"When in trouble adopt diversionary tactics"! Hizi ni mbinu za siku nyingi za kujihami zinazitumika na watawala waliofikia kikomo cha utawala wao. watawala wameshindwa kutawala angalia mlolongo wa crisis ya nchi yetu na hatari kubwa ambayo nchi yetu inaelekea (Uchumi ulioporomoka, mfarakanio wa jamii, na reversal ya indicators zote za maendeleo). hawana jibu la kuwapa wananchi kwa hiyo wanajinusuru kwa kuanzisha "mini crises" kila siku kila saa kuwafanya wananchi wasahau the real issues!
Kuna hatari ya watu kuwa swept na hizi petty politicking and internal power shifts (threads nyingi ni issues za nape, Lowassa na kujivua Gamba, etc) lakini what are the real root causes of the crisis? is it Bad governance? Is it the constitution? Is it the Dabblings of International capital, etc, etc?
Tuwe waangalifu jamani; Nchi yetu ina a lot of potential lakini inamezewa mate na wengi sana kutokana na resources zake. Forums kama ya Kwetu (jamii forums) ina potential kubwa ya kuwa chombo kikubwa cha national reconcilliation na national building kama tutakubaliana vitu vya msingi na vya kizalendo nje ya ushabiki wa kisiasa. mambo kama national Identity (What makes us proudly tanzanian), mambo ya maadili (ethics), etc. mambo ambayo yanatuunganisha pamoja na tofauti zetu mbalimbali.
Bila hivi this beautiful country itakuwa haina wenyewe and it will go to the dogs or the highest bidder..and our dreams with it.
lets think 50 years ahead and this forum can elevate itself and take the role of the vanguard
(haya matusi, mipasho, vibweka nadharau za itikadi, unazi etc. kwa kweli inaboa na inauma sana tukichukulia hasa destiny ya nchi yetu iko mikononi mwetu and we are messing it up!) tutamlaumu nani?