Born 1969. Graduate first degree mwaka 1992, nikaanza kazi mwaka 1993, by then nilikua napata USD 200 kwa mwezi net. Mwaka 1995 nikawa manager kwenye international agency take ikawa 600 usd.
1999 nikawa director nikapata kazi kwenda makao makuu ya nchi nilikua nalipwa 4000 usd take home na gratuity ya kila mwaka ya asilimia 25 ya annual salary. Mwaka 2003 nikawa nalipwa 5000 usd , mwaka 2007 nikaachia ngazi na kuanzisha biashara ya kukodisha magari hapa Tanzania. Nimeoa mwaka 2003.
Ama kweli nchi hii ina vilaza kweli! Wewe naye ni msomi?siamini! Mchanganuo wako waweza kuwa sawa! Lakini kwa nini useme hizo hela c kitu?
Acha ujinga gamba wewe, kote uko umebebwa wewe, ungezaliwa na wazazi wasiojua kusoma na kuandika, wanafanya vibarua vya kulima, halafu ukaenda shule ungezungumza ningekuelewa.