Kinadada acheni kumsumbua Mungu

Kinadada acheni kumsumbua Mungu

Aloandika mada na wanaomsapoti angalia miandiko yao you'll notise something amaizing.
Wafanye kazi kwa bidii watapendwa tu sio wakishapokonywa tonge mdomoni ndio wanatapatapa!!
Hahaha kumbe kuna kuread between the lines eeh. Ngoja nijitahidi kuconnect dots
 
Kukataliwa ni stress tooosha! Unaweza ukafanya jambo ambalo hata wewe mwenyewe ukikaa unashangaa whts happened!!
Pole sana mleta mada naona uko na wenzio wengi tu, usijali with time you ll heal!!
Na kuwakataa tutazidi kuwakataa hueleweki nikukubali wa nini,wakafie mbele na mizigo yao ya nuksi
Nikifika hizo 30+ na sijaolewa wala sito sononeka ni maisha nilichagua kuliko kuwa na mtu bora siku zipite,maisha yenyewe mafupi haya agaaa...
 
Mkuu kwa uzi huu utawasaidia sana mabinti wadogo, ila akina flani wakongwe hapa utaambulia vichambo tu. Na bila shaka umeshavipata.
 
Sisemi kama watu tutende dhambi makusudi kwa sababu tu Mungu anasamehe. Lakini je mtu akikosea na akafika uzeeni akaamua kutubu, Mungu hatomsamehe kwa sababu ni mzee tayari? Afu huo uzee mnaouongelea nyie ndo huo wa miaka 30+ au?

Haya what If nikajitunza ujanani afu uzeeni nikaharibu, ntasamehewa tu kwa sababu niliutumia ujana vizuri, au nikikosea uzeeni basi siruhusiwi kuomba msamaha nife tu na dhambi zangu? Cha msingi ni kuishi sawa na mapenzi ya Mungu, na binadamu tuna udhaifu so kuna muda tunaanguka but cha muhimu zaidi ni kunyanyuka baada ya kuanguka. Nikukumbushe tu " tunaishi kwa neema tu".
Ni sahihi dada,mtoa mada anashindwa kuelewa kuwa Mungu humuokoa mtu kwa namna yake,haijalishi ni wakati gani,Iko busara huwa ninaipenda sana,inasema-''Mtakatifu anaanguka mara 99 na kusimama mara 100''.Kumbe huruma ya Mungu huwa haina kipimo.
 
Mkuu kwa uzi huu utawasaidia sana mabinti wadogo, ila akina flani wakongwe hapa utaambulia vichambo tu. Na bila shaka umeshavipata.
 
Na kuwakataa tutazidi kuwakataa hueleweki nikukubali wa nini,wakafie mbele na mizigo yao ya nuksi
Nikifika hizo 30+ na sijaolewa wala sito sononeka ni maisha nilichagua kuliko kuwa na mtu bora siku zipite,maisha yenyewe mafupi haya agaaa...

Hivi ukiwa 30+ ndio ukubali ronya ronya au reject kama wanavyoitaga wenyewe? Sasa mvulana mwenye gubu hivi ukiolewa nae si utakuwa unaishi na mke mwenzio ndani!!
 
Last edited:
Komaaaa tena koma we no Mungu kwani? Tuache tumsumbue kwani wapi kasema hataki usumbufu ? Hata we unamsumbua vile vile na vitatizo vyako uchwara ... Umeniudhi watu wanasali wewe unaangalia nyonyo zao
Teh Teh
 
Poleni sana bwana shemeji, ni maisha tu, sio lazima kila unaemtaka akukubali au kumuoa, wengine wanapita kwenu tu kama shule ili wakawe wake bora wa wenzenu.
Yes, nimeona! Bibi shemeji....!
Teh teh wanapita kwetu kupata uzoefu.
 
Wenye stress wake zenu wameokota fuko la mavi kwenye maandamano! HAHAHAHAAAAAAAA,! Shurti wajipake hayo mavi na yatawanukia ndani for the rest of their lives mchezooooo sasa! Hahahaaaaaaaaa! Chezeaaaa! Kutangulia sio kufika. Ngoja niwapunguzie dozi msije kuji murderrr bureeee! Mwaka ndo kwanza unaanza.
Teh Teh aisee we binti wewe....
 
Ni sahihi dada,mtoa mada anashindwa kuelewa kuwa Mungu humuokoa mtu kwa namna yake,haijalishi ni wakati gani,Iko busara huwa ninaipenda sana,inasema-''Mtakatifu anaanguka mara 99 na kusimama mara 100''.Kumbe huruma ya Mungu huwa haina kipimo.
Ahsante sana mpendwa wangu
 
mada haizungumzii kupokonywa tonge mdomoni, bali wale wanaojifanya walokole baada ya maji kuwa shingoni, au mimi ndo sijaelewa

Utaelewa wapi na umeujaza upofu macho na akili yako maana ushajiandaa na kichambo!! Mkishapokonywa au kukataliwa ndio stress zinazidi sasa mnatafuta pa kutokea.
Acheni wamuombe Mungu kwani lini Mungu alisema hataki kuombwa? Bahati nzuri maombi ya mwenye dhambi ndio Mungu anadeal nayo vizuri, nyie mnaojifanya miungu watu kaeni hivyo hivyo na mtazidi kukataliwa tu.
 
Sisemi kama watu tutende dhambi makusudi kwa sababu tu Mungu anasamehe. Lakini je mtu akikosea na akafika uzeeni akaamua kutubu, Mungu hatomsamehe kwa sababu ni mzee tayari? Afu huo uzee mnaouongelea nyie ndo huo wa miaka 30+ au?

Haya what If nikajitunza ujanani afu uzeeni nikaharibu, ntasamehewa tu kwa sababu niliutumia ujana vizuri, au nikikosea uzeeni basi siruhusiwi kuomba msamaha nife tu na dhambi zangu? Cha msingi ni kuishi sawa na mapenzi ya Mungu, na binadamu tuna udhaifu so kuna muda tunaanguka but cha muhimu zaidi ni kunyanyuka baada ya kuanguka. Nikukumbushe tu " tunaishi kwa neema tu".

Sina tatizo na mawazo yako na hakuna sehemu niliyo ongelea mambo ya msamaha ,hilo analijua Mungu ,shida yangu ilikua kwa Lara 1 kuniletea habari zake za Naseeb ni muislamu safi sijui anafuata sharia za mtume ndio nikamletea huo mfano wa bikira 70,
Sasa kwa miaka yetu tunayoishi Tumeambiwa miaka ya ahadi ni 70 tukiwa wenye nguvu basi 80 ....najibu swali lako la 30+ kama ni uzee kwa mtazamo wangu tu ndio ni uzee ,40 tu upo menopause na hivi vijana wa kiume siku hizi watoto wa miaka 22 wanalia lia nguvu za kiume unategemea atampa vipi mimba bi dada wa 40 ?? Au unataka kuleta mfano wa baba wa imani Ibrahim na Raheli ????
 
Utaelewa wapi na umeujaza upofu macho na akili yako maana ushajiandaa na kichambo!! Mkishapokonywa au kukataliwa ndio stress zinazidi sasa mnatafuta pa kutokea.
Acheni wamuombe Mungu kwani lini Mungu alisema hataki kuombwa? Bahati nzuri maombi ya mwenye dhambi ndio Mungu anadeal nayo vizuri, nyie mnaojifanya miungu watu kaeni hivyo hivyo na mtazidi kukataliwa tu.
Mwana wa Adamu alikuja kutafuta na kuokoa kile kilichopotea. Hakuja kwa wasafi, wala hana hata shida nao
 
Kwa hiyo wanaolalamika hapa wapo stressed? Wamekimbiwa....!
Hebu nyoosha maneno...

Nipe rula, nyie ni akina nani kwanza hadi mumpangie Mungu na watu waolewe lini?? Naona nawe umekazana na hiyo 30+ vipi kwani wanakula kwako? Waacheni watu wachague maisha yao, kama hayakufurahishi nyoosha yako.
 
Na kuwakataa tutazidi kuwakataa hueleweki nikukubali wa nini,wakafie mbele na mizigo yao ya nuksi
Nikifika hizo 30+ na sijaolewa wala sito sononeka ni maisha nilichagua kuliko kuwa na mtu bora siku zipite,maisha yenyewe mafupi haya agaaa...
Aisee ........@brenda18...
 
Hivi ukiwa 30+ ndio ukubali rinya ronya au reject kama wanavyoitaga wenyewe? Sasa mvulana mwenye gubu hivi ukiolewa nae si utakuwa unaishi na mke mwenzio ndani!!
Hahahaa hata nije kuishiwa wanaume mimi type za mleta mada siziwezi,huyu atakuwa hata akiongea ni ovyo tu....nimechangia sababu tu alichoandika kajikuta ye ni mdogo wa mungu eti anamuonea huruma mungu sio Mungu,Hahahaa watu jamaniii kitu gani nikaolewe na khadija kopa,watu wapo na class zao wametulia na ndio wamedata na sie vibibi....
Nshasema ntachagua tu hata nifike 40+......
 
Kwa hiyo tukizalishwa ni kwamba tumemsahahu Mungu au tumeanguka dhambini kaa unavyoanguka kwenye dhambi za uongo na mambo mengine acha kuwa bias ..

Ukizalishwa umeanguka dhambini peke yako ila alokuzalisha hajaanguka, akili zingine bwana!
 
Sina tatizo na mawazo yako na hakuna sehemu niliyo ongelea mambo ya msamaha ,hilo analijua Mungu ,shida yangu ilikua kwa Lara 1 kuniletea habari zake za Naseeb ni muislamu safi sijui anafuata sharia za mtume ndio nikamletea huo mfano wa bikira 70,
Sasa kwa miaka yetu tunayoishi Tumeambiwa miaka ya ahadi ni 70 tukiwa wenye nguvu basi 80 ....najibu swali lako la 30+ kama ni uzee kwa mtazamo wangu tu ndio ni uzee ,40 tu upo menopause na hivi vijana wa kiume siku hizi watoto wa miaka 22 wanalia lia nguvu za kiume unategemea atampa vipi mimba bi dada wa 40 ?? Au unataka kuleta mfano wa baba wa imani Ibrahim na Raheli ????
Kuolewa mapema sio guarantee ya kuzaa mapema. Kuna watu waliolewa wakiwa na 20s na hadi wanazeeka hawana watoto. Kila mtu ataolewa kwa wakati sahihi ambao Mungu amempangia. Na huko kote kwenye milima na mabonde anakopita, Mungu ana kusudi maalumu na hiyo njia yake.
 
Back
Top Bottom