Unajua wewe ni mropokaji tu na tushakuzoea humu wote, asiyekujua wewe basi ni mgeni duniani siyo JF, mini Nimeongea ukweli, na ukweli unauma, mkome na nyie kujifanya mnajua wakati mbele giza,
Ningekuwa limbukeni ningeweka picha ya mke wangu humu ili umuone navyomtunza na umaskini wangu, ungetafuta sana wanawake wa kufananisha na mke wangu, by the way alijitunza, at her 27 th, hakuwa na mtoto hadi namuoa akiwa 28th,nyie mnabeba mimba mkiwa na miaka 15 nyambafuu kabisa hadi mnatia kinyaa, tena street pregnancy, huyo Zari ndo role model wako?
Hivi una akili timamu kweli wewe hadi unaona Diamond na Zari wana ndoa? hiyo si ndoa ni ndoana, Nakupa miaka miwili ijayo uone kama watakuwa wote,hivi kuna watu humu wanaziamini kweli topic zako? hujui hata sifa ya ndoa, wewe ni counsellor wa mahaluhalu, hufai kabisa, ungekuwa na akili usingekimbia ukweli, kama walikubemenda then you expect for marriage imekula kwako, utasubiri sana, halafu mwanamke anazeeka ila mwanaume hazeeki, mwanaume mzee ni yule asiye na pesa.
pole sana utalijua jiji na hivi domo lako halina break, utakoma kulinga.