake huko kwao wanalifanya kiutamaduni mkuu..
...................Hata hivyo, kutetea haki za binadamu mwenzio, wakiwemo wanawake sio lazima uwe TGNP, nakushauri mkuu unapoona udhalilishaji na ukiukwaji usikae kimya.weye utakuwa TGNP
you want some?
ogopa mtu anayelindwa kiutamaduni...
Haki za binadamu wakiwemo wanawake zinabaki palepale.
Singizia kitu chochote utakacho, iwe utamaduni, mila, dini n.k, Udhalilishaji utabaki kuwa udhalilishaji tu, bila kujali umefanyika kwa mwavuli wa nini kati ya vitu nilivyotaja.
Hebu fafanua kidogo mkuu,...analindwaje kitamaduni mkuu
Ivi hapo pichani wanaomkaribisha, wanapomtazama fikra gani zinawajia kichwani mwao?
Angalia vyema Picha hapo juu uwaone walinzi wake..
Mcheki vizuri huyo aliyepo katikati yake na Bilali..
Mkononi amefunga zana ya ukweli
Ndiyo maana nikasema analindwa kiutamaduni...
Ivi hapo pichani wanaomkaribisha, wanapomtazama fikra gani zinawajia kichwani mwao?
Jitahidi basi kununua hata ka-redio ka mchina uwe unapata habari za kila siku na wewe khaa!Anakuja kufanyaje..ebu mtoa habari atukamilishie ii taarifa
Binafsi nimempenda saaaaaaaaana na asili, yake naona mijamaa inamshangaa alivovaa
Siyo yeye anayetaka ni mila ya kwao kuwa mfalme anaoa kila mwaka ambapo hizo totoz hupita mbele yake vifua wazi, matumbo wazi na mapaja wazi ili aweze kujichaguli kamoja. Mwaka huu kama sikosei atatimiza wake 13 au 14. Na hizo totoz sio kwamba zinalazimishwa ila zenyewe hujitokeza kama wanavyojitokeza wanaowania umiss TZ. Kwao huona fahari kubwa kuolewa na mfalmemzee wa totoz