King Mswati III in Dar...

King Mswati III in Dar...

Binafsi nimempenda saaaaaaaaana na asili, yake naona mijamaa inamshangaa alivovaa

...we awp unamjua huyu...? king mswati huyu,hapo kwenye red.....!!??
 
Last edited by a moderator:
  • Thanks
Reactions: awp
...we awp unamjua huyu...? king mswati huyu,hapo kwenye red.....!!??

aaah! kwa bahati mbaya awp is no more virgin

She just love him as a king...

teh teh teh ....
 
Last edited by a moderator:
  • Thanks
Reactions: awp
mjinga tu huyu anatawala nchi maskini kwa anasa kama vile ana mafuta...
 
nimempenda jinsi alivyovaa culture

....aaaah hongera sana mi nilijua dalili ya mawingu ni mvua, kasi yake mfalme inatisha dadii,...teh..tehh...
 
Binafsi nimempenda saaaaaaaaana na asili, yake naona mijamaa inamshangaa alivovaa

Hata mi ningekushangaa usingempenda!!! Ukimkuta mwanamke asiyempenda Mswati huyo ni wa kutafakariwa mara mbili. Dada umekuwa wazi mno na huru hongera zako
 
wanafikiria hivi

mswati2.jpg

Wakati tunalalamika wanadhalilishwa, kwao wao ni fahari kubwa kwa kuenzi utamaduni wao. Wapo watanzania wengi wanavaa hivi, wapo wasanii wakubwa wa Kibongo wanavaa uchi,hao nao wanadhalilishwa? Wenzetu weupe pia wanavaa uchi, mbona hatusemi wanadhalilishwa? so kila mtu anauishi utamaduni wake.
 
Hapa tunaweza kupima ni namna gani tunavyowathamini viongozi wetu ukilinganisha na mabeberu wa ulaya na marekani.
Jaribu kulinganisha mapokezi ya Mswati na ya Obama.
 
king muswati the happiest man in the world, raha ilioje kua umezungukwa na totoz kali huku ukiwa mfalme. enjoy mswati
 
Mwenyeji amemwandalia kila kitu. Utamaduni wao unajulikana na mpaka anaconfirm safari,alihakikishiwa atapata huduma zote.
 
Asante, ungekuwa karibu ningekuzawadia

Tumetekwa na wazungu hadi hatujitambua tena, wazungu kutwa kuche wanatembea uchi beach, ukiuliza wanasema wanapunga upepo.

Achia mbali kwenye night clubs, dunia hii kila mmoja bora aheshimu mila za mwenzie mradi hazimuumizi mtu

Wakati tunalalamika wanadhalilishwa, kwao wao ni fahari kubwa kwa kuenzi utamaduni wao. Wapo watanzania wengi wanavaa hivi, wapo wasanii wakubwa wa Kibongo wanavaa uchi,hao nao wanadhalilishwa? Wenzetu weupe pia wanavaa uchi, mbona hatusemi wanadhalilishwa? so kila mtu anauishi utamaduni wake.
 
Nani ka-define afanyacho kama udhalilishaji?
Kongosho, ungeniuliza kuwa udhalilishaji ni nini ningekufafanulia vizuri, lakini ukiuliza ni nani aliye define kuwa huo ni udhalilishaji au kitu flani udhalilishaji, ni mjadala mpana ambao unasababisha nikuulize swali juu ya swali ili kupata jibu,

Ni nani aliye define kwamba hizo ni mila tu na sio udhalilishaji?
 
Kongosho ukisema hivyo utakuwa unakosea, kuna mila zina exist kwa sababu ya ujinga tu wa jamii husika
Kuna mila hadi za kutupa watoto mapacha porini, eti ni laana nazo tuziheshimu?
Ukeketaji ni mila nayo, tuiheshimu iendelee kuwepo kwa sababu ni mila na utamaduni?
Asante, ungekuwa karibu ningekuzawadia

Tumetekwa na wazungu hadi hatujitambua tena, wazungu kutwa kuche wanatembea uchi beach, ukiuliza wanasema wanapunga upepo.

Achia mbali kwenye night clubs, dunia hii kila mmoja bora aheshimu mila za mwenzie mradi hazimuumizi mtu
 
Back
Top Bottom