Kimenuka Dodoma, magamba yapata moto

Kimenuka Dodoma, magamba yapata moto

kumbe wakina rejao,ff,ms,mzee ni wala makombo ya mafisadi tu!nilidhani watakuwa kwenye vikao dodoma wakitu update,.
 
JK ana uwezo wa kumvua Nape gamba, lakini hana uwezo wa kumvua gamba Lowassa
 
JK ana uwezo wa kumvua Nape gamba, lakini hana uwezo wa kumvua gamba Lowassa


sasa kama ameambiwa jk achague kumvua gamba rafiki yake au aachie uenyekiti unadhani yeye atachagua lipi? akiachia uenyekiti na yeye watamvua gamba.
 
wakati mnasubiri taarifa za dodoma...kuna taarifa zimenifikia dakika 2 zilizopita kuwa jukwaa katiba limetangaza maanadamano ya amani yatakayofanyikanchi nzima tarehe 26 Nov 2011 Jumamosi ......Jitokezeni wadau na nimaandamamno yasiyokoma

Nawasilisha
 
wakati mnasubiri taarifa za dodoma...kuna taarifa zimenifikia dakika 2 zilizopita kuwa jukwaa katiba limetangaza maanadamano ya amani yatakayofanyikanchi nzima tarehe 26 Nov 2011 Jumamosi ......Jitokezeni wadau na nimaandamamno yasiyokoma

Nawasilisha
Ifungulie uzi wake hii kitu...ni habari njema!
 
Twasubiri habari zaidi wakuu mliopo karibu na eneo la tukio
 
Naona kwenye Thumnail kuna viongozi Wakuu wa Kitaifa:, Dr. JK, Dr. Bilal, Yandege, Msekwa, Wamkulima, Balozi Ali Seif Idd EL. hivi yeye ana nafasi gani vile? Au ndiye Rais Mtarajiwa?
 
BAADHI YA WAZEE WALIOWAHI KUVUMAA HUKO CCM WADAIWA KUKACHA VIKAO VYA NEC DODOMA BAADA YA KUNUSA HARUFU ZA FEDHA HEWANI NA POTEZESHA DIRA MKUTANO MZIMA NA VILE VILE 'MUSWADA WA MAKINDA' KUONEKANA SUBILI

Eti mkutano wa CCM Dodoma; hakuna kitu pale na ni bure kabisa!!! Swala lote la gamba kuvuka limegoma mara baada ya kuloweshwa na utitiri wa vijisenti na kuwa ngumu na kunata zaidi mwilini. Hiyo ndio maana baadhi ya wazee wa chama hicho wakaamua kujitunzia heshma zao mbali yale yanayoendelea huko.

Kuna ugomvi mkali mno wa makundiunaoendelea ndani CCM hadi dakika hii lakini yote yanaendelea hivi sasa nyuma ya pazia.

Nasema ugomvi hatari ya kuwahi kutokea CCM unaendelea kupamba moto hadi kakika hii tunavyoendelea kuandika humu.

HAKUNA tena mwenye ubavu wa kufungia paka fisadi kengele baada wale wazee wenyewe kusikia ukigeugeu na unafiki kutoka Magogoni hdi wakaamu kujiweka kando na mkutano wa NEC CCM kule Daodoma ambao kwa maelezo yao ni kwamba hauna dira.

Vile vile kuna taarifa kwamba nako nyumbani kwa wana CUF nako si shwari kote Bara na Visiwani kutokana na uamuzi wao kuunga mkono muswada uliowaondolea kabisa matumaini wananchi wa pande zote mbili.

Kama mtu bado anasubiri zaidi moshi wa kijani na zambarau kuhusu BOMU linalowasubiri hadi hivi sasa basi kajikalie hapo. Mama Anna Makinda wabunge wa CUF huku Dodoma wamevimaliza kabisa hivi vyama viwili vya CCM na KAFU; hakuna tena kitu pale!!
 
wakati mnasubiri taarifa za dodoma...kuna taarifa zimenifikia dakika 2 zilizopita kuwa jukwaa katiba limetangaza maanadamano ya amani yatakayofanyikanchi nzima tarehe 26 Nov 2011 Jumamosi ......Jitokezeni wadau na nimaandamamno yasiyokoma

Nawasilisha

hizi ni habari njema za kujivua gamba hazina issue
 
kikwete anatakiwa kuonesha urais wake na uenyekiti wake kwa kumng'oa EL
 
kikwete anatakiwa kuonesha urais wake na uenyekiti wake kwa kumng'oa EL

hakuna mtu muoga nchi hii kama kikwete...tena linapokuja swala la edward lowasa....jk huwa anaweka mkia ndani kabisa.....siku wanaasisi dhana ya kujivua gamba pale pale angetumia nasi ile kuondokana na watu hawa wanaomharibia chama...hata leo hii hao watu wakifukuzwa na kutoka kikwete anajua fika na wazi kabisa kwamba hamalizi mda wake.........tatizo lake la unafiki na uogalinamsumbua na kumkost sana.....kama signature yangu inavyosema.....kikwete ili achukue uamzi huo ni mpaka ashinikizwe kabisa wamshikilie mikono na miguu ili atie sahihi ya kuwatimua hawa watu hivi hiv hawezi......
we fikilia siku ile walipotajwa hawa kina lowasa na nduguze usiku ule ule jk alimwita lowasa na kumwambia tutalimaliza hili au wewe una maoni gani..El akamwambia sijafikilia lolote ila ngoja kwanza nikaongee na Regina...wakati huo huo jk akikutana na msekwa anampa maneno kuwa washighulikie hawa jamaa waondoke..ndio maana msekwa alipomwita lowasa kipindi kile lowasa alimwambia msekwa..mbona wewe unaniambia vitu tofauti na vile alivyoniambia mwenyekiti??

Kikwete ndio tatizo nambari moja ndani ya ccm
 
Huu uzi ni bure kabisa! Hakuna hata m1 aliyeweza kuthibitisha. Kweli jf has become very week! Very sorry.
 
BAADHI YA WAZEE WALIOWAHI KUVUMAA HUKO CCM WADAIWA KUKACHA VIKAO VYA NEC DODOMA BAADA YA KUNUSA HARUFU ZA FEDHA HEWANI NA POTEZESHA DIRA MKUTANO MZIMA NA VILE VILE 'MUSWADA WA MAKINDA' KUONEKANA SUBILI

Eti mkutano wa CCM Dodoma; hakuna kitu pale na ni bure kabisa!!! Swala lote la gamba kuvuka limegoma mara baada ya kuloweshwa na utitiri wa vijisenti na kuwa ngumu na kunata zaidi mwilini. Hiyo ndio maana baadhi ya wazee wa chama hicho wakaamua kujitunzia heshma zao mbali yale yanayoendelea huko.

Kuna ugomvi mkali mno wa makundiunaoendelea ndani CCM hadi dakika hii lakini yote yanaendelea hivi sasa nyuma ya pazia.

Nasema ugomvi hatari ya kuwahi kutokea CCM unaendelea kupamba moto hadi kakika hii tunavyoendelea kuandika humu.

HAKUNA tena mwenye ubavu wa kufungia paka fisadi kengele baada wale wazee wenyewe kusikia ukigeugeu na unafiki kutoka Magogoni hdi wakaamu kujiweka kando na mkutano wa NEC CCM kule Daodoma ambao kwa maelezo yao ni kwamba hauna dira.

Vile vile kuna taarifa kwamba nako nyumbani kwa wana CUF nako si shwari kote Bara na Visiwani kutokana na uamuzi wao kuunga mkono muswada uliowaondolea kabisa matumaini wananchi wa pande zote mbili.

Kama mtu bado anasubiri zaidi moshi wa kijani na zambarau kuhusu BOMU linalowasubiri hadi hivi sasa basi kajikalie hapo. Mama Anna Makinda wabunge wa CUF huku Dodoma wamevimaliza kabisa hivi vyama viwili vya CCM na KAFU; hakuna tena kitu pale!!
unataka kusema hawa wazee wanageuka CHADEMA kwa kususia kikao

Tafadhari sana mkuu tunaomba source ya hii habari hasa hii y CUF
 
I think this is currently enough for your stomach. Just accept that Lowassa and Chenge are no longer CCM's team players as of today. I am still gathering more information about this story and therefore stay tuned as the page is loading..............

Even if its true, the source you're giving us is not correct; it can not be annouced over the radio before NEC confirmation; which is tomorrow!
 
Lowassa kujivua gamba, ccm nayo kwa heri. Kumwondoa lowassa ni sawa na ccm kujichimbia kaburi.
 
Back
Top Bottom