Kinadada acheni kumsumbua Mungu

Kinadada acheni kumsumbua Mungu

Ukianzisha ligi na hao....lazima unyooshe mikono juu....
Naona sijui huyu carboniflux kakimbia...duh

Anakunywa maji kwanza maana hali yake sio nzuri kwakweli, inabidi awe chini ya uangalizi wa daktari, lasivyo.....
 
Nilishangaa nawe povu limekutoka ukajifanya kumsaidia Mungu kazi!!
Hapana aisee haiwezi hata kidogo, kwa lipi labda!! Hakuna kitu kama hicho, mimba iko imara kama chuma cha reli, teh teh teeeh!
Mi naburudika tu..Wala siko serious..
Kama bebito yuko salama basi sawa
 
Huo ujanja nampa @Heaven Sent mie huo uduwanzi sitaki kabisa, shida peleka hukooooo(ngoja sasa waje ) teh teh teeeh!
Heehheh niache bana na degree yangu ya uuguzi wa bila kusomea. muone na "class" yake ya Uduvi. Au wewe ni uzao wa Abel hahha
 
Heehheh niache bana na degree yangu ya uuguzi wa bila kusomea. muone na "class" yake ya Uduvi. Au wewe ni uzao wa Abel hahha

Hahahaaaaa!! We kuwa tu muuguzi mama wauguzeeeeee, ukimaliza njoo takutengenezea juice ushushe pressure.
 
Hio kamari sasa eiher utakula zote au utaliwa zoteee. HAVE YOU EVER SEEN THE LEOPARD CHANGE ITS SPOTS? I didnt think so too.
Me ngoja tu nijitolee kuuguza bana, akipona hata mmoja ntakuwa nimeokoa kizazi kimoja na uzao wake. Ni furaha kuu Kaini mmoja akigeuka kuwa Abel
 
Hio kamari sasa eiher utakula zote au utaliwa zoteee. HAVE YOU EVER SEEN THE LEOPARD CHANGE ITS SPOTS? I didnt think so too.
Kubwa lao umerudi tena ? Unatoa za usoo tuuu....! Umesababisha tumekimbia..!
 
Hahahaa haki ya nanii haka kauzi katamu sana,walahi nacheka tu hapa.....juisi ya ukwaju inanihuu
Hahaha huo ukwaju utakusumbua kwenda toi ujue, me Nakula tu skonsi nisije nikabanwa haja nikamiss episode bure
 
Last edited:
Hahahaa haki ya nanii haka kauzi katamu sana,walahi nacheka tu hapa.....juisi ya ukwaju inanihuu

Mbona wamepotea tena, waje bwana wakiwepo ndio kananoga, jioni inakuwa muruaaaaa!
 
Unakua na mwanamke unaona kabisa hana akili ya maisha, yeye ni macho juu juu na kujiita dada wa mjini, kichwani ni empty head anakutegemea kwa kila kitu hana hata akili ya kukupa mawazo ya kutusua maishani, mtu kama huyo unapeleka wapi??? Unaona ni bora uendelee kujilia mzigo miaka nenda rudi ukiwa unapanga files zako kichwani
Wewe ambae ni macho chini mbona usimpe yeye mawazo mazuri akakaa kwenye mstari?kwa nini wewe uliye na upeo zaidi usiwe kiongozi wake?wewe unayekula huo mzigo bila malengo ndo una akili ila yeye anaeliwa ndo hana akili?hapo ni mizigo miwili imekutana,acha kujitetea penye hamna
 
kumbe hamtaki kuelezwa ukweli, mtu akiwaeleza ukweli anakuwa kaini haya endeleeni kufanya upuuzi wenu uzao wa Abel utawasapoti.

Sio mtu akieleza ukweli NOO, ila unaangalia hicho alichokieleza na alivyokieleza ndio kinamfanya awe kaini au abel, huo upuuzi wanaufanya na akina nani?
 
Wewe ambae ni macho chini mbona usimpe yeye mawazo mazuri akakaa kwenye mstari?kwa nini wewe uliye na upeo zaidi usiwe kiongozi wake?wewe unayekula huo mzigo bila malengo ndo una akili ila yeye anaeliwa ndo hana akili?hapo ni mizigo miwili imekutana,acha kujitetea penye hamna

Hahahaaaa! Wanaume wanajionaga Miungu watu sanaa, wao hawanaga dhambi alafu wana akiliiii, hizo akili zao mbona bado wamechalala tuu, na kuolewa wameolewa, wao si wanaume bwana na wana akili basi wachukue hao wasio na akili wawafanye wenye akili, kama wameweza kutambua kuwa Mungu anasumbuka basi they can do miracles too.
 
Back
Top Bottom